AnyWayZ
JF-Expert Member
- May 30, 2022
- 4,880
- 8,424
Ongea na mimi vizuri, nitakupeleka chimbo.Acha Hizo mkuu wapi huko
Juice 500
Maharage 500
Mihogo 500
Na maji ya kunywa bureeee kabisaaaaaa!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongea na mimi vizuri, nitakupeleka chimbo.Acha Hizo mkuu wapi huko
Juice 500
Maharage 500
Mihogo 500
Kwenu mnachemsha na maziwa?maharage yamechemshwa na maji,aise!! mnakula mavitu ya ajabu.
Picha za fbNdio nimemaliza kupiga hii kitu hapa home...😋
Tena unabahati hata sijatoa vyombo, we unadhani kila mtu anafake life hapa eehhh...😂😂Picha za fb
Imemiss wanga hapo au utafidia na ugali mchanaTena unabahati hata sijatoa vyombo, we unadhani kila mtu anafake life hapa eehhh...😂😂
Kula ukajambe ofisini mtu wanguNi ushauri lakini ukiufuata utakufaa hakikisha katika kila mlo unaokula hasa huu wa asubuhi usile carbohydrates peke yake changanya na protein na vitamin pembeni maana usiku cell zimefanya kazi kuzifanyia repair inabidi upate protein fulani aidha mayai, vipande vya nyama ila mimi napendelea zaidi maharagwe kwanza bei yake nzuri bakuli la Jero Safi kabisa ni protein hata ya siku nzima hiyo.
Sasa unakuta mtu asubuhi anakula Mihogo peke yake au Chai na mandazi peke yake.
Maisha mbona simple tu kwenu nyie Wana jf ila najua kitaa huko kigumu wako watu hata kipande cha muhogo ni kipengele.
View attachment 2957294
Hapa nasubiria mchana nipige ugali wa mtama, samaki na mlendaImemiss wanga hapo au utafidia na ugali mchana
Wangese WA jfMbona mazingira machafu?tafuta hela mzee
Tarehe hizi..ngoja tumuambie aje atuonyeshe kifungua kinywa cha kuanzia tarehe 22Safi simple life
Ulafi tu huo..Yai moja na Sausage moja ingetoshaNdio nimemaliza kupiga hii kitu hapa home...😋
maharage ya nazi saba ndo haya sasaNi ushauri lakini ukiufuata utakufaa hakikisha katika kila mlo unaokula hasa huu wa asubuhi usile carbohydrates peke yake changanya na protein na vitamin pembeni maana usiku cell zimefanya kazi kuzifanyia repair inabidi upate protein fulani aidha mayai, vipande vya nyama ila mimi napendelea zaidi maharagwe kwanza bei yake nzuri bakuli la Jero Safi kabisa ni protein hata ya siku nzima hiyo.
Sasa unakuta mtu asubuhi anakula Mihogo peke yake au Chai na mandazi peke yake.
Maisha mbona simple tu kwenu nyie Wana jf ila najua kitaa huko kigumu wako watu hata kipande cha muhogo ni kipengele.
View attachment 2957294
Wewe unakula yaliyochemshwa na mikojo?maharage yamechemshwa na maji,aise!! mnakula mavitu ya ajabu.
Sasa unashangaa Maharage kuchemswa na maji we yako huwa unachemsha na Loshen?maharage yamechemshwa na maji,aise!! mnakula mavitu ya ajabu.
Da jamaa mchawi weweMbona mazingira machafu?tafuta hela mzee