Hii ni kweli kuhusu Majini?

Hii ni kweli kuhusu Majini?

Majini yana jinsia.
Majini yanazeeka
yanaugua
yanakufa
yana wivu, hasira,furaha n.k kama sisi
yana free willing kama sisi..
yalumbwa kwa moto..
yanazaliana
majini yana jinsia.
majini yaliumwa kwa moto.

Malaika waliumbwa kwa nuru.
malaika hawana jinsia.
malaika hawazaliani.
malaika hawana free willing.

Kuna sehemu nilisoma.
Ni sahihi mkuu.
Na mbaya zaidi majini ni viumbe visivyoweza kudhibiti dhamiri zao.
Ndio maana hata katika uislamu tulikatazwa kuambatana nao.
Maana ni dakika sifuri wao kukuangamiza.
 
Madam madini yanashikiliwa na hao viumbe.
Usidhani ukitaka kufanya biashara ya madini unaingia tu unafanya unapata,hata ukiwa na mabilioni kama hao jamaa hawataki ushike mali zao huzishiki.
Kitendo cha kumuita akufanikishie upate jiwe ni sawa na kutumia pesa yake.
Tena bora ufanye hivyo,maana ukitaka pesa kama pesa Yani hizi hapa masharti yake ni zaidi ya hayo nilokutajia.
Kuna kisomo kinaitwa Qassam/azma,hivi ni visomo vya kuwaita marohani wenye mali za madini na pesa.
Mie nilipoenda na huyo ndugu yangu tulipiga kisomo cha kumuita Hamamah.Huyu anakuja kama ndege tai mkubwa,na kadri unavyozidi kusoma azma anabadilika kuwa mwanamke mzuri sana.
Masharti ya kupewa pesa kama pesa;
-Ukubali kuoana nae yani yeye awe mke wako.
-Usioe mwanamke mwingine zaidi ya yeye huyo jini.
-Usijaribu kujihusisha kivyovyote na wanawake wengine.

Mamaangu wewe kuweza!?
Nikakubali masharti yale nilokutajia juu kule,masharti yale ni ya wao kukupa pete itakayokuwezesha kupata dhahabu kila unapoenda machimboni,maana Hamamah ni malkia wa dhahabu.
Sasa kuivaa ile pete na ukatafuta dhahabu pale ni sawa anajitafutia yeye.
Sasa kauze hiyo dhahabu ambayo kakusaidia kuipata halafu utombee pesa yake.
Alooooo😂😂😂 kazi unayo.

Sasa jiulize ningekubali masharti ya pesa kama pesa kingenikuta nini!?
Aisee!!
Kumbe hivi vitu vipo?
Noma sana mkuu!!
 
Madam madini yanashikiliwa na hao viumbe.
Usidhani ukitaka kufanya biashara ya madini unaingia tu unafanya unapata,hata ukiwa na mabilioni kama hao jamaa hawataki ushike mali zao huzishiki.
Kitendo cha kumuita akufanikishie upate jiwe ni sawa na kutumia pesa yake.
Tena bora ufanye hivyo,maana ukitaka pesa kama pesa Yani hizi hapa masharti yake ni zaidi ya hayo nilokutajia.
Kuna kisomo kinaitwa Qassam/azma,hivi ni visomo vya kuwaita marohani wenye mali za madini na pesa.
Mie nilipoenda na huyo ndugu yangu tulipiga kisomo cha kumuita Hamamah.Huyu anakuja kama ndege tai mkubwa,na kadri unavyozidi kusoma azma anabadilika kuwa mwanamke mzuri sana.
Masharti ya kupewa pesa kama pesa;
-Ukubali kuoana nae yani yeye awe mke wako.
-Usioe mwanamke mwingine zaidi ya yeye huyo jini.
-Usijaribu kujihusisha kivyovyote na wanawake wengine.

Mamaangu wewe kuweza!?
Nikakubali masharti yale nilokutajia juu kule,masharti yale ni ya wao kukupa pete itakayokuwezesha kupata dhahabu kila unapoenda machimboni,maana Hamamah ni malkia wa dhahabu.
Sasa kuivaa ile pete na ukatafuta dhahabu pale ni sawa anajitafutia yeye.
Sasa kauze hiyo dhahabu ambayo kakusaidia kuipata halafu utombee pesa yake.
Alooooo😂😂😂 kazi unayo.

Sasa jiulize ningekubali masharti ya pesa kama pesa kingenikuta nini!?
Kwahiyo ulimuoa?? Na pesa zake ukakwichia?
Hukuogopa kuona kiumbe cha ajabu kipo km tai halafu ghafla kikawa mwanamke na ukawa na mahusiano nacho??
Mbona km unanifunga kamba?? 😹😹😹
 
Kwahiyo ulimuoa?? Na pesa zake ukakwichia?
Hukuogopa kuona kiumbe cha ajabu kipo km tai halafu ghafla kikawa mwanamke na ukawa na mahusiano nacho??
Mbona km unanifunga kamba?? 😹😹😹
Hujanielewa.
Ngojea nikueleweshe.
Kipindi huyo shekhe anasoma tulikua tukimfatiza.
Alipotokea nilizungumza shida zangu.
Akatoa masharti katika mafungu mawili.
Masharti ya kwanza ni ya yeye kukupa pete ya bahati;
-Usilewee pesa yake
-Usizini nje tofauti na mkeo
-Usigawe pesa utazopata hovyo hata kama hao wanawake hautembei nao.

Na kuna masharti ya pesa kama pesa,unataja hela unayotaka unapewa,masharti.
-Umuoe yeye.
-Usioe mwingine zaidi yake.
-Usijihusishe na wanawake wengine.

Mimi nilichagua masharti ya kule juu ya kwanza ya kupewa bahati,na hata kama ukipewa bahati au pete ya bahati pesa unazopata ni kama pesa zao tu isipokua hiyo ni indirect money ila hiyo ya kumuoa ni direct money.
Hapo sijui umeelewa sasa!?
 
Hujanielewa.
Ngojea nikueleweshe.
Kipindi huyo shekhe anasoma tulikua tukimfatiza.
Alipotokea nilizungumza shida zangu.
Akatoa masharti katika mafungu mawili.
Masharti ya kwanza ni ya yeye kukupa pete ya bahati;
-Usilewee pesa yake
-Usizini nje tofauti na mkeo

-Usigawe pesa utazopata hovyo hata kama hao wanawake hautembei nao.

Na kuna masharti ya pesa kama pesa,unataja hela unayotaka unapewa,masharti.
-Umuoe yeye.
-Usioe mwingine zaidi yake.
-Usijihusishe na wanawake wengine.

Mimi nilichagua masharti ya kule juu ya kwanza.
Hapo sijui umeelewa sasa!?
Aaaah...
Hapo mkuu kwenye red, ningemuambia jini "mama kwa heri kama ni pesa zako kaa nazo"

Kwa sababu najijua angeniua bure tu, gambe lazima ningekunywa tu hata iwe vipi.. na totoz ningetandika tu..
 
Aaaah...
Hapo mkuu kwenye red, ningemuambia jini "mama kwa heri kama ni pesa zako kaa nazo"

Kwa sababu najijua angeniua bure tu, gambe lazima ningekunywa tu hata iwe vipi.. na totoz ningetandika tu..
😂😂😂😂😂😂😂Shida kuu ipo kwenye mbususu.
Kaka wanaume tunapitia majaribu ya tamaa za wanawake huko nje.
Je ukitereza Aisee!?
 
Hujanielewa.
Ngojea nikueleweshe.
Kipindi huyo shekhe anasoma tulikua tukimfatiza.
Alipotokea nilizungumza shida zangu.
Akatoa masharti katika mafungu mawili.
Masharti ya kwanza ni ya yeye kukupa pete ya bahati;
-Usilewee pesa yake
-Usizini nje tofauti na mkeo
-Usigawe pesa utazopata hovyo hata kama hao wanawake hautembei nao.

Na kuna masharti ya pesa kama pesa,unataja hela unayotaka unapewa,masharti.
-Umuoe yeye.
-Usioe mwingine zaidi yake.
-Usijihusishe na wanawake wengine.

Mimi nilichagua masharti ya kule juu ya kwanza ya kupewa bahati,na hata kama ukipewa bahati au pete ya bahati pesa unazopata ni kama pesa zao tu isipokua hiyo ni indirect money ila hiyo ya kumuoa ni direct money.
Hapo sijui umeelewa sasa!?
Hivi mkuu, hilo jini kulipiga mkia linakuja kabisa chumbani linaanza kuvua, mnafanya romance, unalipiga ile mikao yetu ya kibabe ama inakuwaje?

Na ukizini nalo linapata mimba?
 
Ndio wanaoyatumia wanatoka nje ya mstari,tena ni aina ya ushirikina wa wazi wazi.
Mtume mwenyewe hakuwahi kutumia majini wewe mfuasi wake utumie ili iweje!?
Sasa ni nani aliyeyaingiza haya mambo yakachanganyikana na uislamu sheikh? maana sasa umma unaamini uislamu haukamiliki bila shirk vitu kama al badr ni uchawi kabisa
 
Sasa ni nani aliyeyaingiza haya mambo yakachanganyikana na uislamu sheikh? maana sasa umma unaamini uislamu haukamiliki bila shirk
Uislam umekataza ushirikina.
Ila kuna watu ambao wana elimu ila huitumia vibaya hiyo elimu.
Ila Uislam umekataza ushirikina na ukifa na dhambi hiyo Mungu kamwe hakusamehi.
Maana waislam tumeahidiwa kwa wale ambao hata kama walikua watenda dhambi ila kama walikufa pasi na kufanya ushirikina basi kwa ofa hiyo watasamehewa dhambi zao.
Ila ukifa na dhambi ya ushirikina hausameheki.
 
Uislam umekataza ushirikina.
Ila kuna watu ambao wana elimu ila huitumia vibaya hiyo elimu.
Ila Uislam umekataza ushirikina na ukifa na dhambi hiyo Mungu kamwe hakusamehi.
Maana waislam tumeahidiwa kwa wale ambao hata kama walikua watenda dhambi ila kama walikufa pasi na kufanya ushirikina basi kwa ofa hiyo watasamehewa dhambi zao.
Ila ukifa na dhambi ya ushirikina hausameheki.
Unasemaje kuhusu tamko la Sheikh Dr sule la kusema majini yanaweza kutumika kupata mali?
 
Mkuu huyo jini mi angeniua bure tu.

downloadfile-357-jpg.3042408
Msituchanganye msituletee uzuri jf
 
Wenzetu mnayajua sana Majini na mnayatetea kwa nguvu zote.
Hivi unakataaje kushirikiana na kaka yako wa Kijini.
Mtume kasema Majini ni kaka zenu.
Sasa mbona mna wanyanyapaa tena.
 
Wenzetu mnayajua sana Majini na mnayatetea kwa nguvu zote.
Hivi unakataaje kushirikiana na kaka yako wa Kijini.
Mtume kasema Majini ni kaka zenu.
Sasa mbona mna wanyanyapaa tena.
Lete ushahidi wa mtume kusema majini ni kaka zetu.
Nasubiri hapa.
 
Back
Top Bottom