😃😆😀😄Hujathibitisha jina la Mapinduzi limetoka wapi kwa 100%.
Yaani ulivoandika ni kama vile hivyo vitu ni toshelevu hata Kwa 30% ya uhitaji wake kwa watanzania.muhimu zaidi ni yale mambo ambayo wananchi wananufaika nayo kutoka Chama Cha Mapinduzi mathalani maji, elimu, afya, amani n.k
yaani wadau waanze kubabaika na kwanini wewe unaitwa@Allen Kilewella? ili imsaidie nini kwa mfano?
wananchi wanahitaji umeme, wanahitaji miundombinu ya maana, waanze kubabaika na sijui kujua nini na nini ilikua vipi, hawana kazi za kufanya?
elimu ya msingi, secondary na elimu ya juu ulizembea kujifunza hayo, halafu ndio uje kuuliza watu wakiwa uraiani na shughuli zao, ili ikusaidie nini ukijua gentleman?🐒
umeenda mbali kama vile unauliza jambo la maaaana!!!!!Yaani ulivoandika ni kama vile hivyo vitu ni toshelevu hata Kwa 30% ya uhitaji wake kwa watanzania.
Wanachama hawajui kwa nini chama chao kinaitwa Mapinduzi!?
Kwa ivo unataka kusema chama chenu kiliitwa mapinduzi bila ya sababu maalum!?umeenda mbali kama vile unauliza jambo la maaaana!!!!!
muulize mtu yeyote maana ya jina lake au ukoo wake kama atakwambia kitu?
atakwambia tu ni Fulani wa ukoo wa kwa mzee Mroso, muulize Mroso maana yake nini kama atakwambia japo haina maana yoyote 🐒
Mapinduzi...😄😀😆😃Duh aiseee
nadhan huenda ikawa kama wewe tu ulivyo itwa Allen sijui nani huko hata havieleweki 🤣Kwa ivo unataka kusema chama chenu kiliitwa mapinduzi bila ya sababu maalum!?
Wapi nilikwambia naamini hati ya muungano ipo?😃😆😀😄
Amini tu kama unavoamini kuwa Hati ya Muungano ipo.
Mtoa mada hapa umepotezwaDhana ya mapinduzi ni dhana ikiyopo sana katika falsafa za kikomunisti kutoka kwa Georg Wilhelm Friedrich Hegel.
Zamani miaka ya kati ya 1980s nilikuwa naangalia sana Televisheni ya Zanzibar. TV zilivyoanza kuingia Tanzania bara kwa wingi, TVZ ndiyo ilikuwa televisheni pekee, kabla ya CTN, DTV na ITV.
Kuna kitu kimoja nilikuwa sielewi. Kila TV ikifungwa usiku (ilikuwa inafungwa), kulikuwa na maandishi "Mapinduzi Daima".
Mimi nikawa nafikiri wanamaanisha Mapinduzi ya mwaka 1964. Nikajiuliza, hawa watu wanataka kupinduana na kuuana daima?
Baadaye, nilivyokuja kusoma falsafa za Hegel, nikakutana na kitu kinaitwa Hegelian dialectic. Thesis -> Antithesis -> Synthesis.
Unaanza na hoja. Wanakuja watu kuikosoa hoja. Baada ya kuikisoa hoja unajenga hoja bira zaidi.
Na hiyo hoja bira zaidi inakosolewa, na unatengeneza hoja ambayo imedidisha ubora.
Katika mfumo huo, unafanya "Mapinduzi Daima". Kwa sababu, ukizembea dunia itakupita. Ukikubali kuwa mfumo wako wa kutumiana barua kwa pista ni mfumo bora kabisa, hauhitaji mapinduzi, utashindwa kujiongeza na kuvumbua email.
Kwa hivyo, vyama vya kikomunisti na kisoshalisti vina hiyo dhana ya Hegelian dialecyic ya Mapinduzi Daima.
Ndiyo maana hata CCM kinaitwa chama cha Mapinduzi.
It's Hegelian dialectic, at least in
Kuna watu kama kina Babu, Hanga, Nyerere, Mwiru ma ideologues wale kina Mwakawago etc na to some extent kina Mkapa, Sokoine, Msekwa na Warioba na wasomi wengine wa siku hizo walisoma haya mambo na kuyaelewa usiwachukulie poa hivyo.Umemalizia vizuri, imepoteza hadi reply yangu niliyokuwa niiweke. Lakini bado ni vigumu pia kuthibitisha kama wenyewe walikuwa katika hilo wazo la Hegelian dialectic hata katika nadharia tu.
Siwachukulii poa katika hizo nadharia za ujamaa na Ukomunisti ila sijawahi kuona yeyote akizungumzia au akigusia maana iliyo nyuma ya jina la chama chao walichokiunda 1977.Kuna watu kama kina Babu, Hanga, Nyerere, Mwiru ma ideologues wale kina Mwakawago etc na to some extent kina Mkapa, Sokoine, Msekwa na Warioba na wasomi wengine wa siku hizo walisoma haya mambo na kuyaelewa usiwachukulie poa hivyo.
Wamei localize na kuifanya yao hawawezi kukwambia wameitoa kwa Hegel kwa sababu wataonekana wanagezea. Hawataki kuonekana wamegezea itikadi, wanataka kuonekana wameitunga wao. Imetokana na watu wao.Siwachukulii poa katika hizo nadharia za ujamaa na Ukomunisti ila sijawahi kuona yeyote akizungumzia au akigusia maana iliyo nyuma ya jina la chama chao walichokiunda 1977.
Uko very shallow aiseeLeo hapa Iringa kwenye yale mabishano ya mitaani kuhusu siasa nimeshangazwa Sana na wana CCM.
Zaidi ya wana CCM 50 niliokutana nao na kuwauliza ni kwa nini chama chao kinaitwa "Chama Cha Mapinduzi" hakuna hata mmoja aliyekuwa na jibu.
Kuna wakati taasisi ya Twaweza waliafanya utafiti wa ni aina gani ya watanzania wanaoiunga mkono CCM, Leo nimeuthibitisha utafiti wao kuwa ulikuwa ni wa kweli.
Hivi kama mtu una akili timamu unawezaje kuwa kwenye chama usichojua ni kwa nini kinaitwa Chama Cha Mapinduzi?
What a waste of spermsNaweza... Ila siyo mada ya hili bandiko.
Wewe kwani hujui ni kwa nini chama chenu kinaitwa ACT?
🤣 🤣 🤣Wafuasi wa lissu wakishashiba viazi wanakuja kuandika nyuzi zisizoeleweka🚮🚮
Ukiangalia kwa umakini wanachama wa CCM hawana tofauti sana na waumini wa Kiislam. Unakuta mtu anaamini kitu lakini hajuwi chochote kuhusu dini yake.Leo hapa Iringa kwenye yale mabishano ya mitaani kuhusu siasa nimeshangazwa Sana na wana CCM.
Zaidi ya wana CCM 50 niliokutana nao na kuwauliza ni kwa nini chama chao kinaitwa "Chama Cha Mapinduzi" hakuna hata mmoja aliyekuwa na jibu.
Kuna wakati taasisi ya Twaweza waliafanya utafiti wa ni aina gani ya watanzania wanaoiunga mkono CCM, Leo nimeuthibitisha utafiti wao kuwa ulikuwa ni wa kweli.
Hivi kama mtu una akili timamu unawezaje kuwa kwenye chama usichojua ni kwa nini kinaitwa Chama Cha Mapinduzi?
Ushawahi kuona mwana CCM ana akili timamu?Leo hapa Iringa kwenye yale mabishano ya mitaani kuhusu siasa nimeshangazwa Sana na wana CCM.
Zaidi ya wana CCM 50 niliokutana nao na kuwauliza ni kwa nini chama chao kinaitwa "Chama Cha Mapinduzi" hakuna hata mmoja aliyekuwa na jibu.
Kuna wakati taasisi ya Twaweza waliafanya utafiti wa ni aina gani ya watanzania wanaoiunga mkono CCM, Leo nimeuthibitisha utafiti wao kuwa ulikuwa ni wa kweli.
Hivi kama mtu una akili timamu unawezaje kuwa kwenye chama usichojua ni kwa nini kinaitwa Chama Cha Mapinduzi?