Kweli humu kumejaa watoto mpaka naandika thread hii hakuna anayejua. .
There is different ya kufika kileleni na kukojoa. Unaweza kumkojoza hata mara kumi na bado asifike kileleni. Kuna watu ndio maana wakiachwa na wanawake wanaona bado watarudi kwa sababu walikuwa wanawakojoza vizuri, kumbe hawakuwafikisha kileleni. .
Mwanamke anaweza fika kileleni bila hata kumkojoza, kufika kileleni maana yake ni kuwa satsfied. Let me put it in english. There is ejaculating (cumming), which is kukojoa. There is orgasm which is kileleni (kuwa satsfied). Mwingine hata ukimshika mkono anaridhika, au akiliwa mate anaridhika kabisa anaenda kuota usiku. .
There is :
1. Ejaculation (kukojoa)
2. Orgasm (Kileleni)
3. Bliss (maximum pleasure and fulfillment ) - mapenzi ya sayari ya mbali
Sitaki kuulizwa maswali, ila katika ujana wangu nishawahi mpa mtu Bliss three times. Vijana tafuteni hela maisha magumu sana. .