MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
- Thread starter
-
- #81
Kiranga unaandika sana pumba kwenye huu uzi. Kama GDP sio kipimo basi hata DRC ambayo ni nchi kubwa ingekuwa na GDP kubwa.GDP haikuelezi lolote kuhusu inequality, income distribution, geographical distribution of the population, priorities za nchi, siasa zake.
Brazil ina sehemu kubwa sana ziko kwenye mapori ya Amazon huko hakuna watu wengi, unategemea ijenge barabara zote kwa sababu ya GDP tu? Hiyo barabara unajua hata ni wapi?
Wewe maku jadili hoja na sio kumshambulia mtoa hoja.Mijitu ya ccm haijawahi kuwa Na akili. Baba jitu zima anajiita MamaSamia2025 unategemea nini?
Hawa wanadhani nchi zote nje ya Africa ni matajiri
That is a logical non sequitur fallacy.Kiranga unaandika sana pumba kwenye huu uzi. Kama GDP sio kipimo basi hata DRC ambayo ni nchi kubwa ingekuwa na GDP kubwa.
On paper wapo sawa ila South Korea wapo juu zaidi ya Brazil na pia idadi ya watu wapo tofauti na ukichukua idadi ya wanaopata tabu au wasio na ajira Brasil ni wengi kuliko South Korea.Uchumi wa Brazil unakaribiana na ule wa south korea sasa utaitaje masikini.
Source ya habari yako?Brazil ina uchumi mkubwa kuliko italy,canada, south korea,ni ya nane kwa GDP duniani
Hapana ni matajiri.Kwani ni masikini?
Hujui pa kupata hili na basic unabwabwaja?!Source ya habari yako?
Kwa mengi tu.Kwa lipi ?
Usipumbazike na data za vitabuni, kuna sehemu Brazil hata Manzese yetu ni bora.Yaani nchi ina GDP per capata ya 10,234$ alafu useme eti ni masikini?
Mimi maku sawa. Ni Makumbele. Ila wewe ni choko, huwezi dume zima kujiita mama, huo ni ushoga Na upo hapa kutafuta wafuraji wakufireWewe maku jadili hoja na sio kumshambulia mtoa hoja.
Brazil ni nchi tajili. Nia Saba kwa utajili duniani
Ushoga ni tabia yako ndo maana huoni aibu kuandika ushenzi hapa.Mimi maku sawa. Ni Makumbele. Ila wewe ni choko, huwezi dume zima kujiita mama, huo ni ushoga Na upo hapa kutafuta wafuraji wakufire
Uchumi wa Brazil ni sawa na %70 uchumi wa bara zima la Africa.Kwa mengi tu.
Brazil ni kama nchi nyingine yoyote Afrika.
Umasikini upo kila sehemu hapa duniani tunacho kiangalia ni uwiano.Usipumbazike na data za vitabuni, kuna sehemu Brazil hata Manzese yetu ni bora.
View attachment 3153540
U
Ingejibu kwa hekima , damu ungekuisha?Hujui pa kupata hili na basic unabwabwaja?!
Angalia na population ya hizo nchi. Costa Rica in raia 5 million na GDP 95 billion, utasemaje ni maskini. Usiangalie hizo GDP tu angalia na populationGDP ya Latin America countrie View attachment 3153487
Gdp ya African countries.
View attachment 3153488
Yaani hapo Tanzania tupo juu zaidi ya nchi nyingi tu za Latin America.
Usidanganyike na filamu za kina Pablo Escobar wale mafia wa madawa ya kulevya.
Kujibu kila swali ni dalili ya uwenda wazimu, maswali mengine ya kijinga,we unajibu tu!?Ingejibu kwa hekima , damu ungekuisha?
Endelea kubishana na takwimu.Angalia na population ya hizo nchi. Costa Rica in raia 5 million na GDP 95 billion, utasemaje ni maskini. Usiangalie hizo GDP tu angalia na population