Hii ni dawa ya nini?

Hii ni dawa ya nini?

Calm down na Taratibu soma maelezo yangu jina la ARV lisikutishe Si kila ARV ni kwa ajili ya HIV..
Kingine soma Nimeeleza Vizuri kwa Utulivu sana
Sasa huyuu demu kwann awe navyoo hata nimemuuliza wewe vip hanijibu kwa ufasahaa
 
Hapoo nimeeelewa mshezi yule kudadeki zake ndio maana akakataaa kupima

Kwanini kaamua a sex akijua anatumia hizo issue anafanya maksudi? Mbona Huwa wanaelezwa kabisa kulikua hakuna njia mbadala ya kukwambia utumie Kinga?

Huyo ni muuaji wa kukusudia anakuambukiza kwa kukusudia muhimu wataadharishe na wenzako .. ila ukapime ponapona yako ikiwa alikua anatumia dawa ipasavyo Kuna stage inakuwa ni ngumu kuambukiza
 
Sasa huyuu demu kwann awe navyoo hata nimemuuliza wewe vip hanijibu kwa ufasahaa
Muulize Taratibu bila kumuonyesha ukali wala Kushtuka atakujibu tu kama utamuonyesha hali ya Kutokuwa na hofu huku umetulia Kumsikiliza And NonJudgemental posture
 
Kwanini kaamua a sex akijua anatumia hizo issue anafanya maksudi? Mbona Huwa wanaelezwa kabisa kulikua hakuna njia mbadala ya kukwambia utumie Kinga?

Huyo ni muuaji wa kukusudia anakuambukiza kwa kukusudia muhimu wataadharishe na wenzako .. ila ukapime ponapona yako ikiwa alikua anatumia dawa ipasavyo Kuna stage inakuwa ni ngumu kuambukiza
Hata sielewiii ila ni hivyooo aseee hata najutaaa
 
Kwanini kaamua a sex akijua anatumia hizo issue anafanya maksudi? Mbona Huwa wanaelezwa kabisa kulikua hakuna njia mbadala ya kukwambia utumie Kinga?

Huyo ni muuaji wa kukusudia anakuambukiza kwa kukusudia muhimu wataadharishe na wenzako .. ila ukapime ponapona yako ikiwa alikua anatumia dawa ipasavyo Kuna stage inakuwa ni ngumu kuambukiza
Lucha Mzee wa nyeto njoo huku
 
Wacha niende nunua nitumie hiyoo dozi kwa siku 28 maaan nahisi ana ngoma yule demu

Muongozo unasema , unatumia ndani ya masaa 24 ukichelewa sana ndani ya masaa 72, kuanza kutumia HIV-PEP .. huoni kwamba umeshachelewa.?
 
Back
Top Bottom