TimeOut
JF-Expert Member
- Sep 20, 2022
- 3,894
- 8,454
Yaani picha hizi ndio zenye maadili ila za polisi kupigwa ndio hazina maadili!!!?[emoji848] Hii ni double standard
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani picha hizi ndio zenye maadili ila za polisi kupigwa ndio hazina maadili!!!?[emoji848] Hii ni double standard
🤣😀Yaani picha hizi ndio zenye maadili ila za polisi kupigwa ndio hazina maadili!!!?[emoji848] Hii ni double standard
Acha kutisha raia mkiendelea na ujinga wenu mtapata kibano tu bila kuangalia khaki zenumkuu unazungumzia polisi kupigwa au kuzongwa zongwa na wasifanye kazi kwa usahihi???
wapige polisi halafu waendelee kukaa hapo kijiweni[emoji28][emoji28][emoji28]hauko serious.
aither umeonewa au umefanya kosa,kitendo cha kumpiga askari ni kutafuta kesi ya msingi kabisa,inayoweza kusababisha kufungwa,kulemazwa au kufa kabisa.
Talking about hawa. Wiki mbili zilizopita nimeshuhudia kifo cha mmoja wao pale mtaa wa Uhuru. Dereva wa Eicher aliwagonga akaenda kujisalimisha kituo cha polisi.Mkuu, unazungumzia polisi au wale wagambo waliowekwa kufanya operation uchwara ya kionevu kuwaonea bodaboda vijiweni kwa kisingizio cha wrong parking na kisha kuwatoza faini ya 70,000/?
Kama ni hao sio polisi ni wagambo na kipigo ni haki yao kabisa [emoji106]
Mkuu kwani ukileta hiyo picha utapungukiwa na nini, haya basi nitumie PM niifanyie kazi wewe kaa kwa kutulia niachie msala..Noooo
Hao ni suala la muda tu tutasikia mengine...Talking about hawa. Wiki mbili zilizopita nimeshuhudia kifo cha mmoja wao pale mtaa wa Uhuru. Dereva wa Eicher aliwagonga akaenda kujisalimisha kituo cha polisi.
Acha kutisha raia mkiendelea na ujinga wenu mtapata kibano tu bila kuangalia khaki zenu
Ni kweli mzee hawa ni walinzi wetu si vzr kuwa zalilishaHivi kweli uone polisi anapigwa inafurahisha?
Hapana aisee sio vyema
Ushenzi mtupu yani tuna nidhamu ya uoga ya kipumbavu kabisa[emoji1787][emoji3]
polisi ndio walio jishusi heshima kwa sababu ya kuomba kwao na kupokea rushwa ingawa sio hao walio enda kuwakamata wamesha wazoesha kuwapa 2000 na kuwaachia sasa jamaa wanashangaa kukamatwa mtoto umleavio ndivio akuavio lakini boda boda nao wanajipalia mkaaSiungi mkono polisi kupigwa , wala polisi kuonea watu, lakini inafikirisha kidogo, haiwezekani eneo moja hilo hilo mpigwe na kuzomewa mara mbili na mshindwe kufanya kazi iliyowapeleka pale isipokuwa operation mfanyayo ni batili
Wakiwa kwenye msako wa kukamata bodaboda wakorofi kila wakifika mtaa wa ndanda na narungombe ni kichapo tu na aibu kutoka kwa vijana wa kisambaa waendeshao bodaboda
Na hii inathibitisha udhaifu wa polisi au dhulma waifanyayo
Kama wasemavyo vita inaweza kuanzia huku huku kwenye bodaboda na machinga, sikuamini macho yangu, polisi anachangiwa mpaka wanakula kona[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787], picha ipo ila kimaadili haifai kuwekwa hapa
Kazi kwenu
tatizo walisha wazoesha kuchukua hela kwa makosa haya sasa unapoenda kuwa kamata unafikilia niniKwamba polisi wamekuja kufanya kazi na mkawazuia kwa kuwapiga? Na wakaondoka? Hawakua na silaha? Kama ni kweli hongereni ila kuweni makini siku nyingine katika mambo ambayo polisi karuhusiwa kutumia silaha yake na ikibidi kuua kabisa ni pindi anapo shambuliwa akiwa na silaha.
Sheria inamtaka polisi aitumie silaha yake kujilinda ili ailinde na hiyo silaha na akishindwa kufanya hivyo anashtakiwa, kwahiyo kuweni makini pindi mnapomshambulia polisi mwenye silaha.