Hii ni Brazil tusiyoonyeshwa mtandaoni

Hii ni Brazil tusiyoonyeshwa mtandaoni

Hata kwenye sekita nyingine bado Brazil wako mbali mno kuanzia Viwanda ,kilimo, teknolojia,hata uchumi wa mtu mmoja mmoja Brazil wamepiga hatua kwa namna fulani.

Yaani nchi ina GDP per capata ya 10,234$ alafu useme eti ni masikini?
GDP per Capita ya $10,234 unaiona nyingi ukiwa Tanzania ambako bado unacheza na $1,200.

Zaidi, GDP per capita ni average, haikuoneshi inequality.

Zaidi, Brazil ni nchi kubwa. Ni nchi ya tano kwa ukubwa duniani. Unategemea ijenge barabara nchi nzima bila hata kujua population distribution ikoje na uchumi uko wapi?

Unajenga argument kwa picha bila statistics?
 
GDP haikuelezi lolote kuhusu inequality, income distribution, geographical distribution of the population, priorities za nchi, siasa zake.

Brazil ina sehemu kubwa sana ziko kwenye mapori ya Amazon huko hakuna watu wengi, unategemea ijenge barabara zote kwa sababu ya GDP tu? Hiyo barabara unajua hata ni wapi?
Mm nadhani hilo swari uwaulize wale wanao sema eti Brazil ni masikini kisa kutojenga barabara nzuri kila sehemu ya nchi.
 
Mm nadhani hilo swari uwaulize wale wanao sema eti Brazil ni masikini kisa kutojenga barabara nzuri kila sehemu ya nchi.
Halafu, hoja haijengwi kwa picha ya kuchagua hivi.

Ukitaka picha za video hivi kila nchi zipo.

Argument inajengwa kwa data, statistics zenye mashiko, zenye ku represent vizuri hoja.

Picha kwani sisi watoto wadogo hatujui kusoma?
 
GDP per Capita ya $10,234 unaiona nyingi ukiwa Tanzania ambako bado unacheza na $1,200.

Zaidi, GDP per capita ni average, haikuoneshi inequality.

Zaidi, Brazil ni nchi kubwa. Ni nchi ya tano kwa ukubwa duniani. Unategemea ijenge barabara nchi nzima bila hata kujua population distribution ikoje na uchumi uko wapi?
Mkuu hivi unasoma maelezo yangu vizuri? Ni wapi ambapo nimesema kuwa ni razima ijenge barabara kila sehemu?
Mm hoja yangu ipo kwa hawa wanao sema eti Brazil haina tofauti na Africa.
 
Halafu, hoja haijengwi kwa picha ya kuchagua hivi.

Ukitaka picha za hivi kila nchi zipo.

Argument inajengwa kwa data, statistics zenye mashiko, zenye ku represent vizur hoja..
Hivi ww jamaa una soma maelezo yangu vizuri kweli?
Mbona unanilisha maneno?
 
Mkuu hivi unasoma maelezo yangu vizuri? Ni wapi ambapo nimesema kuwa ni razima ijenge barabara kila sehemu?
Mm hoja yangu ipo kwa hawa wanao sema eti Brazil haina tofauti na Africa.
Kwani wapi nimesema umesema "ni razima" ? (by the way, andika lazima, si razima).

Unaelewa hoja ya kidhahania maana yake nini?
 
Hivi ww jamaa una soma maelezo yangu vizuri kweli?
Mbona unanilisha maneno?
Hakuna sehemu niliyoongelea hoja yako hata pamoja, mimi hata sikujui, ninafanya hoja ya kidhahania.

Nani alikwambia uninukuu?
 
Brazil ipo top 100 ya nchi tajiri duniani. Ni member muhimu wa BRICS
Nchi tajiri unazijua kweli?? Brazil ina uchumi mkubwa ila sio nchi tajiri nyie UWT wazembe sana mfano Tanzania ipo top10 ya nchi zenye uchumi mkubwa Africa ila ni nchi maskini
 
Brazil wamejijengea mji mmoja mchafu unao ongoza Kwa Dhambi Duniani wameuita Rio de Janeiro
Huko maporini hakuna anae jari... Toka porini uje Janeiro tufanye uzinzi!! Maisha ndo hayaa
 
Brazil ipo top 100 ya nchi tajiri duniani. Ni member muhimu wa BRICS
Matatizo yako dunia nzima, kuna mama ni financial adviser kutoka Australia alikuwa na propasal ya kusaidia nchi ya Tanzania alipopeleka ombi lake aliulizwa swali moja mbona Matatizo haya bado hapa nchini tunayo kwanini uende kusaidia huko ambako awataweza kusaidia nchi hii
 
Uongo, America ya kusini ni middle income countries
GDP ya Latin America countrie
Screenshot_20241116_081855_Chrome.jpg


Gdp ya African countries.

Screenshot_20241116_081952_Chrome.jpg


Yaani hapo Tanzania tupo juu zaidi ya nchi nyingi tu za Latin America.

Usidanganyike na filamu za kina Pablo Escobar wale mafia wa madawa ya kulevya.
 
Back
Top Bottom