Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,635
- 4,160
UMEWASAHAU NA WANAOOMBA HELA.Kuna wale wa kukopa hela au wanaodai hela yaani utapigiwa simu mpaka ujutie kumfahamu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UMEWASAHAU NA WANAOOMBA HELA.Kuna wale wa kukopa hela au wanaodai hela yaani utapigiwa simu mpaka ujutie kumfahamu..
😝😝😝😝Tujitahid kuwavumilia na wale wanakulaumu kwann huwaangalii watsp status
UMEWASAHAU NA WANAOOMBA HELA.
[emoji23][emoji23]wanakeraga Sana aiseeMimi huwa nakata simu mtu akianza maswali ya kipuuzi.
huyu ni jamaa yangu anatwanga simu hata mara 10+ badae analaumu kwamba nilikuwa nimeweka kwenye mtetemo ndo maana sisikii simu kumbe nakuwa na mambo mengine.Hiyo namba moja unaniudhi sana, unakuta mtu anapiga simu hupokei anaendelea kupiga tuuuuuuu...hata mara ishirini! Ukipiga simu mara moja au mbili na haipokelewi, chili..uliyempigia ataiona, atakupigia au andika text message..damn
basi kuna unyeti wowote basi tu kero na ujinga wake na huwa sipokei makusudi tu nashangaa ajastukiaAnakuwa na jambo gani nyeti hivyo?
basi kuna unyeti wowote basi tu kero na ujinga wake na huwa sipokei makusudi tu nashangaa ajastukia
Ni hatari mkuu.Huu ni ubwege kweli, sasa anataka umwambie ndio nimekusahau ili aanze kukulamikia
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
SecondedKumekuwa na matumizi mabaya ya kukera ya simu.
1. Mtu anakupigia simu hujapokea anaendelea kupiga tena na tena. Ukija mpigia baadaye unamuuliza shida nini anakwambia alikuwa anakusalimia tu. Ukiona umepiga simu mara moja mtu hajapokea acha usumbufu. Tulia akiwa Ok atakupigia.
2. Mtu hakudai wala nini anakupigia hupokei anaenda tafuta namba mpya kuendelea kukupigia. Hana jambo la maana anataka mpige stories. Hii tabia ya kukera.
3. Saa nne usiku mtu anakupigia simu mpige stories. Why? Usiku ni muda wa kupumzika wadau heshimu mapumziko ya mwenzio.
4. Mtu anakupigia unamsalimia anakujibu. Then anakwambia "Niambie" inashangaza sana.wewe umenipigia then unataka mimi ndo nikwambie. Nikwambie nini? Ingekuwa na kukwambia ningekupigia.
5. Mtu anakupigia simu kwa namba ngeni unamuuliza nani mwenzangu. Anakwambia ina maana sauti yangu huhifahamu/umeisahau? Huu ni upumbavu, mi sina jukumu la kukariri sauti yako.
6. Kuna wale toka wafahamu whatsapp video call imekuwa nongwa.ikitokea tu kakuona online haraka video call. Huu si ustaarabu. Watu wanataka privacy. Omba kwanza kama its possible kupiga upate kibali.
7. Tabia ya kupiga simu halafu unalalamika. Mbona umekaa muda mrefu hujanipigia simu.ni upuuzi.kama sijakupigia simu ni kwamba sikuwa na cha kukwambia. Kama unacho piga ongea.siyo kuambiana nipe story...
Tutumie simu ipasavyo kama huna cha kuongea na mtu tulia tu. Au salimia kifupi tu basi. Watu tuna mambo mengi kichwani siyo kuleteana habari sizizo na kichwa wala miguu.
Tujitahid kuwavumilia na wale wanakulaumu kwann huwaangalii watsp status
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tujitahid kuwavumilia na wale wanakulaumu kwann huwaangalii watsp status
Tujitahid kuwavumilia na wale wanakulaumu kwann huwaangalii watsp status