and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Nilikua naangalia fainali ya Euro, muda wote nakuona kwenye TV..Na wewe ulichukua pesa zao??
Pole sana, ulivunja masharti gani?
Nakumbuka kipindi natarajia kumuoa mke wangu wa sasa,ambae ni mke wangu wa tatu.Na wewe ulichukua pesa zao??
Pole sana, ulivunja masharti gani?
Mkuu mi nilidhani ni kule kwenye kijiwe chetu cha vita za Russo-Ukraine, Gaza-Israel, kumbe na huku upo? karibu sana..🙂Nakumbuka kipindi natarajia kumuoa mke wangu wa sasa,ambae ni mke wangu wa tatu.
Ishu zangu kipindi kile ilikua madini na sana sana kipindi hiko nilijikita sana Mashewa njia ya amani,jambo kule kulikua kuna illegal mining.
Sasa nilichokosea nilipoenda kuonana na mtarajiwa wangu nililala nae.
Na wale jamaa walisema uzinzi hawataki,na yule binti ndio kwanza nilikua najuana naye.
Aiseee!!!!Kwanza nilivyolala niliota nachapwa bakora hizo sio poa.
Naamka asubuhi mwili unauma umevimba,toka hiyo siku kila nachoshika kinaporomoka.
Aisee yule binti wazazi wangu waliniolea kwa pesa zao maana nilishajitambulisha kuwa nitakuja kutoa posa kwao.
Nililelewa na wazee mpaka nakuja kukaa sawa ni mwaka jana tu hapo dadaangu.
Ni kwa nini Majini yalifukuzwa Mbinguni ?Ishu sio kuyajua majini bali ishu ni kuyatumia.
Punguza kuropoka we jamaa.
Nabii Suleyman Mungu alimpendelea kwa kumpa ufalme wa majini,upepo na wadudu na ndege.
Huo ufalme alipewa Suleyman tu.
Ila wengine hawakupewa.
Na Muhammad aliambiwa akawape mafundisho ya uislamu majini katika ulimwengu wao na awaache huko huko alikowafata wamtumikie Allah wakiwa huko.
Unaanza kuboa we jamaa.
Mkuu nipo sehemu nyingi sana.Mkuu mi nilidhani ni kule kwenye kijiwe chetu cha vita za Russo-Ukraine, Gaza-Israel, kumbe na huku upo? karibu sana..🙂
Nani alifukuza majini kutoka mbinguni, hilo andiko lipo wapi?Majini yaliishi Mbinguni na yaka fukuzwa huko kwa uchafu wake.
Ni kwa nini Majini yalifukuzwa Mbinguni ?
وَأَنَّا لَمَسْنَا السَّمَاءَ فَوَجَدْنَاهَا مُلِئَتْ حَرَسًا شَدِيدًا وَشُهُبًا
(AL - JINN - 8)
Nasi tulizigusa mbingu, na tukaziona zimejaa walinzi wenye nguvu na vimondo.
وَأَنَّا كُنَّا نَقْعُدُ مِنْهَا مَقَاعِدَ لِلسَّمْعِ ۖ فَمَن يَسْتَمِعِ الْآنَ يَجِدْ لَهُ شِهَابًا رَّصَدًا
(AL - JINN - 9)
Na hakika tulikuwa tukikaa humo katika baadhi ya makao ili kusikiliza; lakini sasa anaye taka kusikiliza atakuta kimondo kinamvizia!
Na yakaona njia pekee ni kuwa Maislamu, kuliko kuomba msamaha kwa Mungu?
وَأَنَّا مِنَّا الْمُسْلِمُونَ وَمِنَّا الْقَاسِطُونَ ۖ فَمَنْ أَسْلَمَ فَأُولَـٰئِكَ تَحَرَّوْا رَشَدًا
(AL - JINN - 14)
Na hakika wamo katika sisi Waislamu, na wamo kati yetu wanao acha haki. Basi walio silimu, hao ndio walio tafuta uwongofu.
Ni typo mkuu? or?Mungu nipo sehemu nyingi sana.
Shukran kwa kunikaribisha.
Umechanganya ayah na asbab zake.Majini yaliishi Mbinguni na yaka fukuzwa huko kwa uchafu wake.
Ni kwa nini Majini yalifukuzwa Mbinguni ?
وَأَنَّا لَمَسْنَا السَّمَاءَ فَوَجَدْنَاهَا مُلِئَتْ حَرَسًا شَدِيدًا وَشُهُبًا
(AL - JINN - 8)
Nasi tulizigusa mbingu, na tukaziona zimejaa walinzi wenye nguvu na vimondo.
وَأَنَّا كُنَّا نَقْعُدُ مِنْهَا مَقَاعِدَ لِلسَّمْعِ ۖ فَمَن يَسْتَمِعِ الْآنَ يَجِدْ لَهُ شِهَابًا رَّصَدًا
(AL - JINN - 9)
Na hakika tulikuwa tukikaa humo katika baadhi ya makao ili kusikiliza; lakini sasa anaye taka kusikiliza atakuta kimondo kinamvizia!
Na yakaona njia pekee ni kuwa Maislamu, kuliko kuomba msamaha kwa Mungu?
وَأَنَّا مِنَّا الْمُسْلِمُونَ وَمِنَّا الْقَاسِطُونَ ۖ فَمَنْ أَسْلَمَ فَأُولَـٰئِكَ تَحَرَّوْا رَشَدًا
(AL - JINN - 14)
Na hakika wamo katika sisi Waislamu, na wamo kati yetu wanao acha haki. Basi walio silimu, hao ndio walio tafuta uwongofu.
Astaghafirullah hizi typing error zitatukufurisha.Ni typo mkuu? or?
Nimerekebisha mkuu.Ni typo mkuu? or?
Pamoja mzee..Astaghafirullah hizi typing error zitatukufurisha.
Nimekosea kuandika mkuu,nilikusudia kuandika MKUU.
Kuna dada mmoja anaitwa Labella ukimuona mwambie namsalimia sana, mwambie sitaki ugomvi naeNimerekebisha mkuu.
Nilikosea kutype.
Pole sana ila nimecheka ulivyokula mbalati 🤣🤣🤣Nakumbuka kipindi natarajia kumuoa mke wangu wa sasa,ambae ni mke wangu wa tatu.
Ishu zangu kipindi kile ilikua madini na sana sana kipindi hiko nilijikita sana Mashewa njia ya amani,japo kule kulikua kuna illegal mining.
Sasa nilichokosea nilipoenda kuonana na mtarajiwa wangu nililala nae.
Na wale jamaa walisema uzinzi hawataki,na yule binti ndio kwanza nilikua najuana naye.
Aiseee!!!!Kwanza nilivyolala niliota nachapwa bakora hizo sio poa.
Naamka asubuhi mwili unauma umevimba,toka hiyo siku kila nachoshika kinaporomoka.
Aisee yule binti wazazi wangu waliniolea kwa pesa zao maana nilishajitambulisha kuwa nitakuja kutoa posa kwao.
Nililelewa na wazee mpaka nakuja kukaa sawa ni mwaka jana tu hapo dadaangu.
Pamoja..Huyu Labella wanamsalimia wengi!
Ngojea akuje nitamwambia
😹😹😹Majini yaliishi Mbinguni na yaka fukuzwa huko kwa uchafu wake.
Ni kwa nini Majini yalifukuzwa Mbinguni ?
وَأَنَّا لَمَسْنَا السَّمَاءَ فَوَجَدْنَاهَا مُلِئَتْ حَرَسًا شَدِيدًا وَشُهُبًا
(AL - JINN - 8)
Nasi tulizigusa mbingu, na tukaziona zimejaa walinzi wenye nguvu na vimondo.
وَأَنَّا كُنَّا نَقْعُدُ مِنْهَا مَقَاعِدَ لِلسَّمْعِ ۖ فَمَن يَسْتَمِعِ الْآنَ يَجِدْ لَهُ شِهَابًا رَّصَدًا
(AL - JINN - 9)
Na hakika tulikuwa tukikaa humo katika baadhi ya makao ili kusikiliza; lakini sasa anaye taka kusikiliza atakuta kimondo kinamvizia!
Na yakaona njia pekee ni kuwa Maislamu, kuliko kuomba msamaha kwa Mungu?
وَأَنَّا مِنَّا الْمُسْلِمُونَ وَمِنَّا الْقَاسِطُونَ ۖ فَمَنْ أَسْلَمَ فَأُولَـٰئِكَ تَحَرَّوْا رَشَدًا
(AL - JINN - 14)
Na hakika wamo katika sisi Waislamu, na wamo kati yetu wanao acha haki. Basi walio silimu, hao ndio walio tafuta uwongofu.
😹😹😹 Wewe jamaa umenichekesha ujueMajini yaliishi Mbinguni na yaka fukuzwa huko kwa uchafu wake.
Ni kwa nini Majini yalifukuzwa Mbinguni ?
وَأَنَّا لَمَسْنَا السَّمَاءَ فَوَجَدْنَاهَا مُلِئَتْ حَرَسًا شَدِيدًا وَشُهُبًا
(AL - JINN - 8)
Nasi tulizigusa mbingu, na tukaziona zimejaa walinzi wenye nguvu na vimondo.
وَأَنَّا كُنَّا نَقْعُدُ مِنْهَا مَقَاعِدَ لِلسَّمْعِ ۖ فَمَن يَسْتَمِعِ الْآنَ يَجِدْ لَهُ شِهَابًا رَّصَدًا
(AL - JINN - 9)
Na hakika tulikuwa tukikaa humo katika baadhi ya makao ili kusikiliza; lakini sasa anaye taka kusikiliza atakuta kimondo kinamvizia!
Na yakaona njia pekee ni kuwa Maislamu, kuliko kuomba msamaha kwa Mungu?
وَأَنَّا مِنَّا الْمُسْلِمُونَ وَمِنَّا الْقَاسِطُونَ ۖ فَمَنْ أَسْلَمَ فَأُولَـٰئِكَ تَحَرَّوْا رَشَدًا
(AL - JINN - 14)
Na hakika wamo katika sisi Waislamu, na wamo kati yetu wanao acha haki. Basi walio silimu, hao ndio walio tafuta uwongofu.
Madam madini yanashikiliwa na hao viumbe.Pole sana ila nimecheka ulivyokula mbalati 🤣🤣🤣
Sasa nini kilikusukuma mpk ukachukua pesa za masharti za majini??
Kwani huko mgodini ulikuwa hupati mawe?
Majini yana jinsia.Umechanganya ayah na asbab zake.
We kweli nguruwe pori.
Hizo ayah za juu zinazungumzia kuhusu mashetani na wachawi wanaojaribu kupenya kutaka kuuingilia ufalme wa Allah,basi Allah huwafukuza kwa vimondo.
Majini hawakuwahi kuishi mbinguni.
Majini waliishi katika hili dunia na walipozidisha maasi Allah alituma malaika wakawatimue ndio akabaki Iblis ambaye alikua jini mtoto.
Ni yeye pekee alipata nafasi ya kuishi mbinguni,ila alipokaidi kumsujudia Adam alifukuzwa ulimwengu wa mbinguni.
Ayah hiyo ya suratul jinni inaelezea kuwa wapo majini watiifu na waovu.
Inapoteza tu ayah pasi na kujua zinaelezea nini.