Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
AhaaaaTanzania hakuna shida ya maji, acha maneno yako ya uchochezi..
Aibu kubwaKuna wakati leo alifikia hatua anawabembeleza wakuu wa Mikoa ya Pwani na Dar eti wajitahidi kwenda kuvunja kingo zinazozuia maji kutiririka.
...mno!Aibu kubwa
Tanzania hakuna shida ya maji, acha maneno yako ya uchochezi..
mungu wa Chato alikuwa haambiliki, alikata miti takriban 4-6 Milion kupisha ujenzi wa bwawa la JNHPP. Tulipokosoa mliona tunampinga DIKTETA.Kuna wakati leo alifikia hatua anawabembeleza wakuu wa Mikoa ya Pwani na Dar eti wajitahidi kwenda kuvunja kingo zinazozuia maji kutiririka.
Babaako Magufuli alisepa na Tril 1.5 ambazo tungejenga mabwawa ya Kidunda mengi tu.Kiongozi mkuu unalalama kuwa watu wanakosa maji kwa kwa sababu ya kukata miti!
Kuna ziwa Victoria lina maji ambayo yanatakiwa kusambazwa mpaka Darisalama.
Una Ziwa Tanganyika.
Una Ziwa Nyasa na Ziwa Manyara na Eyasi.
Kwa nini usisambaze maji toka hizi water bodies?
Tutakukumbuka hayati.View attachment 2404311
Kuna siku wewe Kei nitakuja kukupa bonge la jitusi hutoamini!mungu wa Chato alikuwa haambiliki, alikata miti takriban 4-6 Milion kupisha ujenzi wa bwawa la JNHPP. Tulipokosoa mliona tunampinga DIKTETA.
Sasa athari za UHAYAWANI wa Magufuli tunazipata upfront, nanyi misukule ya Mwendazake mnamlaumu Rais Samia. Pumbavu zenu kabisa
Umepost upuuziBabaako Magufuli alisepa na Tril 1.5 ambazo tungejenga mabwawa ya Kidunda mengi tu.
Kwani uongo.Umepost upuuzi
Tukana kabisa sasa hivi!! Hakuna tusi jipya kwa taarifa yakoKuna siku wewe cma nitakuja kukupa bonge la jitusi hutoamini!
Hivi huwa unanifuata futa ili iweje mbilikimo wee?!
We bwege huna haja ya kutukanwa nakujua.Tukana kabisa sasa hivi!! Hakuna tusi jipya kwa taarifa yako