Hii ni aibu kubwa sana

Hii ni aibu kubwa sana

Gamal Sankara

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2019
Posts
301
Reaction score
265
1687859365438.png




kwa ufupi, hii ni aibu kwa taifa kubwa kama Tanzania, nchi yenye rasilimali chungu nzima, raia wanyonge ambao unaweza kuwa dhulumu utakavyo, nchi ambayo haijui njaa wala uchungu wa risasi za magaida.
 


kwa ufupi,hii ni aibu kwa taifa kubwa kama tanzania, nchi yenye rasilimali chungu nzima, raiaa wanyonge ambao unaweza kuwa dhulumu utakavyo, nchi ambayo haijui njaa wala uchungu wa risasi za magaida.
Kuna Uhusiano gani kati ya rasilimali za nchi na ucheleweshaji wa mizigo bandarini?, Kuna Uhusiano gani kati ya nchi kuwa na chakula Cha kutosha au kutokuwepo na terrorists na utendaji kazi wa bandari?. Unachoonyesha ni wivu kwasababu ninyi hamna chakula Cha kutosha na pia hamna amani mnauliwa hovyo na Alshabaab.

Sasa kwa kukujulisha tu ni kwamba, hayo yote uliyoyataja, yaani upatikanaji wa chakula, amani na utulivu, vyote hivyo havijashuka duniani, tumevitengeneza sisi wenyewe, ninyi mumeshindwa hata kulinda mipaka yenu, Alshabaab wanaingia na kufanya wapendavyo, hovyo sana ninyi.

Ardhi yote yenye rutuba mumewapa matajiri na wageni hawaifanyii lolote, Sasa mtawezaji kupambana na njaa, au mtajuaje Kama Kuna madini wakati watu hawaruhusiwi kwenda kugusa hiyo ardhi?. Sasa mnaona hasara ya Ubepari?. Mtaendelea kuumia Sana, punguzeni wivu.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kuna Uhusiano gani kati ya rasilimali za nchi na ucheleweshaji wa mizigo bandarini?, Kuna Uhusiano gani kati ya nchi kuwa na chakula Cha kutosha au kutokuwepo na terrorists na utendaji kazi wa bandari?. Unachoonyesha ni wivu kwasababu ninyi hamna chakula Cha kutosha na pia hamna amani mnauliwa hovyo na Alshabaab.

Sasa kwa kukujulisha tu ni kwamba, hayo yote uliyoyataja, yaani upatikanaji wa chakula, amani na utulivu, vyote hivyo havijashuka duniani, tumevitengeneza sisi wenyewe, ninyi mumeshindwa hata kulinda mipaka yenu, Alshabaab wanaingia na kufanya wapendavyo, hovyo sana ninyi.

Ardhi yote yenye rutuba mumewapa matajiri na wageni hawaifanyii lolote, Sasa mtawezaji kupambana na njaa, au mtajuaje Kama Kuna madini wakati watu hawaruhusiwi kwenda kugusa hiyo ardhi?. Sasa mnaona hasara ya Ubepari?. Mtaendelea kuumia Sana, punguzeni wivu.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
ufahamu wako ni wa kiwango cha chini, kwa ufupi nakueleza ya kwamba nchi yako haifai kujiaibisha hivi na "faiiled country" kama yangu ya kenya. sisi ndio tunafaa kuja kupokea mzigo huko dar, inamaanisha ya kwamba mmezembea sana kama mnashindwa na operations za bandari na nchi ndogo kama yangu yenye matatizo chungu nzima ulizozitaja.

mbona tuwaonee wivu majirani zetu? kile nilichofanya ni kuhighlight zile vitu bora mnazozifanya kutuliko, lakini pia huja jadili hoja mkuu? umeamua kuwa defensive sana. ama ndiyo maana imebidi mmewauzia waarabu bandari yenu ilimuweze kuwa competitive?
 
ufahamu wako ni wa kiwango cha chini, kwa ufupi nakueleza ya kwamba nchi yako haifai kujiaibisha hivi na "faiiled country" kama yangu ya kenya. sisi ndio tunafaa kuja kupokea mzigo huko dar, inamaanisha ya kwamba mmezembea sana kama mnashindwa na operations za bandari na nchi ndogo kama yangu yenye matatizo chungu nzima ulizozitaja.

mbona tuwaonee wivu majirani zetu? kile nilichofanya ni kuhighlight zile vitu bora mnazozifanya kutuliko, lakini pia huja jadili hoja mkuu? umeamua kuwa defensive sana. ama ndiyo maana imebidi mmewauzia waarabu bandari yenu ilimuweze kuwa competitive?
Wewe ni wivu ndio unaokusumbua sio vinginevyo,
1)WB ranking ya juzi imeonyesha kwamba bandari ya Dar ipo namba 312 na Ile ya Mombasa ipo 324 katika ubora wa huduma za bandari, Sasa hiyo aibu unayosema wewe ni ipi?.

Hivi Kama mtu yupo karibu na Mombasa, kwa mfano mikoa ya Tanga, Kilimanjaro na Arusha, Kuna shida gani kutumia bandari ya Mombasa?.

Hata Kama bado bandari ya Dar Kuna matatizo, yanahusianaje na kutokuwepo na njaa, au kutokuwepo na terrorism, au amani ya Tanzania?.

Kwanini useme ni aibu kwa watanzania kutumia bandari ya Mombasa wakati Tanzania ni nchi ambayo haina shida ya chakula?. Tafadhali onyesha Uhusiano wa ufanisi wa bandari na upatikanaji wa chakula nchini.

Tanzania tunatumia nguvu nyingi kuhakikisha nchi yetu inazalisha chakula Cha kutosha, nguvu nyingi kuhakikisha amani na utulivu vinadumu, hatuendekezi Rushwa, ukabila na Nepotism, mnapaswa kutuiga kwasababu ninyi mumeshindwa hata kulinda mipaka ya nchi yenu kutokana na uzembe na ujuaji.
Punguza wivu

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kuna Uhusiano gani kati ya rasilimali za nchi na ucheleweshaji wa mizigo bandarini?, Kuna Uhusiano gani kati ya nchi kuwa na chakula Cha kutosha au kutokuwepo na terrorists na utendaji kazi wa bandari?. Unachoonyesha ni wivu kwasababu ninyi hamna chakula Cha kutosha na pia hamna amani mnauliwa hovyo na Alshabaab.

Sasa kwa kukujulisha tu ni kwamba, hayo yote uliyoyataja, yaani upatikanaji wa chakula, amani na utulivu, vyote hivyo havijashuka duniani, tumevitengeneza sisi wenyewe, ninyi mumeshindwa hata kulinda mipaka yenu, Alshabaab wanaingia na kufanya wapendavyo, hovyo sana ninyi.

Ardhi yote yenye rutuba mumewapa matajiri na wageni hawaifanyii lolote, Sasa mtawezaji kupambana na njaa, au mtajuaje Kama Kuna madini wakati watu hawaruhusiwi kwenda kugusa hiyo ardhi?. Sasa mnaona hasara ya Ubepari?. Mtaendelea kuumia Sana, punguzeni wivu.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Usipote muda wako kubishana na Machoko wa kibera
 
Back
Top Bottom