Hii ni kumbukumbu nzuri sana kwenye Soka Letu

Hii ni kumbukumbu nzuri sana kwenye Soka Letu

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Wakuu Kumbu kumbu nzr sana hii, namkumbuka Ramadhani Lenny akija home ( mtoni Kwa azizi Ali, uwanja wa sifa) kucheza ndondo akitokea mbagala kabla ya kuingia Simba.
.
Hakika alikuwa moto sana na miguu yake kama imechomekwa ivi😃😃 hakika tulipata burudani.

Zamoyo mogella, pia huyu nae alikuwa kiboko, alipojiunga na simba akitokea Moro nadhani, ikicheza Simba na Yanga.

Mogella lazima akabwe na watu zaidi ya mmoja wakiongozwa na Athuman Juma Chama, lakini Bado alipopata upenyo aliwatoboa akina Khamis Kinye😃😃

Wakati ule nilikuwa Bado kijana mdogo,nacheza mpira wa miguu pia, niliwafuatilia sana wachezaji kuwajua.
.
Nilitamani nicheze kama Nicodemus Njohole, Ally Katolila na Boniface Mkwasa, ( sikuweza)
Screenshot_20220524-181121.jpg
 
Sikumbuki mwaka ambao Zamoyoni Mogela akiwa Simba aliwahi kuifunga Yanga. Mara nyingi battle ya Mogela ilikua Yeye na Chama na hakuna aliye ingilia.

Athuma Juma Chama (jogoo) alifanikiwa ku mdhibiti Mogela Kwa siku zote alizo kutana naye. Ramadhani leny (Abega) alikua kiungo fundi pale msimbazi ila Selestin Sikinde Mbunga winga wa majimaji baadae Yanga alikua mtu nanusu.

Octavian mrope alitokea majimaji iliyokua tishio amakweli siku azigandi. Ahmed Amasha Beki wa mpira Beki kweli kweli kwahakika Kila jambo Lina muda wake.

Zamani burudani zilikuwepo Tena vipaji halisi. Yaani ukienda kwenye mziki wapo DDC mlimani park Leo tuna msikiliza Mondi na Kiba. Tanzania Kila kitu kwenye michezo ,Sanaa na Muziki vimekufa.
 
Sikumbuki mwaka ambao Zamoyoni Mogela akiwa Simba aliwahi kuifunga Yanga. Mara nyingi battle ya Mogela ilikua Yeye na Chama na hakuna aliye ingilia...
Wazuri sana hao watu kaka

Tulikua na watu kabla ya systems of play,sasa tuna systems hatuna watu.

Tunatakiwa tutengeneze watu ili tuwatumie kwenye mifumo

Late 80 Ndovu ya Arusha ilitengenezwa na wachezaji ambao marehemu Suleimani Gwaja ,alikua anatengeneza pattern na kufanya subss inapobidi.

Wachezaji wote walikua na uwezo wa kucheza 120 minutes bila tatizo.

Mazoezi ,lishe, umoja- strength kwenye cross country na kupanda vilima vya Ilboru.

Kisaka,Ali Pande,Saimon kishoka,Juma Mkulila,Lila shomari,Charles Mghodo, Mwanga Luheya,Mahmoud Omary, Bob chopa Mohamed, Hamisi Gaga, Mohamed Mateneke

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sikumbuki mwaka ambao Zamoyoni Mogela akiwa Simba aliwahi kuifunga Yanga. Mara nyingi battle ya Mogela ilikua Yeye na Chama na hakuna aliye ingilia.

Athuma Juma Chama (jogoo) alifanikiwa ku mdhibiti Mogela Kwa siku zote alizo kutana naye. Ramadhani leny (Abega) alikua kiungo fundi pale msimbazi ila Selestin Sikinde Mbunga winga wa majimaji baadae Yanga alikua mtu nanusu.

Octavian mrope alitokea majimaji iliyokua tishio amakweli siku azigandi. Ahmed Amasha Beki wa mpira Beki kweli kweli kwahakika Kila jambo Lina muda wake.

Zamani burudani zilikuwepo Tena vipaji halisi. Yaani ukienda kwenye mziki wapo DDC mlimani park Leo tuna msikiliza Mondi na Kiba. Tanzania Kila kitu kwenye michezo ,Sanaa na Muziki vimekufa.
Mkuu Huu Usimba na Uyanga Utaaribu mjadala

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Bob Chopa tuliwahi kukaa nae mtaa mmoja Kitomondo Wailes Temeke.

Ila Khamis Tobias Gaga wakati akicheza Simba na Athumani Abdalah China wa Yanga jamaa wakikutana kwenye mechi ya Yanga na Simba kulikua na ufundi mkubwa sana.

Jamaa walikua wanajua boli. Nikimuona Sure Boy uyu Babu kaju naiona Copy ya Athumani Abdalah China.
 
Muulize Khamisi Kinye kama utapata nafasi ya kuwasiliana nae anamjua Golden Boy ( Mogella) ni nani
.
Kuna siku , Khamis Kinye alifungwa goli pale shamba la bibi, ukawa ugomvi kati ya Kinye na beki wake Amasha, kuhusu nani aufute mpira golini,[emoji2][emoji2].
.
Maana wakati huo, Kipa akifungwa, alafu afuate Mpira golini ilikuwa aibu sana, na makipa walikuwa hawapendi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Muulize Khamisi Kinye kama utapata nafasi ya kuwasiliana nae anamjua Golden Boy ( Mogella) ni nani
.
Kuna siku , Khamis Kinye alifungwa goli pale shamba la bibi, ukawa ugomvi kati ya Kinye na beki wake Amasha, kuhusu nani aufute mpira golini,[emoji2][emoji2].
.
Maana wakati huo, Kipa akifungwa, alafu afuate Mpira golini ilikuwa aibu sana, na makipa walikuwa hawapendi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hii story sana nii kumbukumbu nzuri kwa watu wa zamani 80s - 90s
 
Wakuu Kumbu kumbu nzr sana hii, namkumbuka Ramadhani Lenny akija home ( mtoni Kwa azizi Ali, uwanja wa sifa) kucheza ndondo akitokea mbagala kabla ya kuingia Simba.
.
Hakika alikuwa moto sana na miguu yake kama imechomekwa ivi😃😃 hakika tulipata burudani
.
Zamoyo mogella, pia huyu nae alikuwa kiboko, alipojiunga na simba akitokea Moro nadhani, ikicheza Simba na Yanga.
.
Mogella lazima akabwe na watu zaidi ya mmoja wakiongozwa na Athuman Juma Chama, lakini Bado alipopata upenyo aliwatoboa akina Khamis Kinye😃😃
.
Wakati ule nilikuwa Bado kijana mdogo,nacheza mpira wa miguu pia, niliwafuatilia sana wachezaji kuwajua
.
Nilitamani nicheze kama Nicodemus Njohole, Ally Katolila na Boniface Mkwasa, ( sikuweza)

Una Uhakika hii picha Uliyoambatanisha ina hao Wachezaji Unaowataja?

Ninaona mawimbi tu kwenye hii picha ...ila Endelea kutupanga!
 
Back
Top Bottom