Huyu jamaa ni MUONGO.
Huyo kavamia tu Pilau la Watu kwenye Maulidi yao wala hausikiHii elimu ya kina Omary, Husein, Yahya! Sasa William.....!!?
Majini na mashetani? Umeongeza msamiati mwingineHuyu jamaa ni MUONGO.
Uislam umekataza binadamu kushirikiana na majini,na misikitini majini hawatakiwi kukaa huyo kaongopa.
Na suratul jinni ambayo wametumiwa hao majini waliambiwa na Allah"Hakika msikiti ni ya Mungu na asihusishwe yeyote na yeye Abadan".
Na jini ataeingia ndani ya mwili wa binadamu huyo ni shetani kakiuka.View attachment 3042261
Unakataa nini sasa wakati majinn yanaingia hadi kuswali na quran inasema malaika anakaa kulia kwa muumin na jinn anakaa kushoto ndio maana muumin anasalimia kushoto na kulia akisema as-salaam aleikum waramatullah akigeuza shingo kulia na kushotoHuyu jamaa ni MUONGO.
Uislam umekataza binadamu kushirikiana na majini,na misikitini majini hawatakiwi kukaa huyo kaongopa.
Na suratul jinni ambayo wametumiwa hao majini waliambiwa na Allah"Hakika msikiti ni ya Mungu na asihusishwe yeyote na yeye Abadan".
Na jini ataeingia ndani ya mwili wa binadamu huyo ni shetani kakiuka.View attachment 3042261
Jamaa gani?Huyu jamaa kaongopea watu kule Facebook kaona uongo wake umevuka daraja kahamia huku
Kwa mujibu wa imani yetu shetani ni kiumbe yeyote ambaye ana matendo maovu,hususan jini.Majini na mashetani? Umeongeza msamiati mwingine
Pesa Shetani? Muziki Shetani? Muziki Moto?Kwa mujibu wa imani yetu shetani ni kiumbe yeyote ambaye ana matendo maovu,hususan jini.
Hivyo hata wewe ukiwa na matendo maovu ni sawa na shetani,shetani ni sifa.
Ukiwa muovu kupindukia umevaa sifa ya ushetani.
Sababu ya kusalimia kushoto na kulia sio za kumpa jini na malaika salamu.Unakataa nini sasa wakati majinn yanaingia hadi kuswali na quran inasema malaika anakaa kulia kwa muumin na jinn anakaa kushoto ndio maana muumin anasalimia kushoto na kulia akisema as-salaam aleikum waramatullah akigeuza shingo kulia na kushoto
Mashehe mahiri ndio wanatuambia hivyo wewe ni nani hata uukane ukweli jamaa yanguSababu ya kusalimia kushoto na kulia sio za kumpa jini na malaika salamu.
Umedanganywa,majini walipewa ulimwengu wao ambao hawaruhusiwi kujichanganya na binadamu kwa mujibu wa uislamu.
Kutoa salamu katika kumaliza swala ni kutoa shukran kwa Allah na si vinginevyo,alokwambia eti kushoto jini kulia malaika amekudanganya sana mkuu.
Msiokoteze tu maneno kwa watu huko.
Mungu anajua kuwa majini ni viumbe watata ndio maana alipiga marufuku sisi binadamu kushikamana nao.
Nimekuletea ushahidi wa Qur'an kaka sura ya 72 mstari wa 18 ikisema misikiti ni ya Mungu.Mashehe mahiri ndio wanatuambia hivyo wewe ni nani hata uukane ukweli jamaa yangu
wewe ni mganga wa kienyeji au siyo!YAJUE MAJINI KWA UNDANI
- Neno majini linatokana na neno maji " sababu element ya majini ni maji na sio moto "
- Majini hupendelea kuishi na kukaa baharini, mtoni, ufukweni zaidi.
- Majini ni mashabiki wazuri wa michezo ya mpira, kamali n.k
- Majini yana vitengo kama zilivyo serikali zetu kuna kitengo cha kami ambacho kina kamishina wake na mshahara wake upo palepale na huandika report kila sekunde ya watu aliowavuna kwa sekunde.
- Majini kabla ya hapo walikuwa wastarabu sana ila inasemekana walianzisha upizani Kwa Mkuu wa umbaji ndipo walipigana na baadaye kuangukia duniani.
- Wengine walipoangukia duniani walianza kuzaliana na wanadamu na hadi sasa majini hutegemea sana wanawake ili kuzalisha majini wenzao na hiyo hufanya sehemu kubwa wanawake kupitia changamoto za uzazi hadi amalize kizalishwa watoto wao.
- Majini pia ni wapenzi wa kulala na wanadamu kwa ngono hasa majini ya kiume huwa warafi zaidi kwa kulala na wanawake.
- Majini ya kiume huchochea zaidi mwanaume kupenda sex mkundu vile mwanaume anasex pale ni jini ndio hufaidi zaidi hivyo hutia roho ya ujasiri mwanaume kutamani kuomba mkundu kuliko uke.
- Majini yanatabia ya uvivu sana hasa yanapokuwa matembezi yakiona yamechoka kutembea hupanda na kukaa kwenye mawingu ya nywele za wanawake hadi pale litakapo pata nguvu ya kuendelea na safari yake.
- Majini ni wapenzi wazuri wa dhahabu, vipodozi, marashi na manukato.
- Majini yapo ya aina mbili yale machafu na masafi hasa masafi huwa ni makoeofi zaidi ila machafu huwa mapole zaidi.
- Kwa kuwa majini huwa kama kivuli tu na wanadamu hawayaoni hata hapo ulipo yanapita na kuendelea na mambo yao ila majini ambayo huonekana kwa urahisi ni yale huishi choo za shule, madarasa ya shuleni na miti mirefu hao ndio huonekana kwa urahisi na ukiwaona wenda ukawa na nafasi ya kuishi duniani kwa shida sana au utapata kiwapa kikubwa zaidi
- Majini huwa na misiba pia huwa na sherehe kama wanadamu ila siku za sherehe zao kubwa ni lazima ajari itoke au kitu kibaya kifanyike.
- Maeneo kama ofisi za serikali, mahakama, migodini, bank kukosa majini bila serikali kuweka majini hayo kwenye ofisi au migodini huwa ni ngumu kupata mafanikio hivyo duniani kote serikali za dunia au watu wa migodini ni sharti kuingia mikataba ya siri na majini ili kulinda au kupata mali.
DALILI UNA MAJINI
- Unaota una sex hadi unapizi na kumwaga hilo ni jini.
- Unatabia ya kupanga na kuvuruga vitu ovyo hilo ni jini.
- Unapata hasira ghafula na baadaye unajutia kitu mwenyewe au kulia bika sababu hilo ni jini.
- Ukimchukia mtu sharti anapata matatizo hilo ni jini.
- Kifuani unahisi ni pazito sana n.kView attachment 3042089
Pesa sio shetani bali shetani wewe mtumiaji wa pesa,pesa sio kiumbe.Pesa Shetani? Muziki Shetani? Muziki Moto?
Nimeona niishie kujibu hapa. Neno jini katika Kiswahili limetoholewa kutoka Kiarabu. Halina uhusiano wowote na neno "maji".Neno majini linatokana na neno maji " sababu element ya majini ni maji na sio moto "
Na sidhani kama kuna.mtu anakuwa shaikh bila kuwa na ilm falaki inawezekana wewe ni mmumin tu wa kawaida ndio.maana huyafahamu haya.Nimekuletea ushahidi wa Qur'an kaka sura ya 72 mstari wa 18 ikisema misikiti ni ya Mungu.
Sio kila mvaa kanzu ni shekhe.
Kuna watu kibao wana elimu ya kupotosha sio tu kwetu sisi waislam hadi kwenu wakristo wapo hao watu.
Nayafahamu tena,mpaka ilmu aib ambayo kiimani si ruhusa kuifahamu ninaifahamu.Na sidhani kama kuna.mtu anakuwa shaikh bila kuwa na ilm falaki inawezekana wewe ni mmumin tu wa kawaida ndio.maana huyafahamu haya.
Sheikh ina maana kuu mbili.Na sidhani kama kuna.mtu anakuwa shaikh bila kuwa na ilm falaki inawezekana wewe ni mmumin tu wa kawaida ndio.maana huyafahamu haya.