Hii ni proof kuwa bila Marekani maisha hayawezekani

Hii ni proof kuwa bila Marekani maisha hayawezekani

Tofauti yangu na yako ni kwamba:
Wewe unataka mimi niandike kauli ya kumjibu mleta mada kwa kuandika neno 'Yake'

Mimi sijamjibu, bali nimemrekebishwa kwa kumtaka aandike neno 'Yangu' (Nafsi ya kwanza umoja kwa upande wa mwandishi)
Kila mtu ameelewa kivyake lakini maana ni moja.
Acha iwe hitimisho hapa maana ni kama tunabishana kuwa Buku na elfu moja ipi kubwa.
🙌
 
Ahahahahahahaha akina Nabii Elisha, Nabii Tito n.k
Siku ukiwaudhi marekani ndo utajua kuwa wale ndo mungu mwenyewe. Africa hatuna maisha bila wao sisi tumejazanisha mitume na manabii tu wa kututisha kuwa kiyama chaj
 
Harafu Posta hiyo unatumia nini kufuata/kituma barua?

Mfano umetumia nini kuandika huu ujinga?
Angalia mjinga mkubwa wewe,bila Insta huwezi kuishi? Haya tukirudi kutuma barua posta tunaweza kuishi
 
Mugabe alipigania vita ya uhuru wa Zimbawe, alipigana na akashinda lakini uhuru huo haukugusia ardhi, ardhi ilibaki kuwa mali ya wazungu waliotuvamia hapa afrika bila visa wala passport.

Baada ya uhuru, alifatwa na wenzake waliomuunga juhudi kwenye kupigana vita ya uhuru wakamwambia kulikua na haja ipi ya kupigania uhuru kama ardhi inabaki kwa watu ambao waliwapora?

Kipindi hiki chote kabla hajaanza harakati za kuirudisha ardi kwa waafrika, wazungu walikuwa wakimpenda sana Mugabe kwasababu hakuwangilia kwenye umiliki wa ardhi waliyoipora.

Wazungu waligeuka mbogo na kuwa adui wa Mugabe pale walipoona Mugabe karudi upande wa kuwatetea wenzake wapate ardhi yao, hapo ndipo Marekani na Uingereza wakaanza kumwekea Mugabe vikwazo vingi sana na kumfanya aonekane mbaya.

Kwa upande wa Afrika Kusini mpaka leo wazungu wanamuenzi Mandela kwasababu Mandela aliwaruhusu kuendelea kumilki ardhi na Migodi, Karibu ailia 80 ya ardhi inamilikiwa na makaburu Afika kusini na Mandela aliruhusu hivi ndio maana wazungu walimsifia sana na kudanganya ulimwengu kwamba Mandela ndiekiongozi bora kuwahi kutokea Afrika.
 
Mugabe aliwanyanganya wazungu ardhi
Ili apate political milage tu
Alipo wanyanganya nn kilitokea
Zimbabwe si ndiyo akaiuaaaa

Ova
 
Vp where do Nyerenyere stand au na yeye alinyang'anya
 
Mugabe alipigania vita ya uhuru wa Zimbawe, alipigana na akashinda lakini uhuru huo haukugusia ardhi, ardhi ilibaki kuwa mali ya wazungu waliotuvamia hapa afrika bila visa wala passport.

Baada ya uhuru, alifatwa na wenzake waliomuunga juhudi kwenye kupigana vita ya uhuru wakamwambia kulikua na haja ipi ya kupigania uhuru kama ardhi inabaki kwa watu ambao waliwapora?

Kipindi hiki chote kabla hajaanza harakati za kuirudisha ardi kwa waafrika, wazungu walikuwa wakimpenda sana Mugabe kwasababu hakuwangilia kwenye umiliki wa ardhi waliyoipora.

Wazungu waligeuka mbogo na kuwa adui wa Mugabe pale walipoona Mugabe karudi upande wa kuwatetea wenzake wapate ardhi yao, hapo ndipo Marekani na Uingereza wakaanza kumwekea Mugabe vikwazo vingi sana na kumfanya aonekane mbaya.

Kwa upande wa Afrika Kusini mpaka leo wazungu wanamuenzi Mandela kwasababu Mandela aliwaruhusu kuendelea kumilki ardhi na Migodi, Karibu ailia 80 ya ardhi inamilikiwa na makaburu Afika kusini na Mandela aliruhusu hivi ndio maana wazungu walimsifia sana na kudanganya ulimwengu kwamba Mandela ndiekiongozi bora kuwahi kutokea Afrika.
Yawezekana Sankara, haille selasie, gadaffi may be nkrumah Ila Hawa wengine Hawa sijui nyerere, Kenneth kaunda, khama na wengine walikuwa vibaraka tu wa wazungu + kenyata
 
Mugabe aliwanyanganya wazungu ardhi
Ili apate political milage tu
Alipo wanyanganya nn kilitokea
Zimbabwe si ndiyo akaiuaaaa

Ova
Hivi wale wazungu tungewaacha waendelee kututawala si ingekuwa Sawa tu.Maana hata hayo tunayoita mafanikio baada ya Uhuru ni mikopo kutoka kwao.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Hata tiktok ni mabeberu wale wale. Hivi africa tunajivunia nini zaidi ya maelfu ya manabii na mitume wa kutishana tu ujihisi kuwa unakufa siku hiyohiyo
tik tok ni ya akina nani? wachina? Simu Infinix ni ya akina nani? wachina? Android ni ya kin nani? tafakari tena
 
Back
Top Bottom