Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
Wewe unazungumzia walinzi na shamba boy, hivi unawajuwa wanawake kweli? Kule porini kuna ngedere na magorilla.....kuna baadhi ya wanawake wanachanganikiwa kuona tu hao wanyama, wanawaza kuduu nao.Huko porin kwenu hakuna mlinzi? Shamba boy?? Na hata mpambe wako wawili au 1 sasa wewe piga tonge kiuchovu uone kama huyo huko porin asiwwtengee wanaojua kukata tonge vizur
Wivu sina ila roho inaumaKumbe kuchapiwa si issue, issue ni uhakika mtotoawe wako...
Okay basi acha nimwambie mwafulani tukatawe ikitiki aendelee na mishe zake huku mie naendelea na kateereeerooooo π.
Ifwakti nimeacha hiyo michezo ya kurukaruka wacha ni egiziti.
Wivu sina ila roho inauma
Happy New year Kasie Asprin ODM
Dah mkuu Ulipoteaga wapi? Ni kitambo sanaNjia ndefu sana hiyo!
Kazi kwel kweli, hii shida yote ya nini?Mzuka wanajamvi!
Ni hivi unamchukua waifu ama demu wako mnaenda mbali ama maporini huko uliposhaanda na kujenga nyumba. Una hakikisha umenunua msosi wa nguvu na mahitaji yote yatakayowatosheleza miezi miwili.
Pia huko mnapoenda unahakikisha kuna fensi na geti kali.
Kabla hamjaingia humo unampima waifu/demu mimba kuhakikisha hana.
Ukishajiridhisha hana unavunga hamna kugegegedana kwanza hadi uone yuko mwezini.
Baada ya mwezini nikugegedana tu kwenda mbele nakusubiria mwezi upite ama tuseme siku zaidi ya 30. Halafu unamcheki tena kama kaenda mwezini halafu unampima ukikuta ni mjamzito rukaruka kwa furaha juwa ni ya kwako iyo lakini subiri tena siku 30 zingine ujiridhishe zaidi.
Mnajifungia humo kwa siku 60 ufunguo ni wewe mwenyewe unabeba hamna mtu kutoka . Yani hakikisha 24/7 kila sekunde za siku hizo 60 humuwachi huko naye tu na hamtoki nje.
Baada ya hizo siku 60 sasa mnaweza kutoka nje kurudi kitaa na kumwacha huru demu wako hata akienda kwa mashoga zake huko kupiga umbea wewe mpotezee tu huku ukiendelea na shughuli zako ukiwa na confidence ya hatarii Dogo akizaliwa ni wa kwako damu yako.
Nilikuwa Guinea Bissau...Bolama napiga deal.Dah mkuu Ulipoteaga wapi? Ni kitambo sana
You might get heart attack someday.....Wakuu wanawake wanaojielewa na waaminifu 100% wapo. Sali sana upate mwenza sahihi wa maisha, haya mambo ni kwa neema tu. Wala sio kwa akili zetu wala kwa ujanja wetu. Binafsi kati ya vitu nnavyomshukuru Mungu ni kunikutanisha na mwanamke wangu, ambae ni mama mtoto wangu pia. Tulikutana chuo Udsm miaka kadhaa iliyopita. She is cute, stable, educated, romantic, very smart upstairs, God fearing & the list goes on. Itoshe tu kusema ana kila nnachokipenda na nlichokua natamani my woman awe nacho. I just couldn't ask for more.
Kwa miaka kadhaa nimetumia kila njia iliyokua katika akili yangu kumchunguza na kujiridhisha. Hayo ya kusalitiwa na kubambikiwa watoto nayasikia tu kwa wengine
Very big room. Tena iwe self contained.You migh
You might get heart attack someday.....
just give your wife a benefit of doubt/.
set aside a room of doubt...
Najiamini kupita maelezo mkuu. Ulinzi mkubwa nliomuwekea mwanamke wangu ni kuiteka mindset yake, hapo yeye kubadilika labda nimbadilishe mimi kwa kufanya ujinga, na akibadilika anabadilika kweli. But i rule out nothing, kama ikitokea huyu mwanamke akanicheat na nkathibitisha beyond reasonable doubt kwamba amenicheat, basi sitakuja kumuamini tena yeyote zaidi ya mama yanguYou migh
You might get heart attack someday.....
just give your wife a benefit of doubt/.
set aside a room of doubt...
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Muwe mnakula na kushiba kabla ya kuvuta bangi...
Baby Buuu Asipirooooo
Njoo bathi tuambukidhane korona......
Your hug will heal all my 2021 fear π₯°.
Safari hii tufanye kweli banaaa...
I wanna dance with you
I wanna eat with you
I wanna cheers with you
Let me not miss you more...
K Matata Big Sam Orijinale Babu ODM π.
Nimesoma mpka paragraph ya pili.Nimegundua aliyeandika bado mtotoMzuka wanajamvi!
Ni hivi unamchukua waifu ama demu wako mnaenda mbali ama maporini huko uliposhaanda na kujenga nyumba. Una hakikisha umenunua msosi wa nguvu na mahitaji yote yatakayowatosheleza miezi miwili.
Pia huko mnapoenda unahakikisha kuna fensi na geti kali.
Kabla hamjaingia humo unampima waifu/demu mimba kuhakikisha hana.
Ukishajiridhisha hana unavunga hamna kugegegedana kwanza hadi uone yuko mwezini.
Baada ya mwezini nikugegedana tu kwenda mbele nakusubiria mwezi upite ama tuseme siku zaidi ya 30. Halafu unamcheki tena kama kaenda mwezini halafu unampima ukikuta ni mjamzito rukaruka kwa furaha juwa ni ya kwako iyo lakini subiri tena siku 30 zingine ujiridhishe zaidi.
Mnajifungia humo kwa siku 60 ufunguo ni wewe mwenyewe unabeba hamna mtu kutoka . Yani hakikisha 24/7 kila sekunde za siku hizo 60 humuwachi huko naye tu na hamtoki nje.
Baada ya hizo siku 60 sasa mnaweza kutoka nje kurudi kitaa na kumwacha huru demu wako hata akienda kwa mashoga zake huko kupiga umbea wewe mpotezee tu huku ukiendelea na shughuli zako ukiwa na confidence ya kipekee na hatarii Dogo akizaliwa ni wa kwako damu yako.
Kasie Herself in Flesh.....Baby Buuu Asipirooooo
Njoo bathi tuambukidhane korona......
Your hug will heal all my 2021 fear π₯°.
Safari hii tufanye kweli banaaa...
I wanna dance with you
I wanna eat with you
I wanna cheers with you
Let me not miss you more...
K Matata Big Sam Orijinale Babu ODM π.