Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Kumbe jua la huko huchagua nani wa kumpiga!Kitendo cha viongozi waliokaa jukwaa kuu kujikinga jua kwa kutumia magazeti na vitabu hasa eneo walilokaa Mzee Jakaya Kikwete, Karume na Waziri Mkuu Majaliwa si kitendo cha heshima na kiungwana kabisa.
Wazee wanapigwa jua hadi unawaonea huruma.
Nani ameruhusu sherehe ziazimishwe badala ya kukodishwa?