[emoji1787]shida ni wewe! una marafiki, jamaa na ndugu waswahili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787]shida ni wewe! una marafiki, jamaa na ndugu waswahili
It depends na mahusiano yenu kama ni best friends sio shidaTabia inayonikera ni mtu wa pembeni yako kapigiwa simu, ghafla anaropoka nipo na fulani hapa chukua umsalimie! [emoji57][emoji57][emoji849]
....ina maana SAUTI YANGU HUIFAHAMU/UMEISAHAU?!!!
Looh[emoji23][emoji23]
Well spoken Gudume katika ubora wako.Kumekuwa na matumizi mabaya ya kukera ya simu.
1. Mtu anakupigia simu hujapokea anaendelea kupiga tena na tena. Ukija mpigia baadaye unamuuliza shida nini anakwambia alikuwa anakusalimia tu. Ukiona umepiga simu mara moja mtu hajapokea acha usumbufu. Tulia akiwa Ok atakupigia.
2. Mtu hakudai wala nini anakupigia hupokei anaenda tafuta namba mpya kuendelea kukupigia. Hana jambo la maana anataka mpige stories. Hii tabia ya kukera.
3. Saa nne usiku mtu anakupigia simu mpige stories. Why? Usiku ni muda wa kupumzika wadau heshimu mapumziko ya mwenzio.
4. Mtu anakupigia unamsalimia anakujibu. Then anakwambia "Niambie" inashangaza sana.wewe umenipigia then unataka mimi ndo nikwambie. Nikwambie nini? Ingekuwa na kukwambia ningekupigia.
5. Mtu anakupigia simu kwa namba ngeni unamuuliza nani mwenzangu. Anakwambia ina maana sauti yangu huhifahamu/umeisahau? Huu ni upumbavu, mi sina jukumu la kukariri sauti yako.
6. Kuna wale toka wafahamu whatsapp video call imekuwa nongwa.ikitokea tu kakuona online haraka video call. Huu si ustaarabu. Watu wanataka privacy. Omba kwanza kama its possible kupiga upate kibali.
7. Tabia ya kupiga simu halafu unalalamika. Mbona umekaa muda mrefu hujanipigia simu.ni upuuzi.kama sijakupigia simu ni kwamba sikuwa na cha kukwambia. Kama unacho piga ongea.siyo kuambiana nipe story...
Tutumie simu ipasavyo kama huna cha kuongea na mtu tulia tu. Au salimia kifupi tu basi. Watu tuna mambo mengi kichwani siyo kuleteana habari sizizo na kichwa wala miguu.
Yooote yaliyopita ni chamtoto, hii ndo kiboko kweli. Umenifanya nicheke sana mkuuKuna ile:
My wangu: Vipi baby wafanya nini?
Me: Niko kitandani nataka kulala bb
My wangu: Ahaah sawa mambo mengine vipi bby?
Me: Yako poa vipi huko?
My wangu: Sawa baby mic u mwaaah[emoji849]
Me: Me too luv
My wangu: Asante bby mambo mengine vipi?
Me : Yako poa mpz
My wangu: Mambo yanaendaje lakini?
Me: Tuko poa kwakeli
My wangu: Kwa hiyo ndo unalala bby?
Me: Ndio. Si nimekwambia niko kitandani!.
My wangu: Sawa baby mambo yanaenda vizuri lakini? Unalala zako kwa raha zako
Unaweza kumpigia simu mama, baba yake ukawatukana kwa kuzaa kilaza.
Ukampiga block ya maisha.
Gudume naye anasema tu, hivi mchuchu km Numbisa anipigie anambie lete story? nita boreka kweli labda usiwe mwanaume!Hii "niambie" "leta story" "kuna mapya gani huko" boring sana
😆😆Yooote yaliyopita ni chamtoto, hii ndo kiboko kweli. Umenifanya nicheke sana mkuu
Hii inakera mno yaaniKuna ile mtu ana namba 2 kwenye simu yake wew umemtext mfano kwenye voda halaf yeye anajibu na namba ya airtel ambayo huijui na wala hajitambulishi kam mm ni flan huko inakera sana
Ukimuuliza we nani anaanza kukushangaaNi kwamba anajisahau ukute namba uliyomtumia msg haina salio. Simu ina line mbili mtu anajibu bila kukumbuka
Kuna ile:
My wangu: Vipi baby wafanya nini?
Me: Niko kitandani nataka kulala bb
My wangu: Ahaah sawa mambo mengine vipi bby?
Me: Yako poa vipi huko?
My wangu: Sawa baby mic u mwaaah[emoji849]
Me: Me too luv
My wangu: Asante bby mambo mengine vipi?
Me : Yako poa mpz
My wangu: Mambo yanaendaje lakini?
Me: Tuko poa kwakeli
My wangu: Kwa hiyo ndo unalala bby?
Me: Ndio. Si nimekwambia niko kitandani!.
My wangu: Sawa baby mambo yanaenda vizuri lakini? Unalala zako kwa raha zako
Unaweza kumpigia simu mama, baba yake ukawatukana kwa kuzaa kilaza.
Ukampiga block ya maisha.
Hapana aisee hata kama unampenda mtu sio kihivyo bwana....mtu anaanza kukuuliza upo kitandani? Umelala au umekaa? Umevaaje? Umelalaje..kiubavu, chali au umelalia tumbo? Haya maswali huwa hayavumiliki kabisa...hata nikijibu najibu in a way mtu atajua tu kuwa ananikwazaNadhani huu muktadha sio sahihi sana.. linapokuja suala la wapendanao ni tofauti sana, maana yeye anataka kuendelea kuskia sauti yako, kama wewe unaona ni kero, itakuwa humpendi
.....Ina maana umeshafuta Namba yangu??!
Shitttt!
Mapenz hayahitaj huo u seriousHapana aisee hata kama unampenda mtu sio kihivyo bwana....mtu anaanza kukuuliza upo kitandani? Umelala au umekaa? Umevaaje? Umelalaje..kiubavu, chali au umelalia tumbo? Haya maswali huwa hayavumiliki kabisa...hata nikijibu najibu in a way mtu atajua tu kuwa ananikwaza