Hii ni kwa wanawake mnaotumia ujauzito kama fashion

Hii ni kwa wanawake mnaotumia ujauzito kama fashion

niwawaza sana nkipata kitumbo na mimi ntajipost [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Sio tumbo tu inabidi na huku juu kifuani ukuache wazi au unakuwa uchi umesimama na tumbo lako ndo picha inakuwa natural zaidi tunaona uhalisia wa mama wa ki Africa
Nimesomea graphics and pictures mkuu lazima utapendeza
 
Mkuu wewe unaathirika mini wakionyesha vitovu vyao?
Nipe hasara upatayo bosi uonapo mjamzito na kitumbo ndiiiii,,,
Wacha tule raha ya macho kuona maisha yaendelee
 
Yani kizazi cha leo hichi kina lahana wamevaa vimini adi mda mwingine nusu uchi sasa hivi wameamua waweke mitumbo yao wazi na ndio maana mashoga wamekuwa wengi sana siku hizi eti wanasema mambo ya kisasa na itafika wakati watakuwa wanatembea uchiiiii kabisaaaa
 
Yani kizazi cha leo hichi kina lahana wamevaa vimini adi mda mwingine nusu uchi sasa hivi wameamua waweke mitumbo yao wazi na ndio maana mashoga wamekuwa wengi sana siku hizi eti wanasema mambo ya kisasa na itafika wakati watakuwa wanatembea uchiiiii kabisaaaa

Strongly agree
 
Sio tumbo tu inabidi na huku juu kifuani ukuache wazi au unakuwa uchi umesimama na tumbo lako ndo picha inakuwa natural zaidi tunaona uhalisia wa mama wa ki Africa
Nimesomea graphics and pictures mkuu lazima utapendeza
🤦‍♀️ watu wa graphic hawa
 
Kumekuwa na tabia ambayo inakuja kwa kasi sana zama hzi inawahusu nyie wanawake wajawazito. Sijui kama nitakuwa nakosea ila kwa utamaduni wetu wa kiafrica haipendezi kwakweli. Wanawake sikuhz mnatumia ujauzito kama fashion unakuta dada anapost instagram anatuonesha uchi wa tumbo lake halisi (uncovered). Anyway kupost sio tatizo why usipost ukiwa covered? Mpaka tuone tumbo lako ndio post inakua nzuri.

Ushauri kwa dada zetu jaman sio kila kitu cha kuiga na haipendezi kumbuka yule ni kiumbe umebeba kwa makusudio ya mungu, ila wewe unatumia kama fashion.

Jaman nyie mnaonaje hili suala katika jamii zetu za kiafrica ni sawa kwa mwanamke kutuonesha uchi wa tumbo lake uko kwenye social medias?? Mnasemaje?
View attachment 1142358View attachment 1142359
kila mtu afanye anachopenda, mimba inatafutwa kwa tabu wengine kupata si leo , acha mtu apige picha anavyojiskia kama akipost public anapata amani au kwake haina shida mwache, kila mtu ana life style yake bhn si kila kitu mnaleta tamaduni za kiafrika basi hata kutumia smart phones cyo tamadun zetu kooooo embu tupunzishe
 
Hahahah unaumia hadi kwa mimba tubebazo?mara mseme tunazalishwa na kuachwa,mara tunaomba Sana hela,mara hatuoleki,leo unaumia tukiringishia mimba zetu
Kweli we run this shit meeeennnn
Binafsi nikiwa mjamzito naringishia hadi kuna watu wanatamani kunikill ila ndo hivyo uzazi ni barka na sisi ni miungu wa pili,so kijana tuheshimu sana,ukitutusi sisi sawa umemtusi Muumba wako.
Uungu upi unaouzungumzia hapa?
 
IMG_8398.JPG
kuna anaeteseka uko
 
Watafanyaje sasa wakati akili zao zote wamezikabidhi kwenye mitandao ya kijamii, wamebaki na akili kisoda za kuvukia barabara. mwisho wa siku wanaishi kama mateka wa trend za mitandaoni.

Sio wote lakini. Wapo dada/mama zetu ambao bado wanajielewa.
 
Watafanyaje sasa wakati akili zao zote wamezikabidhi kwenye mitandao ya kijamii, wamebaki na akili kisoda za kuvukia barabara. mwisho wa siku wanaishi kama mateka wa trend za mitandaoni.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu kamaliza
 
Kumekuwa na tabia ambayo inakuja kwa kasi sana zama hzi inawahusu nyie wanawake wajawazito. Sijui kama nitakuwa nakosea ila kwa utamaduni wetu wa kiafrica haipendezi kwakweli. Wanawake sikuhz mnatumia ujauzito kama fashion unakuta dada anapost instagram anatuonesha uchi wa tumbo lake halisi (uncovered). Anyway kupost sio tatizo why usipost ukiwa covered? Mpaka tuone tumbo lako ndio post inakua nzuri.

Ushauri kwa dada zetu jaman sio kila kitu cha kuiga na haipendezi kumbuka yule ni kiumbe umebeba kwa makusudio ya mungu, ila wewe unatumia kama fashion.

Jaman nyie mnaonaje hili suala katika jamii zetu za kiafrica ni sawa kwa mwanamke kutuonesha uchi wa tumbo lake uko kwenye social medias?? Mnasemaje?
View attachment 1142358View attachment 1142359
Aaah wasamehe sometimes tunaweza waita special group (samahani) maana mambo yao mengi unajiuliza unakosa majibu
 
Mnapendeza Sana. Sasa mkuu siungetutumia nyengine amekiachia hicho kinguo au amekitoa kabisa huoni kama wengine tuna matatizo ya kuona tutajuaje kama ana mimba kweli
Yes tunakua nao
 
Back
Top Bottom