Hii njia Unaweza kuidharau lakini ndio pekee ya kuwa na uhakika mtoto ni wako bila DNA

Hii njia Unaweza kuidharau lakini ndio pekee ya kuwa na uhakika mtoto ni wako bila DNA

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
8,082
Reaction score
17,838
Mzuka wanajamvi!

Ni hivi unamchukua waifu ama demu wako mnaenda mbali ama maporini huko uliposhaanda na kujenga nyumba. Una hakikisha umenunua msosi wa nguvu na mahitaji yote yatakayowatosheleza miezi miwili.

Pia huko mnapoenda unahakikisha kuna fensi na geti kali.

Kabla hamjaingia humo unampima waifu/demu mimba kuhakikisha hana.

Ukishajiridhisha hana unavunga hamna kugegegedana kwanza hadi uone yuko mwezini.

Baada ya mwezini nikugegedana tu kwenda mbele nakusubiria mwezi upite ama tuseme siku zaidi ya 30. Halafu unamcheki tena kama kaenda mwezini halafu unampima ukikuta ni mjamzito rukaruka kwa furaha juwa ni ya kwako iyo lakini subiri tena siku 30 zingine ujiridhishe zaidi.

Mnajifungia humo kwa siku 60 ufunguo ni wewe mwenyewe unabeba hamna mtu kutoka . Yani hakikisha 24/7 kila sekunde za siku hizo 60 humuwachi huko naye tu na hamtoki nje.

Baada ya hizo siku 60 sasa mnaweza kutoka nje kurudi kitaa na kumwacha huru demu wako hata akienda kwa mashoga zake huko kupiga umbea wewe mpotezee tu huku ukiendelea na shughuli zako ukiwa na confidence ya kipekee na hatarii Dogo akizaliwa ni wa kwako damu yako.
 
Kumbe kuchapiwa si issue, issue ni uhakika mtotoawe wako...

Okay basi acha nimwambie mwafulani tukatawe ikitiki aendelee na mishe zake huku mie naendelea na kateereeerooooo 😜.

Ifwakti nimeacha hiyo michezo ya kurukaruka wacha ni egiziti.
 
Huko porin kwenu hakuna mlinzi? Shamba boy?? Na hata mpambe wako wawili au 1 sasa wewe piga tonge kiuchovu uone kama huyo huko porin asiwwtengee wanaojua kukata tonge vizur
 
Mwenye Uzi wake umri unaenda:

We kalia ichi cha;
Arusha
Kigoma
Moro,
 
Baada ya kilicho tokea watu watakuja na mbinu nyingi sana..
 
I see kuna watu mna kazi kubea duniani. Gharama zote ni kumchunga tu mkeo?. Na maisha utatafuta saa ngapi?. Nakushauri tafuta pesa mkuu. Hivi ndio muanze kulia vyuma vimekaza,wakati mnawaza kukazana tu?. Umeshauri utoto sana
 
Kitanda hakizai haram / haramu jamani mwanaume mbona umekuwa muoga hivo?
 
Back
Top Bottom