Hii ni kweli kuhusu Majini?

kwaio mkuu kwalugha rahisi unataka kunambia hao majini kama unataka mafanikio wanakupa..?
 
Mkuu huyu anaitwa nani nimfatilie?
Huyu alikuwa sheikh hussein mubarack,pia unaweza kumtafuta mwengine sheikh omar mnyeshani hawa kabla ya kuwa wakristo walikuwa mabingwa falaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…