Hii ni Breakfast ya 1500. Akili mtu wangu!

Hii ni Breakfast ya 1500. Akili mtu wangu!

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Ni ushauri lakini ukiufuata utakufaa hakikisha katika kila mlo unaokula hasa huu wa asubuhi usile carbohydrates peke yake changanya na protein na vitamin pembeni maana usiku cell zimefanya kazi kuzifanyia repair inabidi upate protein fulani aidha mayai, vipande vya nyama ila mimi napendelea zaidi maharagwe kwanza bei yake nzuri bakuli la Jero Safi kabisa ni protein hata ya siku nzima hiyo.

Sasa unakuta mtu asubuhi anakula Mihogo peke yake au Chai na mandazi peke yake.

Maisha mbona simple tu kwenu nyie Wana jf ila najua kitaa huko kigumu wako watu hata kipande cha muhogo ni kipengele.

DSC_0087.JPG
 
Kama unaenda kufanya kazi ngumu kama kulima sawa, ila kama unakula hivyo unaenda kukaa ofisini nadhani ni tatizo na kuyatesa makalio na nanii kupitisha makapi mengi ambayo hayakutumika na mwili.
 
Ni ushauri lakini ukiufuata utakufaa hakikisha katika kila mlo unaokula hasa huu wa asubuhi usile carbohydrates peke yake changanya na protein na vitamin pembeni maana usiku cell zimefanya kazi kuzifanyia repair inabidi upate protein fulani aidha mayai, vipande vya nyama ila mimi napendelea zaidi maharagwe kwanza bei yake nzuri bakuli la Jero Safi kabisa ni protein hata ya siku nzima hiyo.

Sasa unakuta mtu asubuhi anakula Mihogo peke yake au Chai na mandazi peke yake.

Maisha mbona simple tu kwenu nyie Wana jf ila najua kitaa huko kigumu wako watu hata kipande cha muhogo ni kipengele.

View attachment 2957294
Hapo ni wanga and fiber plus mafuta kwenye hio supu/mtori no protein
 
Back
Top Bottom