Hii njia ya Kenya, Uganda, Rwanda na mataifa mengine hasa ya Africa kupambana na Corona inachekesha

Hii njia ya Kenya, Uganda, Rwanda na mataifa mengine hasa ya Africa kupambana na Corona inachekesha

Kijitikile ngwale 2 reloading 😅....Yani this people never learn.
Usichokijua ni kwamba kinjikitile alikuwa genius na alifanikiwa 100℅ katika mapambano dhidi ya majeshi yenye silaha bora kabisa.. remember,aliwafanya watu wake wapambane bila kuzingatia udhaifu wao,nasi chini ya jiwe tutashinda tu .. keep watching
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Kenyatta ni mpumbavu,haelewi anafanya nini,ameshachanganyikiwa. .kuna maana gani kufungia watu usiku,huku mchana wakichangamana kama kawa. .. sasa usiku na mchana,ni muda upi watu huchangamana kwa kiasi kikubwa???.. sijawahi kuona mtu mpumbavu kama kenyatta
 
Kenyatta ni mpumbavu,haelewi anafanya nini,ameshachanganyikiwa. .kuna maana gani kufungia watu usiku,huku mchana wakichangamana kama kawa. .. sasa usiku na mchana,ni muda upi watu huchangamana kwa kiasi kikubwa???.. sijawahi kuona mtu mpumbavu kama kenyatta
Itakuwa vile virus havifanyi kazi wakati wa mchana 😂😂😂
 
Jameni tuombe wazungu wagundue dawa mapema maana miafrika kwa jeuri tutakufa mpaka tufutike duniani.
Hawa wanaobeza, ipo siku watakosa hata hizo hela wanazopewa na CCM za kushinda mitandaoni.
Lifestyle yetu sisi waafrika ni tofauti sana na wazungu...nyie kenya hamna utofauti na mataifa mengine ya afrika,hilo ulielewa
Kama sisi tukifa,nyie hamuwezi kupona,hata mkijifungia ndani. ..mark my words
 
MaCCM huu sio muda wa kubeza juhudi za majirani zenu, ni wakati wa kuishauri nchi yenu ichukue tahadhari.

Ona mwenzenu kaanzisha uzi wa yale yanatendeka Kenya
CORONA VIRUS: Kenyatta ndio Rais pekee aliyejipanga kuwanusuru wananchi wake kiuchumi - JamiiForums

-Mshahara wa chini ya shilingi Laki tano za kitanzania hautakatwa kodi kabisa.

-PAYE Kupunguzwa kwa 5% (kutoka 30% mpaka 25%)

-Corporation tax kupunguzwa kwa 5%

-Turnover tax kupunguzwa kwa 2%

-Jamii isiyojiweza imetengewa zaidi ya bilioni 200 za kitanzania.

-Kusitishwa kwa muda riba katika mikopo ya biashara zitakazo dumaa au kufirisika katika kipindi hichi cha mlipuko wa Corona.

-VAT Kupunguzwa kwa 2% (Kutoka 16% mpaka 14%)

-Kuidhinisha mara moja zaidi ya shilingi bilioni 20 za kitanzania kutoka mfuko wa Afya kwenda kupambana na Corona.

-Kupunguza mishahara ya maafisa wa juu wa serikali kwa karibu 80%.

-Watumishi wenye umri mkubwa au wenye afya dhaifu kupewa likizo huku wakiendelea kula mshahara kama kawaida wakiwa majumbani mwao.
Tatizo lenu huwa mnapenda kuhamisha hoja
Hapa inazungumzwa hoja ingine,badala ya kushughulika nayo au kupita kimya,unapandika uzi unaojitegemea,hatujadili kima chini hapa
 
Jiwe juu ya jiwe
Nimefungua uzi fasta nikidhani nitasoma uchanganuzi wa maana au labda utafiti kutoka kwa wataalamu na maagizo mapya kutoka kwa WHO. Kumbe ni sifia sifia tu za Mr. Stone?
2346558_1584981840917.png

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya mmejipanga uwongo mbaya. Wasiomuelewa Uhuru ni sawa na wale wanaomlilia Gaddafi leo
MaCCM huu sio muda wa kubeza juhudi za majirani zenu, ni wakati wa kuishauri nchi yenu ichukue tahadhari.

Ona mwenzenu kaanzisha uzi wa yale yanatendeka Kenya
CORONA VIRUS: Kenyatta ndio Rais pekee aliyejipanga kuwanusuru wananchi wake kiuchumi - JamiiForums

-Mshahara wa chini ya shilingi Laki tano za kitanzania hautakatwa kodi kabisa.

-PAYE Kupunguzwa kwa 5% (kutoka 30% mpaka 25%)

-Corporation tax kupunguzwa kwa 5%

-Turnover tax kupunguzwa kwa 2%

-Jamii isiyojiweza imetengewa zaidi ya bilioni 200 za kitanzania.

-Kusitishwa kwa muda riba katika mikopo ya biashara zitakazo dumaa au kufirisika katika kipindi hichi cha mlipuko wa Corona.

-VAT Kupunguzwa kwa 2% (Kutoka 16% mpaka 14%)

-Kuidhinisha mara moja zaidi ya shilingi bilioni 20 za kitanzania kutoka mfuko wa Afya kwenda kupambana na Corona.

-Kupunguza mishahara ya maafisa wa juu wa serikali kwa karibu 80%.

-Watumishi wenye umri mkubwa au wenye afya dhaifu kupewa likizo huku wakiendelea kula mshahara kama kawaida wakiwa majumbani mwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kufungia watu ndani sio suluhu

Haya Marekani naona amechukua uamuzi wa Magufuli, go to work but abide closely with precautions

Kuna vinchi vingine tayari uchumi wao upo ICU, lazima viende na hii Corona View attachment 1399779

Marekani si nchi, ni dubwana.

Ukiongelea nchi taja nchi tu. Marekani ni idea.

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Hawa kwa sasa muwazuie wakae huko kwenu, mvumilie atleast hizi siku ziishe, tumefunga mipaka, halafu mumefungiwa kote hata Uganda hamuendi maana huko ndiko mlikua mnatumia kupenya kuja Kenya...

Kupenya? Kwani boda yenu na Ug ipo wazi? Kuna chocho kibao za kuingilia Kenya from Tz kuliko Ug. Sasa mwehu atakaekwenda Ug kuzamia Kenya atakuwa ana akili kama zako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
naomba uelezee kidogo umemaanisha nini kaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Marekani ni nchi 50 zimeungana pamoja (states) kila state ina gavana wake na inajimwambafy kivyake. Kila state ina serikali yake, sheria zake, mahakama zake, bunge lake. Halafu kuna serikali, mahakama, bunge la states zote, kama shirikisho.

Rais Trump kasema atafanya quarantine New York watu wasitoke. Gavana wa New York Andrew Cuomo kamwambia huwezi kufanya hivyo, kwanza ni kinyume cha sheria.

Trump mwenyewe kanywea.

Gavana wa Rhode Island kasema magari yenye plate numbers za New York yakishikwa yanapita state ya Rhode Island watu watakamatwa, Gavana wa New York kamwambia nitakushitaki ukiwakamata watu wa New York, kufanya hivyo ni kinyume na katiba.

Utaona nchi gavana anamkoromea rais, halafu rais ananywea mwenyewe.

Ndiyo maana nasema Marekani si kama nchi nyingine, idea ya uhuru na utawala wa sheria imetamalaki.

Tanzania Mkuu wa Mkoa anaweza kumkoromea Rais kwa sababu Rais kavunja sheria?
 
Back
Top Bottom