Hii ni kweli kuhusu Majini?

Hii ni kweli kuhusu Majini?

Tena na POPOBAWA na wametulia tuli hawalalamiki 😹😹😹
Wanalalamikaga mbona!?
Mie nishalalamikiwa sana 😂😂😂😂.
Hao POPOWING wanakua wakutumwa.
Iba mke wa mpemba halafu uone kazi.
 
Wanalalamikaga mbona!?
Mie nishalalamikiwa sana 😂😂😂😂.
Hao POPOWING wanakua wakutumwa.
Iba mke wa mpemba halafu uone kazi.
Sio wewe mwenyewe kiongozi? 😹😹😹
Wapemba nasikia popobawa walianzia huko kwao, na hawakuachii mpk wote wawili mkojoe 😂😂😂
 
Sio wewe mwenyewe kiongozi? 😹😹😹
Wapemba nasikia popobawa walianzia huko kwao, na hawakuachii mpk wote wawili mkojoe 😂😂😂
Hamna mie sio mpemba ila nilifatwa na watu ambao walifanyiwa hivyo,tena marafiki zangu wa karibu,ila hiyo ilikua Tanga.
Weeeeh sisi tumepikwa😎😎😎😎 hatugusiki.
 
Sio wewe mwenyewe kiongozi? 😹😹😹
Wapemba nasikia popobawa walianzia huko kwao, na hawakuachii mpk wote wawili mkojoe 😂😂😂
Ila sijakuelewa hii kauli🤔🤔🤔🤔.
Au madam umemaanisha Mie ndio nilikua faza POPOWING!?
 
Hamna mie sio mpemba ila nilifatwa na watu ambao walifanyiwa hivyo,tena marafiki zangu wa karibu,ila hiyo ilikua Tanga.
Weeeeh sisi tumepikwa😎😎😎😎 hatugusiki.
😹😹😹 Kwenu wapi huko mlikopikwa mkapikika??
Hao marafiki zako majasiri sana.!!
Wanapitiwa na popobawa na wamekusimulia??
Walikwambia mkao waliowekwa??
 
😹😹😹 Kwenu wapi huko mlikopikwa mkapikika??
Hao marafiki zako majasiri sana.!!
Wanapitiwa na popobawa na wamekusimulia??
Walikwambia mkao waliowekwa??
Hamna wale huwa wanakujia katika njonzi ama ndoto.
Yani kama unavyo experience wet dreams.
Unaota mtu anakuingilia ukishtuka una uteute kiunoni ama mwanzo wa mgongo na kiuno.
Ama kalio limeloa.
Kuna maeneo Aisee hususan ukanda wa bahari ukitembea kuna kujaribiana sana.
 
Back
Top Bottom