Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo unataka raia wa kawaida tu ndiyo wapigwe jua .... hayo ndiyo maendeleo waliyoyaleta wenyewe!!Kitendo cha viongozi waliokaa jukwaa kuu kujikinga jua kwa kutumia magazeti na vitabu hasa eneo walilokaa mh. Jakaya kikwete, karume na waziri mkuu majaliwa si kitendo cha heshima na kiungwana kabisa,
wazee wanapigwa jua hadi unawaonea huruma.
vipi mnadani nako wamekata,duh umenikumbusha mboka enzi hizoDah, huku Tabora umeme umekatwa maeneo ya Ipuli hivo hatuoni chochote.
Kwahiyo nani akipigwa jua itakua ni kitendo cha heshima?Kitendo cha viongozi waliokaa jukwaa kuu kujikinga jua kwa kutumia magazeti na vitabu hasa eneo walilokaa mh. Jakaya kikwete, karume na waziri mkuu majaliwa si kitendo cha heshima na kiungwana kabisa,
wazee wanapigwa jua hadi unawaonea huruma.
Yah right. Wale Wanyonge wa Magufuli.Nashukuru kama unatambua kua kuna raia wa kawaida na wasio wa kawaida
Nenda kaweke wewe basi hivyo vizuizi vya juaKitendo cha viongozi waliokaa jukwaa kuu kujikinga jua kwa kutumia magazeti na vitabu hasa eneo walilokaa mh. Jakaya kikwete, karume na waziri mkuu majaliwa si kitendo cha heshima na kiungwana kabisa,
wazee wanapigwa jua hadi unawaonea huruma.
Hata sehemu kubwa ya jiji la dar hakuna umemeDah, huku Tabora umeme umekatwa maeneo ya Ipuli hivo hatuoni chochote.
Tanzania kwa sasa hatuna mgao wa umemeDah, huku Tabora umeme umekatwa maeneo ya Ipuli hivo hatuoni chochote.
Hapo sasa yaani watanzania kwa sasa wamejishusha thamani kisa siasaKwa hiyo unataka raia wa kaida tu wapigwe jua .... hayo ndiyo maendeleo waliyoyaleta wenyewe!!
Tena na mvua zinawanyeshea na wanakataa kutumia miavuliWakati wa kampeni mbona huwa wanatembea juani.