Hio ndio simple mkuu Unadhani ukiwa mitaa ya Mayfair hicho anachula huyu na hiki hapa chini (Junk) kipi ni bei nafuu (Ni kwamba tumekuwa brainwashed chakula cha maana kukiona ni cha kimasikini na junks ndio mpango mzima)Safi simple life
Maharagwe yanachemshwa na Juisi?maharage yamechemshwa na maji,aise!! mnakula mavitu ya ajabu.
Hivi hizi supplements hazina shida kiafya huko baadae kwa matumizi endelevu.kula unavyokula kupata supplements ni lazima kwa sababu vyakula mnavyokula haviwezi kukidhi kiwango cha viinilishe vinavyohitajika mwilini kila siku
Punguza wivu mkuu....🤣Ulafi tu huo..Yai moja na Sausage moja ingetosha
Kwa kweliPunguza wivu mkuu....🤣
hazina shida mkuu. tumia. bora utoe leo 700 hiyo kww kila kidonge kuliko kesho ya milioni kutibu maradhiHivi hizi supplements hazina shida kiafya huko baadae kwa matumizi endelevu.
Bei yake yenyewe si haba! Mfano ni Tshs 700-1000/kidonge kwa Vitamin B supplements pekee.
Hapana mkuu ni mlo wa watumishi wengi wa serikali hasa walimu, watu wa halmashauri, manesi wa private hosp etc.tena ni profesa janabi
Yaah kabisa mkuu, nimeona hilo pia.Yeah na hapo ni kwa office
Exactly [emoji817] tena yupo huko Mtwara alikua anauza mitumba pale singidaBila shaka wewe ni mtumishi wa serikali.
We mnyaturu si umesema upo marekan leoYeah na hapo ni kwa office
Hapana yupo RuWaSa huko MtwaraKWA KIFUPI UYU JAMAA NI MWALIMU WA KUJITOLEA
Hivi huwa yanaitwa maharage au maharagwe?Maharage ni chakula muhimu sana asubuhi.
Hapana yupo RuWaSa huko MtwaraYuko tihalahei
Uachage tabia za kike ndo maana nimekulima block
UnaumiA ukiwa wapiExactly [emoji817] tena yupo huko Mtwara alikua anauza mitumba pale singida
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Acha ujinga wako mpuuz wewe nakujua nje ndaniUachage tabia za kike ndo maana nimekulima block