Hii ni Tabia ya Kiswahili ni ya hovyo na inakera sana

Hii ni Tabia ya Kiswahili ni ya hovyo na inakera sana

Kero nyingine hizi hapa

 
Huwa nachukia Sana simu za jumamosi na Ijumapili asubuhi.

Jumamosi ndio siku yangu ya mapumziko halafu mtu anakupigia analeta mambo yake.

Au anakupigia simu ijumapili, ukiwa Ibadani, simu inaita tu.

Ilimradi wakusumbue tu. Na simu kuzima huwezi.
 
[emoji3][emoji3][emoji3] kupanga ni kuchagua chief. Kama priority ni kumkojoza binti, jogging isubiri next weekend. [emoji41][emoji41]
Itabidi kesho hadi alhamisi nifanye ile kitu inaitwa over dozi

Ili ijumaa napumzika alafu usiku nifanye tukio la uumbaji
 
Kumekuwa na matumizi mabaya ya kukera ya simu.

1. Mtu anakupigia simu hujapokea anaendelea kupiga tena na tena. Ukija mpigia baadaye unamuuliza shida nini anakwambia alikuwa anakusalimia tu. Ukiona umepiga simu mara moja mtu hajapokea acha usumbufu. Tulia akiwa Ok atakupigia.

2. Mtu hakudai wala nini anakupigia hupokei anaenda tafuta namba mpya kuendelea kukupigia. Hana jambo la maana anataka mpige stories. Hii tabia ya kukera.

3. Saa nne usiku mtu anakupigia simu mpige stories. Why? Usiku ni muda wa kupumzika wadau heshimu mapumziko ya mwenzio.

4. Mtu anakupigia unamsalimia anakujibu. Then anakwambia "Niambie" inashangaza sana.wewe umenipigia then unataka mimi ndo nikwambie. Nikwambie nini? Ingekuwa na kukwambia ningekupigia.

5. Mtu anakupigia simu kwa namba ngeni unamuuliza nani mwenzangu. Anakwambia ina maana sauti yangu huhifahamu/umeisahau? Huu ni upumbavu, mi sina jukumu la kukariri sauti yako.

6. Kuna wale toka wafahamu whatsapp video call imekuwa nongwa.ikitokea tu kakuona online haraka video call. Huu si ustaarabu. Watu wanataka privacy. Omba kwanza kama its possible kupiga upate kibali.

7. Tabia ya kupiga simu halafu unalalamika. Mbona umekaa muda mrefu hujanipigia simu.ni upuuzi.kama sijakupigia simu ni kwamba sikuwa na cha kukwambia. Kama unacho piga ongea.siyo kuambiana nipe story...

Tutumie simu ipasavyo kama huna cha kuongea na mtu tulia tu. Au salimia kifupi tu basi. Watu tuna mambo mengi kichwani siyo kuleteana habari sizizo na kichwa wala miguu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Huduma ya tafadhari nipigie imewekwa kwa ajili ya shida ya dharula/maalum pale mtu anapo kuwa hana salio la kutosha kwenye simu yake ili aweze kupigiwa

Lakini jambo la kushangaza ni pale watu wanapo tuma ujumbe wa tafadhari nipigie wakiwa na malengo ya kupiga stori au kujulia hali. Mf. Mtu anakutumia tafadhari nipigie, ukimpigia anakuwa hana cha maana anaishia kukwambia "nilitaka kukupa hai tu" au unampigia kwakuwa hana sababu maalum ya kukueleza anaanza kukuuliza habari za "shemu wangu anasemaje" au "mna tuzidi nini huko" mbona kimya sana". It is boring indeed

Kama huna tatizo la dharula au sababu maalum kutuma ujumbe wa tafadhari nipigie ni upuuzi. Tubadilike
 
Kuna demu alikua anatuma watu halafu asemi, ukimuuliza kimya mpaka nikachoka alikua sijui anania gani? Sasa nikawa namtafuta namwambia nakusalimia Basi anakuchokoza umpigie simu kila Mara anahisi sijui Nini?
nimerudia kusoma mara4 ila sijaelewa
 
Hapana aisee hata kama unampenda mtu sio kihivyo bwana....mtu anaanza kukuuliza upo kitandani? Umelala au umekaa? Umevaaje? Umelalaje..kiubavu, chali au umelalia tumbo? Haya maswali huwa hayavumiliki kabisa...hata nikijibu najibu in a way mtu atajua tu kuwa ananikwaza
Kuna saa swaga zinaisha na unataka bado kuongea
 
Back
Top Bottom