Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasipopigwa na jua ndio itakuwa kitende cha heshima?Kwahiyo nani akipigwa jua itakua ni kitendo cha heshima?
Imagine. Kwa hali ilivyo, sijui wanapata wapi furaha ya kuhudhuria hizi sherehe. Kama Wananchi wangezigomea, wangepeleka massege kwa Watawala.Hapo sasa yaani watanzania kwa sasa wamejishusha thamani kisa siasa
Kitendo cha viongozi waliokaa jukwaa kuu kujikinga jua kwa kutumia magazeti na vitabu hasa eneo walilokaa mh. Jakaya kikwete, karume na waziri mkuu majaliwa si kitendo cha heshima na kiungwana kabisa.
Wazee wanapigwa jua hadi unawaonea huruma.
Anako elekea atataka kila raia anapo pita vipigwe ving'ora nawaza tu.Nashukuru kama unatambua kua kuna raia wa kawaida na wasio wa kawaida
Na asipoleta mpige...😅Picha iko wap?
Siyo Tabora tu mkuu, hata huku kwetu mji mzima hauna umeme! Tumekuwa Taifa la kipumbavu sana tangu JPM atutoke!Dah, huku Tabora umeme umekatwa maeneo ya Ipuli hivo hatuoni chochote.
Sahihi kabisa kiongozi.Imagine. Kwa hali ilivyo, sijui wanapata wapi furaha ya kuhudhuria hizi sherehe. Kama Wananchi wangezigomea, wangepeleka massege kwa Watawala.
Mleta mada ni kati ya watu waliokata tamaa ya kuishi.Mkuu umeanza kusujudia binadamu? Wasipigwe na wanajua kwani wao sio binadamu? Hao binadamu wengine wanaopigiwa na jua wao ni haki yao?
Ccm hoyeeeeeeeeeeeeeAfadhali wao ni jua la kawaida ila kwa wadanganyika wenzangu tumepigwa jua la mifukoni na hatujui kesho yetu itakuwaje??
Umerejeshwa sasa hivi sherehe akiishia uwanja wa Amani.vipi mnadani nako wamekata,duh umenikumbusha mboka enzi hizo
Inasikitisha. Watu tunafuatilia sherehe kwenye TV halafu umeme unakatwa.Siyo Tabora tu mkuu, hata huku kwetu mji mzima hauna umeme! Tumekuwa Taifa la kipumbavu sana tangu JPM atutoke!
Ha ha haKitendo cha viongozi waliokaa jukwaa kuu kujikinga jua kwa kutumia magazeti na vitabu hasa eneo walilokaa Mzee Jakaya Kikwete, Karume na Waziri Mkuu Majaliwa si kitendo cha heshima na kiungwana kabisa.
Wazee wanapigwa jua hadi unawaonea huruma.
Kwani wao hawataki VitaminKitendo cha viongozi waliokaa jukwaa kuu kujikinga jua kwa kutumia magazeti na vitabu hasa eneo walilokaa Mzee Jakaya Kikwete, Karume na Waziri Mkuu Majaliwa si kitendo cha heshima na kiungwana kabisa.
Wazee wanapigwa jua hadi unawaonea huruma.