Hii ni ajabu ya Dunia. Wana CCM wenyewe hawajui ni kwa nini chama chao kinaitwa Chama cha Mapinduzi!

Hii ni ajabu ya Dunia. Wana CCM wenyewe hawajui ni kwa nini chama chao kinaitwa Chama cha Mapinduzi!

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Leo hapa Iringa kwenye yale mabishano ya mitaani kuhusu siasa nimeshangazwa Sana na wana CCM.

Zaidi ya wana CCM 50 niliokutana nao na kuwauliza ni kwa nini chama chao kinaitwa "Chama Cha Mapinduzi" hakuna hata mmoja aliyekuwa na jibu.

Kuna wakati taasisi ya Twaweza waliafanya utafiti wa ni aina gani ya watanzania wanaoiunga mkono CCM, Leo nimeuthibitisha utafiti wao kuwa ulikuwa ni wa kweli.

Hivi kama mtu una akili timamu unawezaje kuwa kwenye chama usichojua ni kwa nini kinaitwa Chama Cha Mapinduzi?
 
Leo hapa Iringa kwenye yale mabishano ya mitaani kuhusu siasa nimeshangazwa Sana na wana CCM.

Zaidi ya wana CCM 50 niliokutana nao na kuwauliza ni kwa nini chama chao kinaitwa "Chama Cha Mapinduzi" hakuna hata mmoja aliyekuwa na jibu.

Kuna wakati taasisi ya Twaweza waliafanya utafiti wa ni aina gani ya watanzania wanaoiunga mkono CCM, Leo nimeuthibitisha utafiti wao kuwa ulikuwa ni wa kweli.

Hivi kama mtu una akili timamu unawezaje kuwa kwenye chama usichojua ni kwa nini kinaitwa Chama Cha Mapinduzi?
Vitu vingine havina hata Mashiko
Wewe unaweza Kutuambia Maana ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo
 
Wafuasi wa lissu wakishashiba viazi wanakuja kuandika nyuzi zisizoeleweka🚮🚮
 
Vitu vingine havina hata Mashiko
Wewe unaweza Kutuambia Maana ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo
Naweza... Ila siyo mada ya hili bandiko.

Wewe kwani hujui ni kwa nini chama chenu kinaitwa ACT?
 
Usichoelewa hapo nini? Wewe unajua ni kwa nini CCM inatwa chama Cha mapinduzi?
Baada ya TANU kuungana na ASP ndo kikazaliwa chama cha mapinduzi hiyo ni sababu mojawapo sina muda wa kuanza kubishana na wafuasi wa lissu
 
Muungano wa vyama 2 TANU na ASP ikatoa CCM mwaka ule
Sawa kabisa... Lakini TANU na ASP haitoi jina mapinduzi!

Sasa ilikuwaje muunganiko wa TANU na ASP ulizaa Chama Cha Mapinduzi?

CCM wenyewe hawana jibu 😃😀😄😄

Sijui kama hata chawa wao johnthebaptist na Lucas Mwashambwa kama wanajua ni kwa nini chama chao kinaitwa mapinduzi.
 
Baada ya TANU kuungana na ASP ndo kikazaliwa chama cha mapinduzi hiyo ni sababu mojawapo sina muda wa kuanza kubishana na wafuasi wa lissu
Unavyojibu utadhani nilikualika kujibu😄😀😃😆
 
Hao hata huo ujamaa waliudandia tu wala wahawakuwa wanajua ni nini ndio maana uliwashinda.

Sasa hivi hata hawajui wanasimamia nini zaidi ya mipasho wizi rushwa na kuiba chaguzi ili wabaki madarakani kwa nguvu bila ridhaa ya wananchi.
Kwa mambo hayo ya hovyo hovyo CCM ni mafundi wabobevu.
 
Leo hapa Iringa kwenye yale mabishano ya mitaani kuhusu siasa nimeshangazwa Sana na wana CCM.

Zaidi ya wana CCM 50 niliokutana nao na kuwauliza ni kwa nini chama chao kinaitwa "Chama Cha Mapinduzi" hakuna hata mmoja aliyekuwa na jibu.

Kuna wakati taasisi ya Twaweza waliafanya utafiti wa ni aina gani ya watanzania wanaoiunga mkono CCM, Leo nimeuthibitisha utafiti wao kuwa ulikuwa ni wa kweli.

Hivi kama mtu una akili timamu unawezaje kuwa kwenye chama usichojua ni kwa nini kinaitwa Chama Cha Mapinduzi?
Dhana ya mapinduzi ni dhana iliyopo sana katika falsafa za kikomunisti kutoka kwa Georg Wilhelm Friedrich Hegel.

Zamani miaka ya kati ya 1980s nilikuwa naangalia sana Televisheni ya Zanzibar. TV zilivyoanza kuingia Tanzania bara kwa wingi, TVZ ndiyo ilikuwa televisheni pekee, kabla ya CTN, DTV na ITV.

Kuna kitu kimoja nilikuwa sielewi. Kila TV ikifungwa usiku (ilikuwa inafungwa), kulikuwa na maandishi "Mapinduzi Daima".

Mimi nikawa nafikiri wanamaanisha Mapinduzi ya mwaka 1964. Nikajiuliza, hawa watu wanataka kupinduana na kuuana daima?

Baadaye, nilivyokuja kusoma falsafa za Hegel, nikakutana na kitu kinaitwa Hegelian dialectic. Thesis -> Antithesis -> Synthesis.

Unaanza na hoja. Wanakuja watu kuikosoa hoja. Baada ya kuikosoa hoja unajenga hoja bora zaidi.

Na hiyo hoja bora zaidi inakosolewa, na unatengeneza hoja ambayo imezidisha ubora.

Katika mfumo huo, unafanya "Mapinduzi Daima". Kwa sababu, ukizembea dunia itakupita. Ukikubali kuwa mfumo wako wa kutumiana barua kwa pista ni mfumo bora kabisa, hauhitaji mapinduzi, utashindwa kujiongeza na kuvumbua email.

Kwa hivyo, vyama vya kikomunisti na kisoshalisti vina hiyo dhana ya Hegelian dialectic ya Mapinduzi Daima.

Ndiyo maana hata CCM kinaitwa chama cha Mapinduzi.

It's Hegelian dialectic, at least in theory.
 
Dhana ya mapinduzi ni dhana ikiyopo sana katika falsafa za kikomunisti kutoka kwa Georg Wilhelm Friedrich Hegel.

Zamani miaka ya kati ya 1980s nilikuwa naangalia sana Televisheni ya Zanzibar. TV zilivyoanza kuingia Tanzania bara kwa wingi, TVZ ndiyo ilikuwa televisheni pekee, kabla ya CTN, DTV na ITV.

Kuna kitu kimoja nilikuwa sielewi. Kila TV ikifungwa usiku (ilikuwa inafungwa), kulikuwa na maandishi "Mapinduzi Daima".

Mimi nikawa nafikiri wanamaanisha Mapinduzi ya mwaka 1964. Nikajiuliza, hawa watu wanataka kupinduana na kuuana daima?

Baadaye, nilivyokuja kusoma falsafa za Hegel, nikakutana na kitu kinaitwa Hegelian dialectic. Thesis -> Antithesis -> Synthesis.

Unaanza na hoja. Wanakuja watu kuikosoa hoja. Baada ya kuikisoa hoja unajenga hoja bira zaidi.

Na hiyo hoja bira zaidi inakosolewa, na unatengeneza hoja ambayo imedidisha ubora.

Katika mfumo huo, unafanya "Mapinduzi Daima". Kwa sababu, ukizembea dunia itakupita. Ukikubali kuwa mfumo wako wa kutumiana barua kwa pista ni mfumo bora kabisa, hauhitaji mapinduzi, utashindwa kujiongeza na kuvumbua email.

Kwa hivyo, vyama vya kikomunisti na kisoshalisti vina hiyo dhana ya Hegelian dialecyic ya Mapinduzi Daima.

Ndiyo maana hata CCM kinaitwa chama cha Mapinduzi.

It's Hegelian dialectic, at least in theory.
Nadharia yako nzuri na Bora Sana... Lakini haihusiani na CCM kuitwa chama Cha Mapinduzi. Nina HAKIKA na hilo kwa asilimia mia.
 
Dhana ya mapinduzi ni dhana ikiyopo sana katika falsafa za kikomunisti kutoka kwa Georg Wilhelm Friedrich Hegel.

Zamani miaka ya kati ya 1980s nilikuwa naangalia sana Televisheni ya Zanzibar. TV zilivyoanza kuingia Tanzania bara kwa wingi, TVZ ndiyo ilikuwa televisheni pekee, kabla ya CTN, DTV na ITV.

Kuna kitu kimoja nilikuwa sielewi. Kila TV ikifungwa usiku (ilikuwa inafungwa), kulikuwa na maandishi "Mapinduzi Daima".

Mimi nikawa nafikiri wanamaanisha Mapinduzi ya mwaka 1964. Nikajiuliza, hawa watu wanataka kupinduana na kuuana daima?

Baadaye, nilivyokuja kusoma falsafa za Hegel, nikakutana na kitu kinaitwa Hegelian dialectic. Thesis -> Antithesis -> Synthesis.

Unaanza na hoja. Wanakuja watu kuikosoa hoja. Baada ya kuikisoa hoja unajenga hoja bira zaidi.

Na hiyo hoja bira zaidi inakosolewa, na unatengeneza hoja ambayo imedidisha ubora.

Katika mfumo huo, unafanya "Mapinduzi Daima". Kwa sababu, ukizembea dunia itakupita. Ukikubali kuwa mfumo wako wa kutumiana barua kwa pista ni mfumo bora kabisa, hauhitaji mapinduzi, utashindwa kujiongeza na kuvumbua email.

Kwa hivyo, vyama vya kikomunisti na kisoshalisti vina hiyo dhana ya Hegelian dialecyic ya Mapinduzi Daima.

Ndiyo maana hata CCM kinaitwa chama cha Mapinduzi.

It's Hegelian dialectic, at least in theory.
Umemalizia vizuri, imepoteza hadi reply yangu niliyokuwa niiweke. Lakini bado ni vigumu pia kuthibitisha kama wenyewe walikuwa katika hilo wazo la Hegelian dialectic hata katika nadharia tu.
 
Back
Top Bottom