mathsjery
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 2,249
- 1,813
Nashangaa kitanda nacholalia iweje mke wangu ulale na dada yako, na wakati kuna chumba kingine, ati kisa mimi sipo?
Nashangaa bafu la chumbani wadogo zako wanalitumia na wakati unajua ni la wawili tu mimi na wewe na wakati huo kuna bafu tena la ndani hapo kwenye korido?
Nashangaa we dogo unajipodolea kwenye kipodoleo-meza cha wife wakati kule chumba chako uliko fikia kuna kipodoleo-meza cha wageni?
Agha! Haya yote hufanyika ninapokuwa lindo, shift ya usiku ama safari wakati mwingine ninapoondoka alfajiri ila asubuhi namwacha wife na mdogo wake wakati beki tatu ndio shahidi.
Haya sasa chumba changu kinafahamika na madogo wa mke wangu wakati mimi madogo zangu wakija hawagusi huko niwepo ama nisiwepo.
Hivi kweli unaeshimiwa we Braza
NB: mimi sio mhusika hapa nimeandika tu kuelimisha, na nimewahi shuhudia sana enzi zile....
Maybe tunaweza elimika kwa wale wanaoona mambo haya ni ya kawaida kumbe sio. Ngoja tuone.
Aiseh vichwa dagaa hawataelewa😀
Nashangaa bafu la chumbani wadogo zako wanalitumia na wakati unajua ni la wawili tu mimi na wewe na wakati huo kuna bafu tena la ndani hapo kwenye korido?
Nashangaa we dogo unajipodolea kwenye kipodoleo-meza cha wife wakati kule chumba chako uliko fikia kuna kipodoleo-meza cha wageni?
Agha! Haya yote hufanyika ninapokuwa lindo, shift ya usiku ama safari wakati mwingine ninapoondoka alfajiri ila asubuhi namwacha wife na mdogo wake wakati beki tatu ndio shahidi.
Haya sasa chumba changu kinafahamika na madogo wa mke wangu wakati mimi madogo zangu wakija hawagusi huko niwepo ama nisiwepo.
Hivi kweli unaeshimiwa we Braza
NB: mimi sio mhusika hapa nimeandika tu kuelimisha, na nimewahi shuhudia sana enzi zile....
Maybe tunaweza elimika kwa wale wanaoona mambo haya ni ya kawaida kumbe sio. Ngoja tuone.
Aiseh vichwa dagaa hawataelewa😀