Hii ni Tabia ya Kiswahili ni ya hovyo na inakera sana

Hii ni Tabia ya Kiswahili ni ya hovyo na inakera sana

Kumekuwa na matumizi mabaya ya kukera ya simu.

1. Mtu anakupigia simu hujapokea anaendelea kupiga tena na tena. Ukija mpigia baadaye unamuuliza shida nini anakwambia alikuwa anakusalimia tu. Ukiona umepiga simu mara moja mtu hajapokea acha usumbufu. Tulia akiwa Ok atakupigia.

2. Mtu hakudai wala nini anakupigia hupokei anaenda tafuta namba mpya kuendelea kukupigia. Hana jambo la maana anataka mpige stories. Hii tabia ya kukera.

3. Saa nne usiku mtu anakupigia simu mpige stories. Why? Usiku ni muda wa kupumzika wadau heshimu mapumziko ya mwenzio.

4. Mtu anakupigia unamsalimia anakujibu. Then anakwambia "Niambie" inashangaza sana.wewe umenipigia then unataka mimi ndo nikwambie. Nikwambie nini? Ingekuwa na kukwambia ningekupigia.

5. Mtu anakupigia simu kwa namba ngeni unamuuliza nani mwenzangu. Anakwambia ina maana sauti yangu huhifahamu/umeisahau? Huu ni upumbavu, mi sina jukumu la kukariri sauti yako.

Tutumie simu ipasavyo kama huna cha kuongea na mtu tulia tu. Au salimia kifupi tu basi. Watu tuna mambo mengi kichwani siyo kuleteana habari sizizo na kichwa wala miguu.
Hiyo namba moja unaniudhi sana, unakuta mtu anapiga simu hupokei anaendelea kupiga tuuuuuuu...hata mara ishirini! Ukipiga simu mara moja au mbili na haipokelewi, chili..uliyempigia ataiona, atakupigia au andika text message..damn
 
Kuna ile:
My wangu: Vipi baby wafanya nini?
Me: Niko kitandani nataka kulala bb
My wangu: Ahaah sawa mambo mengine vipi bby?
Me: Yako poa vipi huko?
My wangu: Sawa baby mic u mwaaah[emoji849]
Me: Me too luv
My wangu: Asante bby mambo mengine vipi?
Me : Yako poa mpz
My wangu: Mambo yanaendaje lakini?
Me: Tuko poa kwakeli
My wangu: Kwa hiyo ndo unalala bby?
Me: Ndio. Si nimekwambia niko kitandani!.
My wangu: Sawa baby mambo yanaenda vizuri lakini? Unalala zako kwa raha zako

Unaweza kumpigia simu mama, baba yake ukawatukana kwa kuzaa kilaza.
Ukampiga block ya maisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu huyo anakuwa amekumiss anataka kuwa karibu na wewe. Mwambie njoo kesho tuonane....
 
Kuna ile mtu ana namba 2 kwenye simu yake wew umemtext mfano kwenye voda halaf yeye anajibu na namba ya airtel ambayo huijui na wala hajitambulishi kam mm ni flan huko inakera sana
Mkuu me binafsi ili kuepusha hili nina mbinu moja.

Kwa kuwa napenda sana txt rather than calls so kwa kila sms nayotuma nimeweka signature chini kiasi kwamba hata nikibadili number mtu hachelewi kujua huyu ni Caps Lock
 
Hiyo namba moja unaniudhi sana, unakuta mtu anapiga simu hupokei anaendelea kupiga tuuuuuuu...hata mara ishirini! Ukipiga simu mara moja au mbili na haipokelewi, chili..uliyempigia ataiona, atakupigia au andika text message..damn
Ha ha ha ha ha ha
 
Kumekuwa na matumizi mabaya ya kukera ya simu.

1. Mtu anakupigia simu hujapokea anaendelea kupiga tena na tena. Ukija mpigia baadaye unamuuliza shida nini anakwambia alikuwa anakusalimia tu. Ukiona umepiga simu mara moja mtu hajapokea acha usumbufu. Tulia akiwa Ok atakupigia.

2. Mtu hakudai wala nini anakupigia hupokei anaenda tafuta namba mpya kuendelea kukupigia. Hana jambo la maana anataka mpige stories. Hii tabia ya kukera.

3. Saa nne usiku mtu anakupigia simu mpige stories. Why? Usiku ni muda wa kupumzika wadau heshimu mapumziko ya mwenzio.

4. Mtu anakupigia unamsalimia anakujibu. Then anakwambia "Niambie" inashangaza sana.wewe umenipigia then unataka mimi ndo nikwambie. Nikwambie nini? Ingekuwa na kukwambia ningekupigia.

5. Mtu anakupigia simu kwa namba ngeni unamuuliza nani mwenzangu. Anakwambia ina maana sauti yangu huhifahamu/umeisahau? Huu ni upumbavu, mi sina jukumu la kukariri sauti yako.

Tutumie simu ipasavyo kama huna cha kuongea na mtu tulia tu. Au salimia kifupi tu basi. Watu tuna mambo mengi kichwani siyo kuleteana habari sizizo na kichwa wala miguu.
kwa hiyo mzee hutaki kusalimiwa
 
Kuna demu alikua anatuma watu halafu asemi, ukimuuliza kimya mpaka nikachoka alikua sijui anania gani? Sasa nikawa namtafuta namwambia nakusalimia Basi anakuchokoza umpigie simu kila Mara anahisi sijui Nini?
 
Mimi ukinipigia simu hua napokea kama mtangazaji wa redio

Hello kwenye line, nani mwenzangu na unapiga simu kutoka wapi.

Akishajibu hapo juu namrudia tena

Ehee karibu boss. (aeleze shida yake) akianza kuongea utopolo na kupoteza muda nakata simu .
Nilikua na mtindo wa kuwauliza watu hivyo hahaha- sasa wao hawapendi ninavyowauliza ninazungumza na nani, eti wanataka nijue nazungumza na mtu fulani wakati sina namba zao na sauti zao sizijui.
 
Hiyo namba 5 inaendana na ile mtu anakupigia na kukwambia MBONA SIKU HIZI HUNIPOGII SIMU KUNISALIMIA AU NDIO UMENISAHAU KABISA.

Ushamba
Huu ni ubwege kweli, sasa anataka umwambie ndio nimekusahau ili aanze kukulamikia

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kuna ile mtu anakupigia simu alafu bado anaongea na watu wengine tena

Si umalize shughuli zako kisha ndo upige simu
Hiki kitu huwa kinakera sana, yani anaona kabisa simu imeshapokelewa ila anaendelea kwanza na maongezi yake halafu ndio anarudi, hello Jimena, mambo vipi?? [emoji30][emoji30]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Na Kuna wale wanaopiga video call mtu Huna no ake wala hujui kama unamfaham au la kisa tu kapata no yako basi ni video call tu ,binafsi sipendi hata kama tumezoeana niambie Kwanza kama naweza pokea au la nakerekwa sana na wenye tabia hizo wengi ni hawa MY wangu
 
Back
Top Bottom