Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
- Thread starter
- #41
Hakukuwa na maisha mkuu.Kwani kabla ya whatsup, Twitter na Facebook maisha yalikuwa hayaendi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakukuwa na maisha mkuu.Kwani kabla ya whatsup, Twitter na Facebook maisha yalikuwa hayaendi?
kwani mungu anatoa damu.. ?huyo mungu au kukuMkuu, ebu rekebisha hapo kwenye 'Wameshikilia Maisha yetu', weka 'Wameshikilia Maisha yangu'.
Sie wengine Maisha yetu yapo Mikononi mwa Mungu, na tumekombolewa kwa Damu ya thamani sana!
Kwani hizi social media baba yako kijijini alizitumia? Au tufanye wewe bado mtoto tumuulizie babu yako alijua kuwa zimezimika?Siku ukiwaudhi marekani ndo utajua kuwa wale ndo mungu mwenyewe. Africa hatuna maisha bila wao sisi tumejazanisha mitume na manabii tu wa kututisha kuwa kiyama chaja
Anakosoa kumbe nae ni wa kukosolewa.Nawe rekebisha hapo, andika "wameshikilia" siyo "wameshikiria"
Ndiyo nakubali, maana anaye muona mtu fulani ni Gaidi na yule anaye shukiwa Gaidi wana malengo tofauti.Hivyo unakubali kwamba suala la kumtangaza mtu kuwa gaidi au kumsafisha linategemea na maslahi binafsi ya hao wahusika?
Ndiyo nakubali, maana anaye muona mtu fulani ni Gaidi na yule anaye shukiwa Gaidi wana malengo tofauti.
Ndiyo maana hata ukisha shinda kesi, haijarishi vipi, bado wewe ni Gaidi kwenye macho ya huyo aliye kushutumu!
Mabeberu wamefanikiwa kwa kiasi fulani kuturithisha Mila zao, kabla ya ujio wa hao mabeberu babu zako walikuwa wanaabudu nin ww poyoyo ?Mkuu, ebu rekebisha hapo kwenye 'Wameshikilia Maisha yetu', weka 'Wameshikilia Maisha yangu'.
Sie wengine Maisha yetu yapo Mikononi mwa Mungu, na tumekombolewa kwa Damu ya thamani sana!
Huyo mungu mwenyewe unayemuabudu kaletwa na waoMkuu, ebu rekebisha hapo kwenye 'Wameshikilia Maisha yetu', weka 'Wameshikilia Maisha yangu'.
Sie wengine Maisha yetu yapo Mikononi mwa Mungu, na tumekombolewa kwa Damu ya thamani sana!
Ni kweli, 'mungu' kaletwa na wao, lakini 'Mungu' wangu ninayemwabudu ninamjua vyema!Huyo mungu mwenyewe unayemuabudu kaletwa na wao
Jifunze kauli.. kulikuwa na haja gani ya kuniita poyoyo!??Mabeberu wamefanikiwa kwa kiasi fulani kuturithisha Mila zao, kabla ya ujio wa hao mabeberu babu zako walikuwa wanaabudu nin ww poyoyo ?
Ni kweli, kuna tofauti kubwa sana kati ya 'mungu' unayemzungumzia, na 'Mungu' ninaye mzungumziakwani mungu anatoa damu.. ?huyo mungu au kuku
Tena maisha yako.Mkuu, ebu rekebisha hapo kwenye 'Wameshikilia Maisha yetu', weka 'Wameshikilia Maisha yangu'.
Sie wengine Maisha yetu yapo Mikononi mwa Mungu, na tumekombolewa kwa Damu ya thamani sana!
Marekebisho yapi!??Tena maisha yako.
Endelea kufanya marekebisho mkuu
'Wameshikilia Maisha yetu', weka 'Wameshikilia Maisha yangu'.Marekebisho yapi!??
Sasa shida iko wapi!?? Kama wewe ungekuwa mwandishi, ungeandika kwa kutumia nafsi ya kwanza umoja!?'Wameshikilia Maisha yetu', weka 'Wameshikilia Maisha yangu'.
Hapo kwenye bold
Kama mimi ningeandikaSasa shida iko wapi!?? Kama wewe ungekuwa mwandishi, ungeandika kwa kutumia nafsi ya kwanza umoja!?
Nimekuuliza, wewe kama ungekuwa mleta mada, ungeandikaje kwa kutumia kauli ya kwanza umoja!?Kama mimi ningeandika
Si kwamba 'Wameshikilia Maisha yetu', ningeweka 'Wameshikilia Maisha yako' ili imuendee mleta mada
Kwani mimi nime nukuu mada?Nimekuuliza, wewe kama ungekuwa mleta mada, ungeandikaje kwa kutumia kauli ya kwanza umoja!?
Tofauti yangu na yako ni kwamba:Kwani mimi nime nukuu mada?
Mimi nimenukuu comment ya aliye pinga kauli ya mleta mada