Hii ni moja ya kazi nzuri ya Hayati Magufuli

Hii ni moja ya kazi nzuri ya Hayati Magufuli

Niliuzaga bei yake kwa kg1 ni tsh ngapi mpaka leo sijapata jibu humu

Ova
Sababu ni Oligopoly tegemea bei kufanana kama vifurushi vya sumu, petroli na bidhaa nyengine. Serikali itapanga range ya bei ambayo haitokuwa tofauti na viwanda vingine.
 
Kazi nzuri ni KUVURUGA UCHAGUZI na Suala la Tundu lissu na Ben saanane
 
Miaka 6 unajivunia kakiwanda kamoja ambako Nako kamekailika kwa kuwezeshwa na awamu ya 6..

As we speak by 2025 hakuna hata kilo moja ya sukari itaagizwa kutoka nje maana investor wa Kilbero sugar kaingiza zaidi ya bil.725 kwenye sukari na huyu wa Bakhessa nae anaanza awamu ya pili ya uwekezaji Ili kufikia full capacity..

Sio tuu Sukari bali hata mbolea za mazao hakuna hata mfuko mmja utaagizwa kutoka nje by huo mwaka..As we speak kiwanda cha intracom fertilizer cha dodoma kimeanza uzalishaji wa awali na Mwaka huu tunatumia mbolea hizo..

Kwenye viwanda usije mlinganisha SSH na JPM utaaibika bure.
Umesahau hayo mawazo yalianzishwa na JPM na huyo awamu ya sita bila uchaguzi ameyakuta kwenye mwendo?
 
Kabisa.

Sio hayo tu kuna mengi kama Kuunganishwa umeme kwa tshs 27000.

Hayati alikuwa mtu haswaa.
 
Umesahau hayo mawazo yalianzishwa na JPM na huyo awamu ya sita bila uchaguzi ameyakuta kwenye mwendo?
JPM alikuta Nchi hii haina kiwanda cha Sukari?

JPM aliyedharau na kuua kilimo wapi uliwahi msikia akizungumzia mbolea?

JPM si alikuwa anazindua vyerehani na vijiwe vya kuchomelea akiita viwanda au? 😄😄.

Acha masihara mkuu,Tanzania Halisi ya viwanda italetwa na sera nzuri za serikali ya Samia na ndio ataacha alama Nchi hii 👇
 

Attachments

  • 20220528_003540.jpg
    20220528_003540.jpg
    87.2 KB · Views: 10
Back
Top Bottom