Binkcarter
JF-Expert Member
- Jul 23, 2014
- 413
- 460
Alikuwa na tabia kunipigia simu usiku wa manani.
Jana ilikuwa siku yake
Leo ananitumia mapicha ya lovebite imebidi avae hijabu ili kuficha
Umempa dawa yake . Heko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa na tabia kunipigia simu usiku wa manani.
Jana ilikuwa siku yake
Leo ananitumia mapicha ya lovebite imebidi avae hijabu ili kuficha
Ndio maana huwa yananishinda...siwezi kabisaMapenz hayahitaj huo u serious
HahahahahUmempa dawa yake . Heko
Hahahahah
Hahahahah
Ijumaa hii anakuja tena.Ndio dawa hiyo. Sasa sema kama umeperform sana , ni kitambo kidogo tu anaaanza tena . [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] be ready
Sema itabidi niharibu jogging siku hyoNdio dawa hiyo. Sasa sema kama umeperform sana , ni kitambo kidogo tu anaaanza tena . [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] be ready
Sema itabidi niharibu jogging siku hyo
Itabidi kesho hadi alhamisi nifanye ile kitu inaitwa over dozi[emoji3][emoji3][emoji3] kupanga ni kuchagua chief. Kama priority ni kumkojoza binti, jogging isubiri next weekend. [emoji41][emoji41]
Una enjoy nn sasa ukitoa sex maan bila huo ujinga ujinga mapenz hayajakamilikaNdio maana huwa yananishinda...siwezi kabisa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kumekuwa na matumizi mabaya ya kukera ya simu.
1. Mtu anakupigia simu hujapokea anaendelea kupiga tena na tena. Ukija mpigia baadaye unamuuliza shida nini anakwambia alikuwa anakusalimia tu. Ukiona umepiga simu mara moja mtu hajapokea acha usumbufu. Tulia akiwa Ok atakupigia.
2. Mtu hakudai wala nini anakupigia hupokei anaenda tafuta namba mpya kuendelea kukupigia. Hana jambo la maana anataka mpige stories. Hii tabia ya kukera.
3. Saa nne usiku mtu anakupigia simu mpige stories. Why? Usiku ni muda wa kupumzika wadau heshimu mapumziko ya mwenzio.
4. Mtu anakupigia unamsalimia anakujibu. Then anakwambia "Niambie" inashangaza sana.wewe umenipigia then unataka mimi ndo nikwambie. Nikwambie nini? Ingekuwa na kukwambia ningekupigia.
5. Mtu anakupigia simu kwa namba ngeni unamuuliza nani mwenzangu. Anakwambia ina maana sauti yangu huhifahamu/umeisahau? Huu ni upumbavu, mi sina jukumu la kukariri sauti yako.
6. Kuna wale toka wafahamu whatsapp video call imekuwa nongwa.ikitokea tu kakuona online haraka video call. Huu si ustaarabu. Watu wanataka privacy. Omba kwanza kama its possible kupiga upate kibali.
7. Tabia ya kupiga simu halafu unalalamika. Mbona umekaa muda mrefu hujanipigia simu.ni upuuzi.kama sijakupigia simu ni kwamba sikuwa na cha kukwambia. Kama unacho piga ongea.siyo kuambiana nipe story...
Tutumie simu ipasavyo kama huna cha kuongea na mtu tulia tu. Au salimia kifupi tu basi. Watu tuna mambo mengi kichwani siyo kuleteana habari sizizo na kichwa wala miguu.
Nainjoi kampaniUna enjoy nn sasa ukitoa sex maan bila huo ujinga ujinga mapenz hayajakamilika
nimerudia kusoma mara4 ila sijaelewaKuna demu alikua anatuma watu halafu asemi, ukimuuliza kimya mpaka nikachoka alikua sijui anania gani? Sasa nikawa namtafuta namwambia nakusalimia Basi anakuchokoza umpigie simu kila Mara anahisi sijui Nini?
Kuna saa swaga zinaisha na unataka bado kuongeaHapana aisee hata kama unampenda mtu sio kihivyo bwana....mtu anaanza kukuuliza upo kitandani? Umelala au umekaa? Umevaaje? Umelalaje..kiubavu, chali au umelalia tumbo? Haya maswali huwa hayavumiliki kabisa...hata nikijibu najibu in a way mtu atajua tu kuwa ananikwaza