Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
muoe yeye na mwenzi wake 😆 😆Nitakuoa mara ya pili 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
muoe yeye na mwenzi wake 😆 😆Nitakuoa mara ya pili 😀
Umeamua kuaibisha ukoo??Hongereni wazee wa show kali, sisi wazee wa tako 3 kazi imeisha tunapita tu.
😂😂
BINAMU ukoo haujaaibika, we shughuli ya ukoo wetu unatujua, hatunaga kazi mbovu, ila hatujui kujitamba.Umeamua kuaibisha ukoo??
mshangazi uchanganyikiwe na ford tena 😂,,, huo sio mshangazi ni myatimaInawezekana vipi mimi na wewe wote tupitie situation moja..?? Hahaha
Napitia exactly ulichokiandika right now, shida kwangu ni huyu “mshangazi” anawaza tuzae wote na hapo ndo anaponikwaza, imebidi kila nikienda kula tunda nibebe P2 na maji, tukimaliza tu namlazimisha ameze. Inanikwaza sana. Ukute kachanganyikiwa na ford hii kumbe ni hela za wife bhn, hahahhaha
Wazee wa tako 3 tunaumia sana tukiona mada hiziHongereni wazee wa show kali, sisi wazee wa tako 3 kazi imeisha tunapita tu.
😂😂
Tujikubali tu mkuu, kauli mbiu yetu "tako 3 nazo zinatia mimba" 😂🤣Wazee wa tako 3 tunaumia sana tukiona mada hizi
"Taco 3 si haba"Tujikubali tu mkuu, kauli mbiu yetu "tako 3 nazo zinatia mimba" 😂🤣
Huyu mshangazi maskini, hahahamshangazi uchanganyikiwe na ford tena 😂,,, huo sio mshangazi ni myatima
Nimecheka kwa sauti 😂😂😂😂Hivi we equation x na wenzio mnaopost kila siku humu,hayo matukio huwa ya kweli au ni kujitengenezea brand tuu humu ndani,watu gan kila siku ya Mungu mna matukio?
hakikaHuyu mshangazi maskini, hahaha
Eeeeeh eeeeh eeeehNipo kwenye mahusiano na mlimbwende mmoja (mchepuko); ambaye ameamua kuwa na mimi pale mama watoto anapokuwa mbali nami kijiografia.
Nimekuwa nampa shoo za ukweli mara kwa mara, na hii imempelekea kila siku jioni lazima alazimishe tuonane.
Tangu wiki iliyopita hataki kuniachia nafasi, akitoka kwenye shughuli zake ataniuliza niko wapi?.
Nitakapokuwepo atalazimisha aje, na baadaye tutaenda nyumbani na kufanya yetu mpaka asubuhi.
Mbaya zaidi amenipa vitisho, ikitokea amenifumania, yuko tayari wote tukose.
Sasa najiuliza, hii ni kuchanganikiwa au kunogewa kwenye mapenzi?
Sasa hivi yuko njiani anakuja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unao michepuko wangapi mkuu??[emoji2][emoji2]
😀 😀 😀 subiri nijilete mwenyeweBiashara matangazo,,hatukufati PM ng'ooo
Na kweli amepagawa, yupo hapa kwenye sofa amekaa na kanga moja 😀Mchepuko umepagawa na dudu ya yuyu ya Equation x🤣🤣