hii ni danger kwa wana SAUT first year




Kijana boom 2shapewa 2 weeks ago! Ndo mana wengne wanakwambia wamebakiza 62,000/
 
Kijana boom 2shapewa 2 weeks ago! Ndo mana wengne wanakwambia wamebakiza 62,000/

Ha ha ha ha ha ha, duuh hii nomaaaaa!! Msisite kukopeshana kwa wenye kasi ya kutumia, ambao hawajapata, bt be careful
 
mliopo saut c mlifeli form 6? sasa iweje muwe bora wakati tunawafahamu uwezo wenu? au kisa kubebwa na hyo mi GPA ndo mnajiona bora? huwezi kunishawishi kama saut nacho chuo. bora ukae kimya coz mlifeli form 6 sasa mnaleta dharau

aliyefeli mama yako p*mbu ww watu tuna magamba yetu tuko hapa saut

#umesabibishia ban kenge jike ww
 
Yaani wewe unayesema SAUT chuo cha waliofeli nadhan zimekuruka mimi ni product ya saut 4m4 div 1, 4m6 two, gpa ya 4.4, kama unabish nipe email yako niku2mie vyet vyangu nawe unitumie vyako. Acha kubwatuka SAUT tishio kwa VYUO NDO MAANA wanashangaa hela wanatoa hela wapi kusambaza tz nzma! udsm ina miaka 60 ina branch ngap fikiri ww
 

Achana na huyo pimbi watu tunakula bata huku Duniani toka hapo hapo SAUT.Ngoja waendelee na majivuno ila fainali ni huku kitaa.
 
mliopo saut c mlifeli form 6? sasa iweje muwe bora wakati tunawafahamu uwezo wenu? au kisa kubebwa na hyo mi GPA ndo mnajiona bora? huwezi kunishawishi kama saut nacho chuo. bora ukae kimya coz mlifeli form 6 sasa mnaleta dharau

Kweli kabisa mama SAUT siyo chuo kikuu na wala hakitambuliki TCU.Fainali ni kitaa ndiyo utajua maana ya maisha baada ya kusoma,sasa hivi ulimbukeni unakusumbua.Pole sana.
 
Kweli kabisa mama SAUT siyo chuo kikuu na wala hakitambuliki TCU.Fainali ni kitaa ndiyo utajua maana ya maisha baada ya kusoma,sasa hivi ulimbukeni unakusumbua.Pole sana.

Unaweza kuta huyo ni first year huyo bas kaons kafika mlimani kumbe hata presentation hajui inafanyikaje anajua comprehensive huyu?...uozo mtupu atupishe sie na atuache wana SAUT tulale kama anabisha atuambie anasoma nin na wapi n tuanze arguing wit facts...hopeless huyo achanen nae
 
chuo chako bora kivipi,UDSM ni chuo bora sana barani Afrika na ulimwenguni pia,hivi chuo chako hata top 200 ya vyuo vikuu barani AFrika hakipo,au unashabikia kwa sababu umechguliwa huko na pia wahadhiri wako wengi ni product ya UD.
acha kukoropompo! kama wahadhiri wa vyuo vingine wanatoka UD na wa UD wanatoka wapi?
 
Katika wakati tulionao siyo wa kutishiana vyeti bali unauwezo wa kufanya nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…