Hii njia Unaweza kuidharau lakini ndio pekee ya kuwa na uhakika mtoto ni wako bila DNA

Hii njia Unaweza kuidharau lakini ndio pekee ya kuwa na uhakika mtoto ni wako bila DNA

Huko porin kwenu hakuna mlinzi? Shamba boy?? Na hata mpambe wako wawili au 1 sasa wewe piga tonge kiuchovu uone kama huyo huko porin asiwwtengee wanaojua kukata tonge vizur
Wewe unazungumzia walinzi na shamba boy, hivi unawajuwa wanawake kweli? Kule porini kuna ngedere na magorilla.....kuna baadhi ya wanawake wanachanganikiwa kuona tu hao wanyama, wanawaza kuduu nao.
 
Kumbe kuchapiwa si issue, issue ni uhakika mtotoawe wako...

Okay basi acha nimwambie mwafulani tukatawe ikitiki aendelee na mishe zake huku mie naendelea na kateereeerooooo 😜.

Ifwakti nimeacha hiyo michezo ya kurukaruka wacha ni egiziti.
Wivu sina ila roho inauma

Happy New year Kasie Asprin ODM
 
Wivu sina ila roho inauma

Happy New year Kasie Asprin ODM

Baby Buuu Asipirooooo

Njoo bathi tuambukidhane korona......

Your hug will heal all my 2021 fear 🥰.

Safari hii tufanye kweli banaaa...

I wanna dance with you
I wanna eat with you
I wanna cheers with you

Let me not miss you more...

K Matata Big Sam Orijinale Babu ODM 😘.
 
Mzuka wanajamvi!

Ni hivi unamchukua waifu ama demu wako mnaenda mbali ama maporini huko uliposhaanda na kujenga nyumba. Una hakikisha umenunua msosi wa nguvu na mahitaji yote yatakayowatosheleza miezi miwili.

Pia huko mnapoenda unahakikisha kuna fensi na geti kali.

Kabla hamjaingia humo unampima waifu/demu mimba kuhakikisha hana.

Ukishajiridhisha hana unavunga hamna kugegegedana kwanza hadi uone yuko mwezini.

Baada ya mwezini nikugegedana tu kwenda mbele nakusubiria mwezi upite ama tuseme siku zaidi ya 30. Halafu unamcheki tena kama kaenda mwezini halafu unampima ukikuta ni mjamzito rukaruka kwa furaha juwa ni ya kwako iyo lakini subiri tena siku 30 zingine ujiridhishe zaidi.

Mnajifungia humo kwa siku 60 ufunguo ni wewe mwenyewe unabeba hamna mtu kutoka . Yani hakikisha 24/7 kila sekunde za siku hizo 60 humuwachi huko naye tu na hamtoki nje.

Baada ya hizo siku 60 sasa mnaweza kutoka nje kurudi kitaa na kumwacha huru demu wako hata akienda kwa mashoga zake huko kupiga umbea wewe mpotezee tu huku ukiendelea na shughuli zako ukiwa na confidence ya hatarii Dogo akizaliwa ni wa kwako damu yako.
Kazi kwel kweli, hii shida yote ya nini?
 
Huo mda wa kujenga nyumba na kufanya hayo yote mbona no changamoto sana. Bora ulee mtoto tu ilimradi usijue kama si wako.
 
Wakuu wanawake wanaojielewa na waaminifu 100% wapo. Sali sana upate mwenza sahihi wa maisha, haya mambo ni kwa neema tu. Wala sio kwa akili zetu wala kwa ujanja wetu. Binafsi kati ya vitu nnavyomshukuru Mungu ni kunikutanisha na mwanamke wangu, ambae ni mama mtoto wangu pia. Tulikutana chuo Udsm miaka kadhaa iliyopita. She is cute, stable, educated, romantic, very smart upstairs, God fearing & the list goes on. Itoshe tu kusema ana kila nnachokipenda na nlichokua natamani my woman awe nacho. I just couldn't ask for more.
Kwa miaka kadhaa nimetumia kila njia iliyokua katika akili yangu kumchunguza na kujiridhisha. Hayo ya kusalitiwa na kubambikiwa watoto nayasikia tu kwa wengine
 
You migh
Wakuu wanawake wanaojielewa na waaminifu 100% wapo. Sali sana upate mwenza sahihi wa maisha, haya mambo ni kwa neema tu. Wala sio kwa akili zetu wala kwa ujanja wetu. Binafsi kati ya vitu nnavyomshukuru Mungu ni kunikutanisha na mwanamke wangu, ambae ni mama mtoto wangu pia. Tulikutana chuo Udsm miaka kadhaa iliyopita. She is cute, stable, educated, romantic, very smart upstairs, God fearing & the list goes on. Itoshe tu kusema ana kila nnachokipenda na nlichokua natamani my woman awe nacho. I just couldn't ask for more.
Kwa miaka kadhaa nimetumia kila njia iliyokua katika akili yangu kumchunguza na kujiridhisha. Hayo ya kusalitiwa na kubambikiwa watoto nayasikia tu kwa wengine
You might get heart attack someday.....
just give your wife a benefit of doubt/.
set aside a room of doubt...
 
As long as mtoto jina lake la mwisho linaendeleza ukoo niliotoka huyo ni wangu na watukuu zangu wabebe jina langu. Ww uliyemtungisha mimba mwanamke akanibambikizia ndo umeopoteza.
 
You migh

You might get heart attack someday.....
just give your wife a benefit of doubt/.
set aside a room of doubt...
Najiamini kupita maelezo mkuu. Ulinzi mkubwa nliomuwekea mwanamke wangu ni kuiteka mindset yake, hapo yeye kubadilika labda nimbadilishe mimi kwa kufanya ujinga, na akibadilika anabadilika kweli. But i rule out nothing, kama ikitokea huyu mwanamke akanicheat na nkathibitisha beyond reasonable doubt kwamba amenicheat, basi sitakuja kumuamini tena yeyote zaidi ya mama yangu
 
Baby Buuu Asipirooooo

Njoo bathi tuambukidhane korona......

Your hug will heal all my 2021 fear 🥰.

Safari hii tufanye kweli banaaa...

I wanna dance with you
I wanna eat with you
I wanna cheers with you

Let me not miss you more...

K Matata Big Sam Orijinale Babu ODM 😘.
1611578915495.png


1611579079702.png

1611579184070.png
n

1611578318075.png

1611578435749.png


Nadhani umenielewa Kasie Asprin
 

Attachments

  • 1611578966291.png
    1611578966291.png
    90.3 KB · Views: 1
Mzuka wanajamvi!

Ni hivi unamchukua waifu ama demu wako mnaenda mbali ama maporini huko uliposhaanda na kujenga nyumba. Una hakikisha umenunua msosi wa nguvu na mahitaji yote yatakayowatosheleza miezi miwili.

Pia huko mnapoenda unahakikisha kuna fensi na geti kali.

Kabla hamjaingia humo unampima waifu/demu mimba kuhakikisha hana.

Ukishajiridhisha hana unavunga hamna kugegegedana kwanza hadi uone yuko mwezini.

Baada ya mwezini nikugegedana tu kwenda mbele nakusubiria mwezi upite ama tuseme siku zaidi ya 30. Halafu unamcheki tena kama kaenda mwezini halafu unampima ukikuta ni mjamzito rukaruka kwa furaha juwa ni ya kwako iyo lakini subiri tena siku 30 zingine ujiridhishe zaidi.

Mnajifungia humo kwa siku 60 ufunguo ni wewe mwenyewe unabeba hamna mtu kutoka . Yani hakikisha 24/7 kila sekunde za siku hizo 60 humuwachi huko naye tu na hamtoki nje.

Baada ya hizo siku 60 sasa mnaweza kutoka nje kurudi kitaa na kumwacha huru demu wako hata akienda kwa mashoga zake huko kupiga umbea wewe mpotezee tu huku ukiendelea na shughuli zako ukiwa na confidence ya kipekee na hatarii Dogo akizaliwa ni wa kwako damu yako.
Nimesoma mpka paragraph ya pili.Nimegundua aliyeandika bado mtoto
 
Baby Buuu Asipirooooo

Njoo bathi tuambukidhane korona......

Your hug will heal all my 2021 fear 🥰.

Safari hii tufanye kweli banaaa...

I wanna dance with you
I wanna eat with you
I wanna cheers with you

Let me not miss you more...

K Matata Big Sam Orijinale Babu ODM 😘.
Kasie Herself in Flesh.....
 
Back
Top Bottom