Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
- Thread starter
- #61
View attachment 1143769kuna anaeteseka uko
Shida kaziba chin hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 1143769kuna anaeteseka uko
Watafanyaje sasa wakati akili zao zote wamezikabidhi kwenye mitandao ya kijamii, wamebaki na akili kisoda za kuvukia barabara. mwisho wa siku wanaishi kama mateka wa trend za mitandaoni.
Sio wote lakini. Wapo dada/mama zetu ambao bado wanajielewa.
Uwaangalie bila kuwatafakari ndio usalama wako,vinginevyo ikifika jioni unaweza ukakuta unaumwa kichwa kwa kuwawaza,wana mambo mengi sana na huwa hayawachoshi.Tusiwalaumu wakati mwingine,ndivyo walivyoumbwa....
Kwa ajili ya matumizi mengine mkuu [emoji23] [emoji23]
Kama vile drawing
Research purposes [emoji23]
Naamini haujawahi ku display picha ya kiumbe chako kikiwa bado sealed kwenye placenta au sio ?
Shida kaziba chin hapo
We mtoto unashida unataka uone nini
Instagram, Twitter au FB , snapchat au kwingine popote mkuuKudisplay wapi mkuu
Before ipi mkuu,ulipokuwa mdogo au kabla hujazaliwa...?Mbna before haikuwa hvo?
Na wana style ya kuvaa vigauni vifupi mtumbo huo wanazunguka mjini
Wanatumia style ya inamanikusweke sioHahahaa kwa dizain hii ndomana watu wanakula hta wajawazito kwa nguo wanazovaa
Instagram, Twitter au FB , snapchat au kwingine popote mkuu
Kwanza Futa kauli hyo dada, usirudie tena
Na wana style ya kuvaa vigauni vifupi mtumbo huo wanazunguka mjini
Wanatumia style ya inamanikusweke sio
Tatizo wanaficha maziwa
Ipi mtoto
Tuonesheni vyote, wengine matamanio yetu yapo vifuani humo - chuchu ,titi na nini na niniNdounachotaka kuona mkuu