Hii ni Tabia ya Kiswahili ni ya hovyo na inakera sana

Daahh hii inakera for sure
 
Tafuta hela ndugu achana na walimwengu
 
Huwa sina mda wa kujishughulisha kwa phone na venye nothing,
Cm ambazo swez acha pokea, n wazaz wangu na ndugu ang wa tumbo 1, hawa wengine hawanisumbui.
Tena no ngeni ndo kabisaaah wala hata mshipa haustuki.
 
No 4 ua naamin maajabu kamwe hayawezi kuisha duniani[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji3][emoji3][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mambo yanaendaje Lakini my wangu?? [emoji28][emoji28][emoji28] usiku unauonaje?
Anarudia tena " nipe mpya love" unajiuliza hivi huyu second generation yake itakuwaje?
 
Kuna ujinga mmoja huwa sipendagi kweli na unakera sana unampigia mtu munaongea hata hamjamaliza kuna cm inaingia upande wake anapokea ile anakuacha weye bila hata kukuomba yaani dah .
 
Namba 5 nimetukana na natukana watu wengi sana mpaka leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…