Hii njia ya Kenya, Uganda, Rwanda na mataifa mengine hasa ya Africa kupambana na Corona inachekesha

Hii njia ya Kenya, Uganda, Rwanda na mataifa mengine hasa ya Africa kupambana na Corona inachekesha

Huo si ndio upupu ambao rais wenu unaendeleza? Kwamba iwe ni biashara kama kawaida? Kisha unajaribu kulinganisha mikakati ya rais Trump wakati yeye siku mbili tu zilizopita amewabana zaidi wamerakani na 'restrictions' zaidi kwenye usafiri na biashara na wapo kwenye lockdown kwa sasa, zaidi hata ya wakenya. Anachozungumzia rais Trump kwenye tweet yake ni mikakati ya hapo baadaye, ya kurudisha hali ya kibiashara pole pole kupitia 'protocols' ambazo anataka Congress wazikubali na watoe idhini. Tena ni kwenye sekta nyeti tu za kiuchumi. Umesoma mapendekezo yake au umeishia tu kwenye hiyo tweet kisha ukaanza kusifia? Coronavirus: Trump signals he may lift federal coronavirus guidelines
LOL kuwa mwanaume basi, Kenya Kuna upungufu wa wanaume

Mwanaume ni kusimamia msimamo wako unaoamini upo madhubuti no matter what!

Ungekua mwanaume kamili ungepaswa kunijibu simple tu "who the hell is trump?" (ndio sisi watanzania tulivyo) na sio kujibaraguza kishambenga na kulazimisha Z iwe 2 kwa sababu tu usiende kinyume na trump, huo tunaitaga ushoga 😂😂😂😂😂
 
LOL kuwa mwanaume basi, Kenya Kuna upungufu wa wanaume
Mwanaume ni kusimamia msimamo wako unaoamini upo madhubuti no matter what!Ungekua mwanaume kamili ungepaswa kunijibu simple tu "who the hell is trump?" (ndio sisi watanzania tulivyo) na sio kujibaraguza kishambenga na kulazimisha Z iwe 2 kwa sababu tu usiende kinyume na trump, huo tunaitaga ushoga
Hapo sasa, naona umeishiwa na hoja. Kwenye hili jukwaa watu huwa wanatumia 'facts'. Ambazo nitaendelea kukupa tu upende usipende. Nazungumzia kitu ambacho nimekifatilia tangia mwanzoni. Utaelimika tu, usiwe na hofu. Masaa matatu yaliyopita Congress imepitisha stimulus package ya $ 2Trillion kwa wananchi wao ambao wameathirika na hasara kutokana na lockdown za kibiashara na usafiri pia. Haya ndio masuala ambayo unajaribu kuyafananisha na kauli za ajabu ajabu kutoka kwa Jiwe lenu.
 
Hapo sasa, naona umeishiwa na hoja. Kwenye hili jukwaa watu huwa wanatumia 'facts'. Ambazo nitaendelea kukupa tu upende usipende. Nazungumzia kitu ambacho nimekifatilia tangia mwanzoni. Utaelimika tu, usiwe na hofu. Masaa matatu yaliyopita Congress imepitisha stimulus package ya $ 2Trillion kwa wananchi wao ambao wameathirika na hasara kutokana na lockdown za kibiashara na usafiri pia. Haya ndio masuala ambayo unajaribu kuyafananisha na kauli za ajabu ajabu kutoka kwa Jiwe lenu.
Wacha kukimbia na kuanza kurukaruka Kama kuku jike.Trump anataka watu warudi kufanya Kazi Wakati wakiendelea na njia za kujikinga, badala ya kuwakataza kufanya Kazi na kuweka restrictions Kama za hapo Kenya. Hiyo pesa ya kwa ajili ya kuchochea uchumi haina uhusiano wowote na "restrictions". Kubali kwamba Trump anapita mulemule anamopita Magufuli, Wacha kujaribu kujiliwaza na Kubalini kwamba viongozi wenu ni wakurupukaji hawajui uwezo wa uchumi wa nchi yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo sasa, naona umeishiwa na hoja. Kwenye hili jukwaa watu huwa wanatumia 'facts'. Ambazo nitaendelea kukupa tu upende usipende. Nazungumzia kitu ambacho nimekifatilia tangia mwanzoni. Utaelimika tu, usiwe na hofu. Masaa matatu yaliyopita Congress imepitisha stimulus package ya $ 2Trillion kwa wananchi wao ambao wameathirika na hasara kutokana na lockdown za kibiashara na usafiri pia. Haya ndio masuala ambayo unajaribu kuyafananisha na kauli za ajabu ajabu kutoka kwa Jiwe lenu.
LOL what the hell relationship between *go back to work * and +stimulus package +? 😂😂😂😂😂😂 Absolutely two planets apart

IQ ya mende, 😅😅😅😅
 
Hili ndilo dili la stimulus package ya $ 2Trillion ambalo Congress kule Washington DC imepitisha just 3 hours ago. Negotiators strike deal on massive coronavirus rescue package
Hakuna uhusiano wowote wa "Economic stimulation" na restrictions. Sasa kama nchi yenye uwezo wa kuingiza pesa nyingi kiasi hicho katika uchumi wake, bado inataka watu wao warudi haraka kufanya Kazi badala ya kukaa ndani ili kunusuru uchumi wao usizidi kuathirika zaidi, ninyi nchi ambayo hata kabla ya Corona mlikua tayari mumeshafilisika mnashabikia restrictions za kijinga, na bado pamoja na restrictions zenye kuathiri uchumi lakini idadi ya maambukizi inaongezeka kwa kasi kuliko Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna uhusiano wowote wa "Economic stimulation" na restrictions. Sasa kama nchi yenye uwezo wa kuingiza pesa nyingi kiasi hicho katika uchumi wake, bado inataka watu wao warudi haraka kufanya Kazi badala ya kukaa ndani ili kunusuru uchumi wao usizidi kuathirika zaidi, ninyi nchi ambayo hata kabla ya Corona mlikua tayari mumeshafilisika mnashabikia restrictions za kijinga, na bado pamoja na restrictions zenye kuathiri uchumi lakini idadi ya maambukizi inaongezeka kwa kasi kuliko Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu sijui hata anabwabwaja kitu gani, wanaomuelewa wanisaidie
 
Haya basi, nimewaelewa hongera kwa rais Trump, kwa kumuiga jembe la kweli JPM.
Tatizo letu ninyi majirani hamtaki kujifunza toka kwa majirani zenu wanaofanya vizuri. Mnadhani kila mnalolifanya ni sahihi. Ukweli ni kwamba, hizi nchi zetu hazina uwezo wa kusimamisha watu kufanya Kazi hata kwa wiki moja, tunachihitajika kufanya ni kuimarisha uwezo wa kufanya Screening testing na kufuatilia watu waliokutana na wagonjwa kisha kuwatenga na kuzuia "importation of infection", lakini wananchi lazima waendelee kuchapa Kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naton Jr,

Texhnique ya mawe ni hovyo kabisa

Jamaa hakunaga mtihani alishafaulu,wowote ule

Uamuzi anachokua wowote ule kuhusu lolote lile ni suspect!

Siwezi kaa hapa naamini anything this guy makes decision on,never!
 
Tatizo letu ninyi majirani hamtaki kujifunza toka kwa majirani zenu wanaofanya vizuri. Mnadhani kila mnalolifanya ni sahihi. Ukweli ni kwamba, hizi nchi zetu hazina uwezo wa kusimamisha watu kufanya Kazi hata kwa wiki moja, tunachihitajika kufanya ni kuimarisha uwezo wa kufanya Screening testing na kufuatilia watu waliokutana na wagonjwa kisha kuwatenga na kuzuia "importation of infection", lakini wananchi lazima waendelee kuchapa Kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Offcourse, Corona ni kaugonjwa kadogo sana. Tutamtokomeza shetani wa COVID-19 kwa kula sacramenti na kukesha tukiomba. TIA, This Is Africa!
 
Haya basi, nimewaelewa hongera kwa rais Trump, kwa kumuiga jembe la kweli JPM.
ndio maana mnamchora mpaka kwenye magari yenu 😂
EUBPpMlWoAE3LwR.jpg
 
Texhnique ya mawe ni hovyo kabisa

Jamaa hakunaga mtihani alishafaulu,wowote ule

Uamuzi anachokua wowote ule kuhusu lolote lile ni suspect!

Siwezi kaa hapa naamini anything this guy makes decision on,never!
[emoji1][emoji1][emoji1] You guy, you are preaching to the choir. Ila umenikumbusha kuhusu Koroshow.
 
Hakuna uhusiano wowote wa "Economic stimulation" na restrictions. Sasa kama nchi yenye uwezo wa kuingiza pesa nyingi kiasi hicho katika uchumi wake, bado inataka watu wao warudi haraka kufanya Kazi badala ya kukaa ndani ili kunusuru uchumi wao usizidi kuathirika zaidi, ninyi nchi ambayo hata kabla ya Corona mlikua tayari mumeshafilisika mnashabikia restrictions za kijinga, na bado pamoja na restrictions zenye kuathiri uchumi lakini idadi ya maambukizi inaongezeka kwa kasi kuliko Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
Ati unasema hakuna uhusiano wowote wa "Economic stimulation" na restrictions. Yaani hata vitu basic huelewi 😂😂 sijui utaelimishwa nani.

Saa hii Us wanadeal na reduction in demand ya agricultural products ,Tech gadgets, Technology ,Cars e.t.c.
Sales ya vitu ka Iphone imeshuka;

Kazi yako nikujifanya Economist na hata huelewi basics.
 
Akina rais Trump si ndio huwa mnawaita mabeberu ambao huwa wanawaonea? Kama umesoma tweet ya rais Trump kisha ukadhani kwamba anasema biashara ziendelee kama kawa. Eti na kwamba ibada makanisani na misikitini zikubaliwe tena, boda zifunguliwe na safari za ndege zianze tena. Basi kiingereza kitakuwa kinakutesa zaidi ya nilivodhania.
Yani nimwcheka sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ati unasema hakuna uhusiano wowote wa "Economic stimulation" na restrictions. Yaani hata vitu basic huelewi [emoji23][emoji23] sijui utaelimishwa nani .
Saa hii Us wanadeal na reduction in demand ya agricultural products ,Tech gadgets, Technology ,Cars e.t.c.
Sales ya vitu ka Iphone imeshuka .
Kazi yako nikujifanya Economist na hata huelewi basics.
Hahahaha, hahahaha, hahahaha. Nothing to say.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom