Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama anazijua hadi namba anashindwa vipi kuchukua hatua, angekuwa Magu hizo gari zingetaifishwa
Ndiyo maana yakeKu
La urefu wa kamba maana yake kuiba?
Wakiwafukuza hovyo unadhani nyakati za uchaguzi watawatumia kina nani ?Tulio na kumbukumbu , miaka ya 70 mwanzoni, Rais Nyerere alichukizwa na rushwa na utendaji mbovu wa maafisa wa juu jeshi la polisi.
Aliwafukuza wote baada ya utafiti kufanyika na kuthibitika kuwa si waaminifu kazini.
Mama Samia tunaomba afaye hivyo.
Afisa wa polisi hawezi kwenda mwenyewe, kiholela, kuchukua kwenye kituo chao mafuta ya diesel bila kuwepo mtandao wa wizi.
Aliweza kuwafukuza kwakuwa yeye mwenyewe alikuwa na uaminifu usio na shaka.Tulio na kumbukumbu , miaka ya 70 mwanzoni, Rais Nyerere alichukizwa na rushwa na utendaji mbovu wa maafisa wa juu jeshi la polisi.
Aliwafukuza wote baada ya utafiti kufanyika na kuthibitika kuwa si waaminifu kazini.
Mama asipolishughulikia hili kikamilifu litaisumbua serikali huko mbele.Aliweza kuwafukuza kwakuwa yeye mwenyewe alikuwa na uaminifu usio na shaka.
Hali ni tofauti leo. Labda hao polisi nao wameona hapo ndipo urefu wa kamba zao unapofikia! 😆😆
Hujajibu swali.Hili swali muulize rais wako kipenzi ndiyo alitoa hiyo kauli ya urefu wa kamba.
Kwa watumishi wa serikali katili ya CCM kula kwa urefu wa kwamba ni kufanya uhalifu wa wazi-wazi na ndiyomaana kauli hiyo ilitolewa wazi-wazi.Hujajibu swali.
Kula kwa urefu wa kamba yako maana yake kufanya uhalifu wa wazi wazi?
Hilo sio la kujiuliza, hushangai mnamkamata mwizi asubuhi mnampeleka kituoni jioni mnakutana nae kwenye viti virefu anashushia bia baridi?Kwa hiyo polisi mwizi, tena ofisa, atamkamataje mwizi?