Hii ni aibu, mkuu wa nchi analalama juu ya ukosefu wa maji wakati taifa lina waterbodies za kutosha kusambaza maji nchi nzima

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Kiongozi mkuu unalalama kuwa watu wanakosa maji kwa kwa sababu ya kukata miti!

Kuna ziwa Victoria lina maji ambayo yanatakiwa kusambazwa mpaka Darisalama.

Una Ziwa Tanganyika.

Una Ziwa Nyasa na Ziwa Manyara na Eyasi.

Kwa nini usisambaze maji toka hizi water bodies?

Tutakukumbuka hayati.
 
Kuna wakati leo alifikia hatua anawabembeleza wakuu wa Mikoa ya Pwani na Dar eti wajitahidi kwenda kuvunja kingo zinazozuia maji kutiririka.
mungu wa Chato alikuwa haambiliki, alikata miti takriban 4-6 Milion kupisha ujenzi wa bwawa la JNHPP. Tulipokosoa mliona tunampinga DIKTETA.

Sasa athari za UHAYAWANI wa Magufuli tunazipata upfront, nanyi misukule ya Mwendazake mnamlaumu Rais Samia. Pumbavu zenu kabisa
 
We punguani usie na akili unapost upuuzi. Jikite kwenye mada.
 
Babaako Magufuli alisepa na Tril 1.5 ambazo tungejenga mabwawa ya Kidunda mengi tu.
 
Kuna siku wewe Kei nitakuja kukupa bonge la jitusi hutoamini!

Hivi huwa unanifuata futa ili iweje mbilikimo wee?!
 
Kuna siku wewe cma nitakuja kukupa bonge la jitusi hutoamini!

Hivi huwa unanifuata futa ili iweje mbilikimo wee?!
Tukana kabisa sasa hivi!! Hakuna tusi jipya kwa taarifa yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…