Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
- Thread starter
-
- #21
Unafikiri bila serikali kuwawezesha matajiri wanaweza kupiga kazi?Yaani Tajiri apige kazi, aingize mtaji, alipe wafanyakazi, kisha credit ziende kwa rais kwa sababu kampa ardhi?
Kwa nini ampe mmoja na si wengi ili uwepo ushindani nchini?
Sababu ni Oligopoly tegemea bei kufanana kama vifurushi vya sumu, petroli na bidhaa nyengine. Serikali itapanga range ya bei ambayo haitokuwa tofauti na viwanda vingine.Niliuzaga bei yake kwa kg1 ni tsh ngapi mpaka leo sijapata jibu humu
Ova
Nafikiri akihamasisha na kutoa mtaji wa ardhi. Au hujui kama ardhi ni mtaji pia?Alitoa na mtaji au aliishia kuwa mshenga wa kugawa ardhi?
Alionesha uhitaji, akapewa. Wewe ulikwenda kuomba ukanyimwa?Yaani Tajiri apige kazi, aingize mtaji, alipe wafanyakazi, kisha credit ziende kwa rais kwa sababu kampa ardhi?
Kwa nini ampe mmoja na si wengi ili uwepo ushindani nchini?
Bado alisaidia na anahitaji kongoleAlitoa na mtaji au aliishia kuwa mshenga wa kugawa ardhi?
Sukari hata Zuchu anatoa....
Umesahau hayo mawazo yalianzishwa na JPM na huyo awamu ya sita bila uchaguzi ameyakuta kwenye mwendo?Miaka 6 unajivunia kakiwanda kamoja ambako Nako kamekailika kwa kuwezeshwa na awamu ya 6..
As we speak by 2025 hakuna hata kilo moja ya sukari itaagizwa kutoka nje maana investor wa Kilbero sugar kaingiza zaidi ya bil.725 kwenye sukari na huyu wa Bakhessa nae anaanza awamu ya pili ya uwekezaji Ili kufikia full capacity..
Sio tuu Sukari bali hata mbolea za mazao hakuna hata mfuko mmja utaagizwa kutoka nje by huo mwaka..As we speak kiwanda cha intracom fertilizer cha dodoma kimeanza uzalishaji wa awali na Mwaka huu tunatumia mbolea hizo..
Kwenye viwanda usije mlinganisha SSH na JPM utaaibika bure.
Acha umbeya weweHuo mradi ulikuwepo tangu miaka ya mwanzo ya Kikwete, JPM hata hausiki na chochote kile
JPM alikuta Nchi hii haina kiwanda cha Sukari?Umesahau hayo mawazo yalianzishwa na JPM na huyo awamu ya sita bila uchaguzi ameyakuta kwenye mwendo?
Hawana majibu, team msoga, kuadi wakubwa hao.Na ikawaje ukawa hauzalishi? Ikawaje JPM akampa Bakhresa ardhi?