Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
muhimu zaidi ni yale mambo ambayo wananchi wananufaika nayo kutoka Chama Cha Mapinduzi mathalani maji, elimu, afya, amani n.k
yaani wadau waanze kubabaika na kwanini wewe unaitwa@Allen Kilewella? ili imsaidie nini kwa mfano?
wananchi wanahitaji umeme, wanahitaji miundombinu ya maana, waanze kubabaika na sijui kujua nini na nini ilikua vipi, hawana kazi za kufanya?
elimu ya msingi, secondary na elimu ya juu ulizembea kujifunza hayo, halafu ndio uje kuuliza watu wakiwa uraiani na shughuli zao, ili ikusaidie nini ukijua gentleman?🐒
yaani wadau waanze kubabaika na kwanini wewe unaitwa@Allen Kilewella? ili imsaidie nini kwa mfano?
wananchi wanahitaji umeme, wanahitaji miundombinu ya maana, waanze kubabaika na sijui kujua nini na nini ilikua vipi, hawana kazi za kufanya?
elimu ya msingi, secondary na elimu ya juu ulizembea kujifunza hayo, halafu ndio uje kuuliza watu wakiwa uraiani na shughuli zao, ili ikusaidie nini ukijua gentleman?🐒