Hii ni kwa wanawake mnaotumia ujauzito kama fashion

Wanajua hamchelewi kusema wameweka mavitambaa, wanaamua wawaonyeshe matumbo kabisa ili muamini
 
Mbona wadada wenyewe ni wakizungu sio Watz..
Achana nao Mkuu.
 
Mimi huwa nawaombea kwa aliyewaumba wafanyapo upuuzi huo basi wakati wa kujifungua wafe kwa kifafa cha mimba.
 
Mngekuwa mnatafuta kwa jasho msingelialia kila leo jf,wengi wenu mnalelewa na wanawake period
Na siwez kasirika huu ni mchezo tu
Haka ka paragraph ulichoniandikia ni irrelevant na nilichokuelewesha hayo yanatoka wapi sasa kama kunawanaolelewa it's up to them mm nlkuwa na deal na kakauli kako apo juu

Mutoto muzuri the iron butterfly
 
Utauringishia ukiwa na bwana alikutia mimba unadhani ukiwa na uhakika wa u single mother huo ujasiri wa kuturingishia unaupata wapi[emoji23][emoji23]
Dogo usipangie watu maisha awe mke wa mtu awe singo Maza maamuzi ni yake juu ya mwili wake,kwani humlish,humvish,humlipii kodi,kwanini uteseke?pambana na kibarua chako ya watu waachie
 
Haka ka paragraph ulichoniandikia ni irrelevant na nilichokuelewesha hayo yanatoka wapi sasa kama kunawanaolelewa it's up to them mm nlkuwa na deal na kakauli kako apo juu

Mutoto muzuri the iron butterfly
Ni very relevant anayetafuta hashind jf dude
Kutwa kuanzisha vithread vya kutafuta umaarufu kunuka juu ya wanawake
Inaonyesha hana kazi period
 
Wakitoka hapo wanaanza kusumbuana "Child support" mpaka mnafikishana ustawi wa jamii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…