Hii ni kweli kuhusu Majini?

Hii ni kweli kuhusu Majini?

YAJUE MAJINI KWA UNDANI
- Neno majini linatokana na neno maji " sababu element ya majini ni maji na sio moto "

- Majini hupendelea kuishi na kukaa baharini, mtoni, ufukweni zaidi.

- Majini ni mashabiki wazuri wa michezo ya mpira, kamali n.k

- Majini yana vitengo kama zilivyo serikali zetu kuna kitengo cha kami ambacho kina kamishina wake na mshahara wake upo palepale na huandika report kila sekunde ya watu aliowavuna kwa sekunde.

- Majini kabla ya hapo walikuwa wastarabu sana ila inasemekana walianzisha upizani Kwa Mkuu wa umbaji ndipo walipigana na baadaye kuangukia duniani.

- Wengine walipoangukia duniani walianza kuzaliana na wanadamu na hadi sasa majini hutegemea sana wanawake ili kuzalisha majini wenzao na hiyo hufanya sehemu kubwa wanawake kupitia changamoto za uzazi hadi amalize kizalishwa watoto wao.

- Majini pia ni wapenzi wa kulala na wanadamu kwa ngono hasa majini ya kiume huwa warafi zaidi kwa kulala na wanawake.

- Majini ya kiume huchochea zaidi mwanaume kupenda sex mkundu vile mwanaume anasex pale ni jini ndio hufaidi zaidi hivyo hutia roho ya ujasiri mwanaume kutamani kuomba mkundu kuliko uke.

- Majini yanatabia ya uvivu sana hasa yanapokuwa matembezi yakiona yamechoka kutembea hupanda na kukaa kwenye mawingu ya nywele za wanawake hadi pale litakapo pata nguvu ya kuendelea na safari yake.

- Majini ni wapenzi wazuri wa dhahabu, vipodozi, marashi na manukato.

- Majini yapo ya aina mbili yale machafu na masafi hasa masafi huwa ni makoeofi zaidi ila machafu huwa mapole zaidi.

- Kwa kuwa majini huwa kama kivuli tu na wanadamu hawayaoni hata hapo ulipo yanapita na kuendelea na mambo yao ila majini ambayo huonekana kwa urahisi ni yale huishi choo za shule, madarasa ya shuleni na miti mirefu hao ndio huonekana kwa urahisi na ukiwaona wenda ukawa na nafasi ya kuishi duniani kwa shida sana au utapata kiwapa kikubwa zaidi

- Majini huwa na misiba pia huwa na sherehe kama wanadamu ila siku za sherehe zao kubwa ni lazima ajari itoke au kitu kibaya kifanyike.

- Maeneo kama ofisi za serikali, mahakama, migodini, bank kukosa majini bila serikali kuweka majini hayo kwenye ofisi au migodini huwa ni ngumu kupata mafanikio hivyo duniani kote serikali za dunia au watu wa migodini ni sharti kuingia mikataba ya siri na majini ili kulinda au kupata mali.

DALILI UNA MAJINI
- Unaota una sex hadi unapizi na kumwaga hilo ni jini.

- Unatabia ya kupanga na kuvuruga vitu ovyo hilo ni jini.

- Unapata hasira ghafula na baadaye unajutia kitu mwenyewe au kulia bika sababu hilo ni jini.

- Ukimchukia mtu sharti anapata matatizo hilo ni jini.

- Kifuani unahisi ni pazito sana n.kView attachment 3042089
Hii ya majini kuandika ripoti kuandika watu wangapi wamewavuna kwa kuwabadilisha naifananisha na maimamu kushinda mitaani kutafuta watu wa kutaka kuwabadilisha dini, ukiwapinga na kuwapa somo la dini wanakasirika na kukuona wewe ni shetani. Je, wale maimamu ni majini?
 
Kwa mujibu wa imani yetu shetani ni kiumbe yeyote ambaye ana matendo maovu,hususan jini.
Hivyo hata wewe ukiwa na matendo maovu ni sawa na shetani,shetani ni sifa.
Ukiwa muovu kupindukia umevaa sifa ya ushetani.
Yani watu wana mitabia yao michafu wanasingizia majini.!!
Eti waomba tigo wote ni majini yanawapelekesha sio wao 😹😹😹
 
Nayafahamu tena,mpaka ilmu aib ambayo kiimani si ruhusa kuifahamu ninaifahamu.
Kama ningesema nikiuke niwe mganga ningeshakuwa mganda.
Ila kidini hairuhusiwi.
Ukitaka hata qassam za kuita hao viumbe nakufundisha na nakupa.
Na wanakuja unawatumia vile utakavyo.
Kwahiyo mwislamu kutumia majini ni mwiko sio?,na hao mashehe wanaoyatumia wanatoka nje ya mstari sio?
 
Kwahiyo mwislamu kutumia majini ni mwiko sio?,na hao mashehe wanaoyatumia wanatoka nje ya mstari sio?
Ndio wanaoyatumia wanatoka nje ya mstari,tena ni aina ya ushirikina wa wazi wazi.
Mtume mwenyewe hakuwahi kutumia majini wewe mfuasi wake utumie ili iweje!?
 
Yani watu wana mitabia yao michafu wanasingizia majini.!!
Eti waomba tigo wote ni majini yanawapelekesha sio wao 😹😹😹
Tamaa zao wenyewe wasingizie majini.
Kwanza majini hakuna kitu wanachukia kama mapenzi kinyume na maumbile.
 
Nimeona bwana!
Wanasema dili na hoja na si mleta hoja ila kwa hoja hii mleta hoja amezingua.
Nimecheka alivyosema majini yanaomba nonino eti sio binadamu 😂😂😂
Dr anawatetea wazinzi naye atakuwa miongoni mwao sio bure.!!
 
Kwanini unasema hivyo mkuu!?
Anayependa hizo mada bimaana anapenda kufanya ama anapenda hiko kitu.
Saikolojia inasema ukimwona mtu anapenda sana kuzungumzia jambo fulani jua ana mahaba nalo.
Achana naye huyo, hao ndio majini anayosema dr 😹
 
Back
Top Bottom