Ndio hata TANU ASP hadi CCM. Ni Vyama vya mlengo kushoto Ukomonisti na ujamaa hawa wanaakini kwenye Mabadiliko, au mapinduzi . Change, Revolutionary Equality Usawa
Kinaitwa revolution party kwa sababu mapinduzi ndio kauli mbiu ya chama na chochote kinachofanyika ndani chama tayari kina baraka hata kama ni uzwa uzwa ,uchawa,good leader bad one .