Hii ni ajabu ya Dunia. Wana CCM wenyewe hawajui ni kwa nini chama chao kinaitwa Chama cha Mapinduzi!

Hii ni ajabu ya Dunia. Wana CCM wenyewe hawajui ni kwa nini chama chao kinaitwa Chama cha Mapinduzi!

muhimu zaidi ni yale mambo ambayo wananchi wananufaika nayo kutoka Chama Cha Mapinduzi mathalani maji, elimu, afya, amani n.k

yaani wadau waanze kubabaika na kwanini wewe unaitwa@Allen Kilewella? ili imsaidie nini kwa mfano?

wananchi wanahitaji umeme, wanahitaji miundombinu ya maana, waanze kubabaika na sijui kujua nini na nini ilikua vipi, hawana kazi za kufanya?

elimu ya msingi, secondary na elimu ya juu ulizembea kujifunza hayo, halafu ndio uje kuuliza watu wakiwa uraiani na shughuli zao, ili ikusaidie nini ukijua gentleman?🐒
 
muhimu zaidi ni yale mambo ambayo wananchi wananufaika nayo kutoka Chama Cha Mapinduzi mathalani maji, elimu, afya, amani n.k

yaani wadau waanze kubabaika na kwanini wewe unaitwa@Allen Kilewella? ili imsaidie nini kwa mfano?

wananchi wanahitaji umeme, wanahitaji miundombinu ya maana, waanze kubabaika na sijui kujua nini na nini ilikua vipi, hawana kazi za kufanya?

elimu ya msingi, secondary na elimu ya juu ulizembea kujifunza hayo, halafu ndio uje kuuliza watu wakiwa uraiani na shughuli zao, ili ikusaidie nini ukijua gentleman?🐒
Yaani ulivoandika ni kama vile hivyo vitu ni toshelevu hata Kwa 30% ya uhitaji wake kwa watanzania.

Wanachama hawajui kwa nini chama chao kinaitwa Mapinduzi!?
 
Yaani ulivoandika ni kama vile hivyo vitu ni toshelevu hata Kwa 30% ya uhitaji wake kwa watanzania.

Wanachama hawajui kwa nini chama chao kinaitwa Mapinduzi!?
umeenda mbali kama vile unauliza jambo la maaaana!!!!!

muulize mtu yeyote maana ya jina lake au ukoo wake kama atakwambia kitu?
atakwambia tu ni Fulani wa ukoo wa kwa mzee Mroso, muulize Mroso maana yake nini kama atakwambia japo haina maana yoyote 🐒
 
umeenda mbali kama vile unauliza jambo la maaaana!!!!!

muulize mtu yeyote maana ya jina lake au ukoo wake kama atakwambia kitu?
atakwambia tu ni Fulani wa ukoo wa kwa mzee Mroso, muulize Mroso maana yake nini kama atakwambia japo haina maana yoyote 🐒
Kwa ivo unataka kusema chama chenu kiliitwa mapinduzi bila ya sababu maalum!?
 
Kwa ivo unataka kusema chama chenu kiliitwa mapinduzi bila ya sababu maalum!?
nadhan huenda ikawa kama wewe tu ulivyo itwa Allen sijui nani huko hata havieleweki 🤣

lakini nyuzi zako wadau wanapata ufahamu na uelewa Fulani, hii ikimaanisha Allen nani nani sijui huko haina maana yoyote kwao,

cha maana kwao ni hayo madini, maudhui na si vinginevyo 🐒
 
Dhana ya mapinduzi ni dhana ikiyopo sana katika falsafa za kikomunisti kutoka kwa Georg Wilhelm Friedrich Hegel.

Zamani miaka ya kati ya 1980s nilikuwa naangalia sana Televisheni ya Zanzibar. TV zilivyoanza kuingia Tanzania bara kwa wingi, TVZ ndiyo ilikuwa televisheni pekee, kabla ya CTN, DTV na ITV.

Kuna kitu kimoja nilikuwa sielewi. Kila TV ikifungwa usiku (ilikuwa inafungwa), kulikuwa na maandishi "Mapinduzi Daima".

Mimi nikawa nafikiri wanamaanisha Mapinduzi ya mwaka 1964. Nikajiuliza, hawa watu wanataka kupinduana na kuuana daima?

Baadaye, nilivyokuja kusoma falsafa za Hegel, nikakutana na kitu kinaitwa Hegelian dialectic. Thesis -> Antithesis -> Synthesis.

Unaanza na hoja. Wanakuja watu kuikosoa hoja. Baada ya kuikisoa hoja unajenga hoja bira zaidi.

Na hiyo hoja bira zaidi inakosolewa, na unatengeneza hoja ambayo imedidisha ubora.

Katika mfumo huo, unafanya "Mapinduzi Daima". Kwa sababu, ukizembea dunia itakupita. Ukikubali kuwa mfumo wako wa kutumiana barua kwa pista ni mfumo bora kabisa, hauhitaji mapinduzi, utashindwa kujiongeza na kuvumbua email.

Kwa hivyo, vyama vya kikomunisti na kisoshalisti vina hiyo dhana ya Hegelian dialecyic ya Mapinduzi Daima.

Ndiyo maana hata CCM kinaitwa chama cha Mapinduzi.

It's Hegelian dialectic, at least in
Mtoa mada hapa umepotezwa
Allen Kilewella
 
Umemalizia vizuri, imepoteza hadi reply yangu niliyokuwa niiweke. Lakini bado ni vigumu pia kuthibitisha kama wenyewe walikuwa katika hilo wazo la Hegelian dialectic hata katika nadharia tu.
Kuna watu kama kina Babu, Hanga, Nyerere, Mwiru ma ideologues wale kina Mwakawago etc na to some extent kina Mkapa, Sokoine, Msekwa na Warioba na wasomi wengine wa siku hizo walisoma haya mambo na kuyaelewa usiwachukulie poa hivyo.
 
Kuna watu kama kina Babu, Hanga, Nyerere, Mwiru ma ideologues wale kina Mwakawago etc na to some extent kina Mkapa, Sokoine, Msekwa na Warioba na wasomi wengine wa siku hizo walisoma haya mambo na kuyaelewa usiwachukulie poa hivyo.
Siwachukulii poa katika hizo nadharia za ujamaa na Ukomunisti ila sijawahi kuona yeyote akizungumzia au akigusia maana iliyo nyuma ya jina la chama chao walichokiunda 1977.
 
Siwachukulii poa katika hizo nadharia za ujamaa na Ukomunisti ila sijawahi kuona yeyote akizungumzia au akigusia maana iliyo nyuma ya jina la chama chao walichokiunda 1977.
Wamei localize na kuifanya yao hawawezi kukwambia wameitoa kwa Hegel kwa sababu wataonekana wanagezea. Hawataki kuonekana wamegezea itikadi, wanataka kuonekana wameitunga wao. Imetokana na watu wao.

Na pia Watanzania wangapi wanamjua Hegel?

Ukimwambia Mtanzania wa kawaida "Hegelian Dialectic" ataona kama unamtukana.

Lakini ukimwambia "Mapinduzi Daima" ataelewa kirahisi zaidi.

Yote mawili yana maana moja.

Hivyo, Chama cha Mapinduzi ni chama cha Kijamaa chenye falsafa za "Mapinduzi Daima" ambazo mizizi yake ya kiitikadi inatoka kwa Hegel kwenye "Hegelian Dialectic".

Na makomredi wa Zanzibar kina Babu na Hanga walikuwa na mchango mkubwa wa kuieneza dhana hii ya "Mapinduzi Daima" kuanzia "Mapinduzi Matukufu ya 1964" mpaka "Mapinduzi Daima" ya TVZ, mpaka "Serikali ya Mapinduzi Zanzibar", ndiyo chama kikapata jina hapo hapo kikawa Chama cha Mapinduzi.
 
Leo hapa Iringa kwenye yale mabishano ya mitaani kuhusu siasa nimeshangazwa Sana na wana CCM.

Zaidi ya wana CCM 50 niliokutana nao na kuwauliza ni kwa nini chama chao kinaitwa "Chama Cha Mapinduzi" hakuna hata mmoja aliyekuwa na jibu.

Kuna wakati taasisi ya Twaweza waliafanya utafiti wa ni aina gani ya watanzania wanaoiunga mkono CCM, Leo nimeuthibitisha utafiti wao kuwa ulikuwa ni wa kweli.

Hivi kama mtu una akili timamu unawezaje kuwa kwenye chama usichojua ni kwa nini kinaitwa Chama Cha Mapinduzi?
Uko very shallow aisee
 
Ndio hata TANU ASP hadi CCM. Ni Vyama vya mlengo kushoto Ukomonisti na ujamaa hawa wanaakini kwenye Mabadiliko, au mapinduzi . Change, Revolutionary Equality Usawa
 
Leo hapa Iringa kwenye yale mabishano ya mitaani kuhusu siasa nimeshangazwa Sana na wana CCM.

Zaidi ya wana CCM 50 niliokutana nao na kuwauliza ni kwa nini chama chao kinaitwa "Chama Cha Mapinduzi" hakuna hata mmoja aliyekuwa na jibu.

Kuna wakati taasisi ya Twaweza waliafanya utafiti wa ni aina gani ya watanzania wanaoiunga mkono CCM, Leo nimeuthibitisha utafiti wao kuwa ulikuwa ni wa kweli.

Hivi kama mtu una akili timamu unawezaje kuwa kwenye chama usichojua ni kwa nini kinaitwa Chama Cha Mapinduzi?
Ukiangalia kwa umakini wanachama wa CCM hawana tofauti sana na waumini wa Kiislam. Unakuta mtu anaamini kitu lakini hajuwi chochote kuhusu dini yake.
 
Leo hapa Iringa kwenye yale mabishano ya mitaani kuhusu siasa nimeshangazwa Sana na wana CCM.

Zaidi ya wana CCM 50 niliokutana nao na kuwauliza ni kwa nini chama chao kinaitwa "Chama Cha Mapinduzi" hakuna hata mmoja aliyekuwa na jibu.

Kuna wakati taasisi ya Twaweza waliafanya utafiti wa ni aina gani ya watanzania wanaoiunga mkono CCM, Leo nimeuthibitisha utafiti wao kuwa ulikuwa ni wa kweli.

Hivi kama mtu una akili timamu unawezaje kuwa kwenye chama usichojua ni kwa nini kinaitwa Chama Cha Mapinduzi?
Ushawahi kuona mwana CCM ana akili timamu?
 
Back
Top Bottom