kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo tuite hujuma...Hawapendi Simba ishinde.
Mara waseme Mpanzu kafunga😆😃😀😄Hivyo tuite hujuma...
Wamevurugwa na ushabiki!Mara waseme Mpanzu kafunga😆😃😀😄
Anzisha Media yako usahihishe hayo makosa.Chombo kinachotegemewa kutoa habari mambo yapo hivi...mpira umekwisha au unaendelea dk ya 90....
Ujinga wako ni kutokubali kuambiwa ukweli...wasipokoselewa utaletewa vitu vya hovyo kila mara!Anzisha Media yako usahihishe hayo makosa.
Ngozi nyeusi ni wazuri sana kukosoa vitu ambavyo humuwezi kuvifanya.
Hawaonewi!Anzisha Media yako usahihishe hayo makosa.
Ngozi nyeusi ni wazuri sana kukosoa vitu ambavyo humuwezi kuvifanya.
Cheki hii...ctoria badala ya victoria!Kuna umakini unakosekana pale Azam. Nahisi wamewekana kindugu, kuna watu wasiojua mambo ya mpira wapo kwenye team ya production.
Anzisha media yako usilete vitu vya hovyo.Ujinga wako ni kutokubali kuambiwa ukweli...wasipokoselewa utaletewa vitu vya hovyo kila mara!
Mwajiri huwenda kawatumaChombo kinachotegemewa kutoa habari mambo yapo hivi...mpira umekwisha au unaendelea dk ya 90....
Utakoseaje jina la mfungaji kwa goli kama lile la pili? Ni ukosefu wa weledi wa kazi.Ila Simba mnadeka sio poa
Watakosolewa hatupo kuramba watu matako kama unajihisi kuwashwa kwa kuwa wamekoselewa njia nyeupe wakakune!Anzisha media yako usilete vitu vya hovyo.
Unadhani hao ngozi nyeusi na Azam media Nani anamtegemea mwenzake zaidi?Anzisha Media yako usahihishe hayo makosa.
Ngozi nyeusi ni wazuri sana kukosoa vitu ambavyo humuwezi kuvifanya.
Anzisha media yako acha shobo na madia za watu.Watakosolewa hatupo kuramba watu matako kama unajihisi kuwashwa kwa kuwa wamekoselewa njia nyeupe wakakune!