Hii ni moja ya picha ambazo Waingereza hawapendi kuziona

Huyu mwamba nilikuwa namkubali sana sema historia ya uongo inamchafua nyuma ya pazia
Lazima utakuwa umejazwa ujinga pale Mtambani.
Labda vita vingekuwa leo mngewaambia vijana wenu wasiende vitani kwa kuwa Iddi Amin ni mwenzenu na Nyerere ni kafir!
Hovyo ninyi.
 
(MWANAKA said Kwamba alikuwa anakula nyama za watu kisha vichwa vyao anaviweka kwenye friji)
Hii ilikuwa uongo, propaganda wakata wa vita.
Sawa hadithi hizi ni msingi mzuri kwa propaganda na vita ni majira ya propaganda. Ila tu je ni kweli?

Msikilize waziri wake: Kyemba, Amin's minister of health said "On several occasions when I was minister of health, Amin insisted on being left alone with his victims' bodies. There is of course no evidence of what he does in private, but it is universally believed in Uganda that he engages in blood rituals" Kyemba also said that on several occasions he heard Amin boast about eating human flesh.
Source: 'The State of Africa' by Martin Meredith

Amin's cabinet minister's book, Henry Kyemba's State of Blood, is saying this:
Kuna nukuu nyingine ambayo sijakuta sasa uthibitisho wake, aliulizwa kama anakula nyama ya bindamu anasemekana alijibu "Sipendi, ladha yake ya chumvi". (too salty...)

 
Sukari gulu hii
 
Ipi sasa, kwamba hakuvamia Kagera na kudai ni sehemu ya Uganda? kwamba hakuua Wapinzani wake?

labda kama zile za kuua mwanaye ndio hata mimi huwa kama siziaminiamini.

Ni Kwamba Julius Nyerere kupitia Yoweri Museven walikuwa wanapitisha Silaha kwa Siri kupitia Horohoro na kuzipeleka Uganda kuchochea Ghasia kuanzia 1972 ilipofika 1978 Ameen akaona ajitokeze kulinda mipaka yake

Museven kayasema hayo ya kutumiwa na Nyerere kuchochea ghasia wakati wa kufungua Bomba la Gesi

Jiulize ungekuwa wewe ndie Amin ungefanyaje?
 
His Excellency, President for Life, Field Marshal, Al Hadji Doctor, VC, DSO, MC, Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Seas and Conqueror of the British Empire in Africa in General and Uganda in Particular.Idi Amin Dada
Alimwomba ampose malkia ili amalize kuitwa mfalme maana ndio cheo alichobakiza
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama ningekuwa Amin bila shaka ningefanya mambo mapumbavu kama yeye,
Kama ningekuwa rais mwingine wa Uganda ningekuwa na chaguo kubwa sana kutochukiza wananchi wangu, kutowaangusha katika umaskini (kwa kufukuza Waganda Wahindi wote), kutotukana marais majirani, kutopokea pesa ya Ghaddafi kwa ahadi ya kufanya Uganda nchi ya Kiislamu, kusimamia jeshi na kutoruhusu uporaji na mauaji wa wananchi, na kadhalika.

Mashambulio ya Kagera hayakumsaidia kitu chochote; wala kupunguza upinzani, wala kujenga uhusiano na majirani. Yalisaidia tu kuchimba kaburi la urais wake.
 


Pesa za Gadafi hata Nyerere kapokea na akajengea Msikiti pale Butiama


Uislam hausambazwi kwa kupokea pesa za Waarabu

Ingekuwa hivyo Philadelphia au sijui Chicago kungekuwa hakuna Swala ya Ijumaa
 
Pesa za Gadafi hata Nyerere kapokea na akajengea Msikiti pale Butiama
Uislam hausambazwi kwa kupokea pesa za Waarabu
Ingekuwa hivyo Philadelphia au sijui Chicago kungekuwa hakuna Swala ya Ijumaa
Kupokea pesa- kitu kimoja. Kukubali mashariti, tena ya aina gani - kingine.
Amin baada ya kupokea pesa ya Ghaddafi alipeleka Uganda katika Umoja wa Nchi za Kiislamu - nchi yenye asilimia 5-10 Waislamu kati ya wananchi wake...
Waislamu wenzake walilipa gharama kubwa ya damu baada ya kufukuzwa kwa Amin.
 
Write your reply...Huyo ndio mtu mweusi pekee aliyewatawala wazungu.
Yaani yeye Mkoloni, alafu wazungu ni watawaliwa viceversa is true. Kidume hicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…