Hii ni tabia ya kishenzi, mtu anapoomba mchange ili mpate huduma ya maji au umeme mnamwacha peke yake ila akishapambana mnakuwa wa kwanza kujaza fomu

Hii ni tabia ya kishenzi, mtu anapoomba mchange ili mpate huduma ya maji au umeme mnamwacha peke yake ila akishapambana mnakuwa wa kwanza kujaza fomu

ryan riz

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
423
Reaction score
683
tabia sio ya kiungwana ni ya kishenzi sana..unakuta makazi ya watu fulani wanamiaka zaidi saba na zaidi hawana huduma ya maji wala umeme.

Ila unakuta huduma hii haiko mbali na makazi yao ni kama mita 2000 tu,unawaomba kwamba jamani wenye shida ni sisi tuisitegemee sana hawa watu wa serikali..tuchange fedha hata kidogo kidogo tulete hii huduma majumbani kwetu...

Unajitolea unamleta saveya anakwambia hapa panahitaji nguzo 15 ila nyie changieni kiasi hiki na sisi tutachangia hivi..unawaambia majirani wote wanapiga kimya mchango na huku wanalalamika kwanini hawapatiwi hiyo huduma kwa miaka yote...wengine wanakwambia labda kuasi flan kuchanga ni kubwa mno ila huyo huyo kwa wiki analalamika ananunua maji ya elfu 40000...!! Piga hesabu mara miaka yote aliyokaa?

Kwenye umeme hivyo hivyo mabingwa wakuongea kwenye kuchanga wamelala mbele...na sio km hawana huo uwezo..

Tumejikuta tumechanga wawili tu kila mmoja katoa zaidi ya tsh 3.5m ili kupata huduma ya maji na umeme ,ila km makazi ya majiran tungechanga wote basi kila kaya ingetoa laki 1 tu.....

Walivyo washenzi baada ya huduma kuletwa wao ndio wa kwanza kujaza fomu na pongezi za kinafki kwamba wazee mmepambana sana...

Nb: watu wa uswahili na vijijini wanaumoja sana kwenye michango ya kijamii hilo halina ubishi...ila hizi sehemu mnazosema zina wasomi upumbavu ni mwingi sana mixer ujuaji na ubinafsi
 
tabia sio ya kiungwana ni ya kishenzi sana..unakuta makazi ya watu fulani wanamiaka zaidi saba na zaidi hawana huduma ya maji wala umeme.

Ila unakuta huduma hii haiko mbali na makazi yao ni kama mita 2000 tu,unawaomba kwamba jamani wenye shida ni sisi tuisitegemee sana hawa watu wa serikali..tuchange fedha hata kidogo kidogo tulete hii huduma majumbani kwetu...

Unajitolea unamleta saveya anakwambia hapa panahitaji nguzo 15 ila nyie changieni kiasi hiki na sisi tutachangia hivi..unawaambia majirani wote wanapiga kimya mchango na huku wanalalamika kwanini hawapatiwi hiyo huduma kwa miaka yote...wengine wanakwambia labda kuasi flan kuchanga ni kubwa mno ila huyo huyo kwa wiki analalamika ananunua maji ya elfu 40000...!! Piga hesabu mara miaka yote aliyokaa?

Kwenye umeme hivyo hivyo mabingwa wakuongea kwenye kuchanga wamelala mbele...na sio km hawana huo uwezo..

Tumejikuta tumechanga wawili tu kila mmoja katoa zaidi ya tsh 3.5m ili kupata huduma ya maji na umeme ,ila km makazi ya majiran tungechanga wote basi kila kaya ingetoa laki 1 tu.....

Walivyo washenzi baada ya huduma kuletwa wao ndio wa kwanza kujaza fomu na pongezi za kinafki kwamba wazee mmepambana sana...

Nb: watu wa uswahili na vijijini wanaumoja sana kwenye michango ya kijamii hilo halina ubishi...ila hizi sehemu mnazosema zina wasomi upumbavu ni mwingi sana mixer ujuaji na ubinafsi
Ngozi nyeusi takataka, wako hivyo. ni wapi huko? Taja tuwajue.

Mimi nitatoa pendekezo kwa Tanesco kuwa gharama lazima zichangiwe na wanufaika. Mtu akitoa pesa kama mlivyotoa, basi yeyote atakaye pata huduma hiyo lazima achangie kurudisha hela za aliyetoa. Nitatoa pendekezo hilo Tanesco.
Pole sana.
 
Ngozi nyeusi takataka, wako hivyo. ni wapi huko? Taja tuwajue.

Mimi nitatoa pendekezo kwa Tanesco kuwa gharama lazima zichangiwe na wanufaika. Mtu akitoa pesa kama mlivyotoa, basi yeyote atakaye pata huduma hiyo lazima achangie kurudisha hela za aliyetoa. Nitatoa pendekezo hilo Tanesco.
Pole sana.
Wakati nahamia mtaani kwetu Kihonda, MOROGORO kulikuwa na tatizo Sugu la maji. Baadae baadhi ya wanamtaa kama 30 hivi (wengine waligoma) tukaamua tuchange pesa ili tuvute maji kwani bomba kubwa liko kama km 2 hivi jirani na barabara iendayo Dodoma. Tukachagua uongozi wa kikundi chetu na kuanza ufuatiliaji huko idara ya maji,ambao walikuja kufanya estimates ya gharama za vifaa vyote. Baada ya hapo tukagawana zile gharama ikawa kila mtu atoe 350,000 hivi ila gharama za kuchimba mtaro hazimo maana kila mtu alipewa kipande chake achimbe mwenyewe au unamlipa mtu anakuchimbia. Muda wa michango ilikuwa miezi 6 na kweli maji yakaja mtaani na kila mmoja akaingiza maji nyumbani kwake. Nilichojifunza kwenye hii project: kwanza pamoja na ukweli kwamba serikali yenyewe ilikuwa haina uwezo wa kutupa huduma sisi wateja wapya 30 kwa sababu tumejigharamikia bado hawakutoa msamaha wa bili za maji walau miezi 6 ili kuvutia wateja wengine kuchangishana na kujiunga (kuongeza wateja). Pili kama tusingekuwa wakali idara ya maji walitaka eti kuwaunganisha wateja wengine ambao waligoma kuchangia. Baada ya kutishia kuchukua hatua ndiyo ikawa wateja wapya wote wakawa wanalipa 400,000 kila mtu na tulizigawana hizo fedha kwa wale watu 30 na hivyo baadae ikawa gharama zetu zikapungua.Pia tulitumia hizo fedha kuweka bomba la umma la kuuza maji.
 
tabia sio ya kiungwana ni ya kishenzi sana..unakuta makazi ya watu fulani wanamiaka zaidi saba na zaidi hawana huduma ya maji wala umeme.

Ila unakuta huduma hii haiko mbali na makazi yao ni kama mita 2000 tu,unawaomba kwamba jamani wenye shida ni sisi tuisitegemee sana hawa watu wa serikali..tuchange fedha hata kidogo kidogo tulete hii huduma majumbani kwetu...

Unajitolea unamleta saveya anakwambia hapa panahitaji nguzo 15 ila nyie changieni kiasi hiki na sisi tutachangia hivi..unawaambia majirani wote wanapiga kimya mchango na huku wanalalamika kwanini hawapatiwi hiyo huduma kwa miaka yote...wengine wanakwambia labda kuasi flan kuchanga ni kubwa mno ila huyo huyo kwa wiki analalamika ananunua maji ya elfu 40000...!! Piga hesabu mara miaka yote aliyokaa?

Kwenye umeme hivyo hivyo mabingwa wakuongea kwenye kuchanga wamelala mbele...na sio km hawana huo uwezo..

Tumejikuta tumechanga wawili tu kila mmoja katoa zaidi ya tsh 3.5m ili kupata huduma ya maji na umeme ,ila km makazi ya majiran tungechanga wote basi kila kaya ingetoa laki 1 tu.....

Walivyo washenzi baada ya huduma kuletwa wao ndio wa kwanza kujaza fomu na pongezi za kinafki kwamba wazee mmepambana sana...

Nb: watu wa uswahili na vijijini wanaumoja sana kwenye michango ya kijamii hilo halina ubishi...ila hizi sehemu mnazosema zina wasomi upumbavu ni mwingi sana mixer ujuaji na ubinafsi
Hakuna wabinafsi kama wanaojiita wasomi uchwara.Vichwa vyao kama mkuki na vipilipili vya kutosha
 
tabia sio ya kiungwana ni ya kishenzi sana..unakuta makazi ya watu fulani wanamiaka zaidi saba na zaidi hawana huduma ya maji wala umeme.

Ila unakuta huduma hii haiko mbali na makazi yao ni kama mita 2000 tu,unawaomba kwamba jamani wenye shida ni sisi tuisitegemee sana hawa watu wa serikali..tuchange fedha hata kidogo kidogo tulete hii huduma majumbani kwetu...

Unajitolea unamleta saveya anakwambia hapa panahitaji nguzo 15 ila nyie changieni kiasi hiki na sisi tutachangia hivi..unawaambia majirani wote wanapiga kimya mchango na huku wanalalamika kwanini hawapatiwi hiyo huduma kwa miaka yote...wengine wanakwambia labda kuasi flan kuchanga ni kubwa mno ila huyo huyo kwa wiki analalamika ananunua maji ya elfu 40000...!! Piga hesabu mara miaka yote aliyokaa?

Kwenye umeme hivyo hivyo mabingwa wakuongea kwenye kuchanga wamelala mbele...na sio km hawana huo uwezo..

Tumejikuta tumechanga wawili tu kila mmoja katoa zaidi ya tsh 3.5m ili kupata huduma ya maji na umeme ,ila km makazi ya majiran tungechanga wote basi kila kaya ingetoa laki 1 tu.....

Walivyo washenzi baada ya huduma kuletwa wao ndio wa kwanza kujaza fomu na pongezi za kinafki kwamba wazee mmepambana sana...

Nb: watu wa uswahili na vijijini wanaumoja sana kwenye michango ya kijamii hilo halina ubishi...ila hizi sehemu mnazosema zina wasomi upumbavu ni mwingi sana mixer ujuaji na ubinafsi
Kila afanyae mema ana ujira wake,na kila afanyae maasi vivyo hivyo ana ujira wake.

Ishi maisha bila ya kujaji wengine ili upate ujira mzuri.
 
Hakuna wabinafsi kama wanaojiita wasomi uchwara.Vichwa vyao kama mkuki na vipilipili vya kutosha
Huo ndio ukweli...ni watu wa ajabu...wako radhi kushindana na serikali kwa miaka kibao kwa vitu vidogo vidogo vilivyo ndani ya uwezo wao kuvimaliza...
Wazungu wangekuwa km sisi hata sidhan kama wangefika hapo...

Mfano kuna shughuli nlikuwa nafanya na jamaa flani wajerumani kwenye vijiji flan..wale jamaa baada ya siku kadhaa kuona mbona tunatumia njia ya mzunguko mkubwa kukwepa vikorongo vidogo ambavyo vinahitaji karavati tu ili njia ipitike..

Huwez amini waliwatafuta viongoz husika wa eneo hilo wakawambia wachange fedha itakayopelea wao wataongezea..

Wanakijiji walichanga na huwezi amini kampuni ilichanga milioni mbili tu ndio iliyopelea na mpaka leo hiyo njia ndio imekuwa njia kuu wakati mwanzo watu walikuwa wanapakwepa na kupita mzunguko wa zaid ya km 5...
 
Wakati nahamia mtaani kwetu Kihonda, MOROGORO kulikuwa na tatizo Sugu la maji. Baadae baadhi ya wanamtaa kama 30 hivi (wengine waligoma) tukaamua tuchange pesa ili tuvute maji kwani bomba kubwa liko kama km 2 hivi jirani na barabara iendayo Dodoma. Tukachagua uongozi wa kikundi chetu na kuanza ufuatiliaji huko idara ya maji,ambao walikuja kufanya estimates ya gharama za vifaa vyote. Baada ya hapo tukagawana zile gharama ikawa kila mtu atoe 350,000 hivi ila gharama za kuchimba mtaro hazimo maana kila mtu alipewa kipande chake achimbe mwenyewe au unamlipa mtu anakuchimbia. Muda wa michango ilikuwa miezi 6 na kweli maji yakaja mtaani na kila mmoja akaingiza maji nyumbani kwake. Nilichojifunza kwenye hii project: kwanza pamoja na ukweli kwamba serikali yenyewe ilikuwa haina uwezo wa kutupa huduma sisi wateja wapya 30 kwa sababu tumejigharamikia bado hawakutoa msamaha wa bili za maji walau miezi 6 ili kuvutia wateja wengine kuchangishana na kujiunga (kuongeza wateja). Pili kama tusingekuwa wakali idara ya maji walitaka eti kuwaunganisha wateja wengine ambao waligoma kuchangia. Baada ya kutishia kuchukua hatua ndiyo ikawa wateja wapya wote wakawa wanalipa 400,000 kila mtu na tulizigawana hizo fedha kwa wale watu 30 na hivyo baadae ikawa gharama zetu zikapungua.Pia tulitumia hizo fedha kuweka bomba la umma la kuuza maji.
Asante kwa habari hii. Nitalipendekeza kwa Tanesco. majitu mashenzi sana...yanakataa kuchanga lakini yanataka huduma.
 
Nguzo ni mali ya tanesco. Sitathubutu kuilipia hata mia mbovu. Never!
Nguzo ni mali ya tanesco, lakini tanesco haiwezi kumletea mtu mmoja umeme kisa nguzo ni mali yake, wale wenye utambuzi huwa wanalipa wanapata huduma, maana mwenye kuhitaji umeme ni wewe siyo tanesco.
 
tabia sio ya kiungwana ni ya kishenzi sana..unakuta makazi ya watu fulani wanamiaka zaidi saba na zaidi hawana huduma ya maji wala umeme.

Ila unakuta huduma hii haiko mbali na makazi yao ni kama mita 2000 tu,unawaomba kwamba jamani wenye shida ni sisi tuisitegemee sana hawa watu wa serikali..tuchange fedha hata kidogo kidogo tulete hii huduma majumbani kwetu...

Unajitolea unamleta saveya anakwambia hapa panahitaji nguzo 15 ila nyie changieni kiasi hiki na sisi tutachangia hivi..unawaambia majirani wote wanapiga kimya mchango na huku wanalalamika kwanini hawapatiwi hiyo huduma kwa miaka yote...wengine wanakwambia labda kuasi flan kuchanga ni kubwa mno ila huyo huyo kwa wiki analalamika ananunua maji ya elfu 40000...!! Piga hesabu mara miaka yote aliyokaa?

Kwenye umeme hivyo hivyo mabingwa wakuongea kwenye kuchanga wamelala mbele...na sio km hawana huo uwezo..

Tumejikuta tumechanga wawili tu kila mmoja katoa zaidi ya tsh 3.5m ili kupata huduma ya maji na umeme ,ila km makazi ya majiran tungechanga wote basi kila kaya ingetoa laki 1 tu.....

Walivyo washenzi baada ya huduma kuletwa wao ndio wa kwanza kujaza fomu na pongezi za kinafki kwamba wazee mmepambana sana...

Nb: watu wa uswahili na vijijini wanaumoja sana kwenye michango ya kijamii hilo halina ubishi...ila hizi sehemu mnazosema zina wasomi upumbavu ni mwingi sana mixer ujuaji na ubinafsi
Naungana mkono hoja yako mtoa mada. Wasomi na Wenye uwezo wa kati wana matatizo sana ya kufikiri, wao ni wale watu wa kujiangalia wao (wabinafsi) na wasioangalia mbeleni kutakuwaje. Mtaa ninaoishi ni mpya, umejengwa nyumba za kisasa na wakazi (wamiliki) wengi ni vijana chini ya miaka 38. Ajabu mtaa umeanza kukosa barabara, sababu muuzaji aliuza kukiwa na alama za barabara, ilikuwa tu wakazi tuchange fedha ama tusembue wenyewe hizo barabara zionekane, hao wasomi wamekataa kushirikiana, wamevamia barabara hizo na kuzifanya ziwe nyembamba zisizotosha kupita magari, umeme wamekataa kuchangishana, wanasubiria mtu avute nguzo waje kuunga nyaya..fensi za kushea ukuta, wanavizia mmoja ajenge mwingine kazi yake kuunganisha tu, yaani ni full ubinafsi. Sasa hapa ndipo unapoona baadhi ya watu wanafaa kuamuliwa mambo yanayowahusu, yaani ukisema upate ridhaa yao ni kuwa haitapatikana, kwa hiyo unabomoa tu kjta zilizozidi wakalalamike mahakamani, barabara zipatikane. Kukataa mashirikiano matokeo yake ni kuwekeana chuki na vinyongo, majirani hamsaliminani.
 
Ujuaji wa kijinga huwafanya kuwa wapumbavu bila hata kuangalia ya mbele yao
Naungana mkono hoja yako mtoa mada. Wasomi na Wenye uwezo wa kati wana matatizo sana ya kufikiri, wao ni wale watu wa kujiangalia wao (wabinafsi) na wasioangalia mbeleni kutakuwaje. Mtaa ninaoishi ni mpya, umejengwa nyumba za kisasa na wakazi (wamiliki) wengi ni vijana chini ya miaka 38. Ajabu mtaa umeanza kukosa barabara, sababu muuzaji aliuza kukiwa na alama za barabara, ilikuwa tu wakazi tuchange fedha ama tusembue wenyewe hizo barabara zionekane, hao wasomi wamekataa kushirikiana, wamevamia barabara hizo na kuzifanya ziwe nyembamba zisizotosha kupita magari, umeme wamekataa kuchangishana, wanasubiria mtu avute nguzo waje kuunga nyaya..fensi za kushea ukuta, wanavizia mmoja ajenge mwingine kazi yake kuunganisha tu, yaani ni full ubinafsi. Sasa hapa ndipo unapoona baadhi ya watu wanafaa kuamuliwa mambo yanayowahusu, yaani ukisema upate ridhaa yao ni kuwa haitapatikana, kwa hiyo unabomoa tu kjta zilizozidi wakalalamike mahakamani, barabara zipatikane. Kukataa mashirikiano matokeo yake ni kuwekeana chuki na vinyongo, majirani hamsaliminani.
 
Back
Top Bottom