Hii ni mara ya pili polisi wanashambuliwa mtaa wa Narung'ombe na Ndanda, Kariakoo

Acha kutisha raia mkiendelea na ujinga wenu mtapata kibano tu bila kuangalia khaki zenu
 
Talking about hawa. Wiki mbili zilizopita nimeshuhudia kifo cha mmoja wao pale mtaa wa Uhuru. Dereva wa Eicher aliwagonga akaenda kujisalimisha kituo cha polisi.
 
Kwamba polisi wamekuja kufanya kazi na mkawazuia kwa kuwapiga? Na wakaondoka? Hawakua na silaha? Kama ni kweli hongereni ila kuweni makini siku nyingine katika mambo ambayo polisi karuhusiwa kutumia silaha yake na ikibidi kuua kabisa ni pindi anapo shambuliwa akiwa na silaha.

Sheria inamtaka polisi aitumie silaha yake kujilinda ili ailinde na hiyo silaha na akishindwa kufanya hivyo anashtakiwa, kwahiyo kuweni makini pindi mnapomshambulia polisi mwenye silaha.
 
Talking about hawa. Wiki mbili zilizopita nimeshuhudia kifo cha mmoja wao pale mtaa wa Uhuru. Dereva wa Eicher aliwagonga akaenda kujisalimisha kituo cha polisi.
Hao ni suala la muda tu tutasikia mengine...

Kwanza hiyo operation ni kama mradi wa watu fulani hivi, ipo ki mchongo mchongo...

Wameji organize wakaokota vijana wasio hata na uhakika wa kupata mlo wa siku, wamewakabidhi virungu kisha wamekodi hizo gari na kuzurura nao hao wahuni kusumbua vijana walioamua kutafuta riziki ki halali.

Wakikukamata hawakupeleki police, kuna yard yao kule karibu na MSD (nyuma ya veta) ndo wanakushurutisha ulipe hiyo fine ya mchongo 70k wakuachie...

Bodaboda hawakai kwa amani vijiweni, kuna boda alinusurika kifo baada yakugongwa na mwendokasi pale mataa ya morogoro rd / lumumba ( Aura mall ), katika harakati za kuwakimbia hao kamata kamata...

Ni suala la muda tu tutasikia ya kusikia yetu macho.
 
polisi ndio walio jishusi heshima kwa sababu ya kuomba kwao na kupokea rushwa ingawa sio hao walio enda kuwakamata wamesha wazoesha kuwapa 2000 na kuwaachia sasa jamaa wanashangaa kukamatwa mtoto umleavio ndivio akuavio lakini boda boda nao wanajipalia mkaa
 
tatizo walisha wazoesha kuchukua hela kwa makosa haya sasa unapoenda kuwa kamata unafikilia nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…