sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,639
- 5,767
Mimi sijawahi fika Zanzibar ila kwa suala lilipofikia hawa wanaijeria hii sasa sio suala la Werere beach bali ni vita ya kiuchumi kwa Tanzania,
Cyber war ni vita kama vita nyingine, niwakati sasa watanzania kwa umoja wetu kuwashambulia huko Twitter hawa wanaijeria ambao wengi wao ni wasanii, inajulikana dunia nzima,
Wameanza dharau kua hatujui kingereza so hakuelewi kinachoendelea, tusiliache lipite hivi hivi,
Mimi nimeianza kazi huko naomba tulifanyie kazi
Cyber war ni vita kama vita nyingine, niwakati sasa watanzania kwa umoja wetu kuwashambulia huko Twitter hawa wanaijeria ambao wengi wao ni wasanii, inajulikana dunia nzima,
Wameanza dharau kua hatujui kingereza so hakuelewi kinachoendelea, tusiliache lipite hivi hivi,
Mimi nimeianza kazi huko naomba tulifanyie kazi